Chromium na Google Chrome hutumia kundi moja la sera. Tafadhali kumbuka kwamba hati hii inaweza kujumuisha sera ambazo zinalenga matoleo ambayo hayajatolewa (kwa mfano kipengele cha "Linalotumika kwenye' kinarejelea toleo la Google Chrome) ambalo halijatolewa na kwamba sera kama hizo zinaweza kubadilishwa au kuondolewa bila taarifa, na hakuna uhakika wowote kuhusu vipengele vyake vya usalama na faragha.
Sera hizi zinalenga kutumiwa hasa kwa kuweka mipangilio ya matukio ya Google Chrome ya ndani ya shirika lako. Matumizi ya sera hizi nje ya shirika lako (kwa mfano, katika programu inayosambazwa kwa umma) yanachukuliwa kuwa programu hasidi na yanaweza kuainishwa kama programu hasidi na Google na wauzaji wa kingavirusi.
Si lazima uweke mipangilio ya programu hizi kwa njia ya kawaida! Violezo vilivyo rahisi kutumia vya Windows, Mac na Linux vinaweza kupakuliwa kutoka https://www.chromium.org/administrators/policy-templates.
Njia inayopendekezwa ya kuweka mipangilio ya sera kwenye Windows ni kupitia GPO, ingawa kuweka sera kupitia usajili bado kunatumika kwa matukio ya Windows ambayo yameunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Jina la Sera | Maelezo |
Google Cast | |
EnableMediaRouter | Washa Google Cast |
ShowCastIconInToolbar | Onyesha aikoni ya upau wa vidhibiti ya Google Cast |
Kidhibiti cha nenosiri | |
PasswordManagerEnabled | Washa kipengele cha kuhifadhi manenosiri kwenye kidhibiti cha nenosiri |
Kiendelezi cha Kuripoti Chrome | |
ReportVersionData | Ripoti Maelezo ya Mfumo wa Uendeshaji na ya Toleo la Google Chrome |
ReportPolicyData | Ripoti Maelezo ya Sera ya Google Chrome |
ReportMachineIDData | Ripoti maelezo ya Utambulisho wa Mashine |
ReportUserIDData | Ripoti maelezo ya Utambulisho wa Mtumiaji |
Kitoaji chaguomsingi cha utafutaji | |
DefaultSearchProviderEnabled | Wezesha kitoaji chaguomsingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderName | Kitoaji chaguomsingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderKeyword | Nenomsingi la mtoa huduma chaguomsingi wa utafutaji |
DefaultSearchProviderSearchURL | Mtoaji wa utafutaji chaguomsingi wa URL ya utafutaji |
DefaultSearchProviderSuggestURL | Mtoa huduma chaguomsingi wa utafutaji anapendekeza URL |
DefaultSearchProviderIconURL | Aikoni ya mtoaji wa utafutaji chaguomsingi |
DefaultSearchProviderEncodings | Usimbaji wa kitoaji chaguomsingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderAlternateURLs | Orodha ya URL mbadala za mtoa huduma chaguomsingi wa utafutaji. |
DefaultSearchProviderImageURL | Kigezo kinachotoa kipengele cha kutafuta kwa picha kwa mtoa huduma wa utafutaji chaguomsingi |
DefaultSearchProviderNewTabURL | Mtoa huduma ya utafutaji chaguomsingi ya URL ya ukurasa wa kichupo kipya |
DefaultSearchProviderSearchURLPostParams | Vigezo vya URL ya utafutaji inayotumia POST |
DefaultSearchProviderSuggestURLPostParams | Vigezo vya URL ya kupendekeza inayotumia POST |
DefaultSearchProviderImageURLPostParams | Vigezo vya URL ya picha inayotumia POST |
Kurasa za kuanza | |
RestoreOnStartup | Kitendo kwa kuanza |
RestoreOnStartupURLs | URL za kufunguliwa unapooanza |
Mipangilio ya Faili za Kushiriki katika Mtandao | |
NetworkFileSharesAllowed | Hudhibiti Faili za Kushiriki katika Mtandao kwa ajili ya upatikanaji wa ChromeOS |
NetBiosShareDiscoveryEnabled | Hudhibiti ugunduzi wa Faili ya Kushiriki kwenye Mtandao kupitia NetBIOS |
NTLMShareAuthenticationEnabled | Hudhibiti kuwashwa kwa NTLM kuwa itifaki ya kuthibitisha katika vipengee vya kupachika SMB |
NetworkFileSharesPreconfiguredShares | Orodha ya faili za kushiriki mtandaoni zilizowekewa mipangilio mapema. |
Mipangilio ya Kuvinjari Salama | |
SafeBrowsingEnabled | Wezesha Kuvinjari Salama |
SafeBrowsingExtendedReportingEnabled | Washa Kipengele cha Kuripoti kwa Upana Kuvinjari Salama |
SafeBrowsingExtendedReportingOptInAllowed | Ruhusu watumiaji kuchagua kuingia katika kuripoti Kuvinjari Salama kulikopanuliwa |
SafeBrowsingWhitelistDomains | Weka mipangilio ya orodha ya vikoa ambavyo kipengele cha Kuvinjari Salama hakisababishi onyo. |
PasswordProtectionWarningTrigger | Kisababishi cha ilani ya ulinzi wa nenosiri |
PasswordProtectionLoginURLs | Weka mipangilio ya orodha ya URL za kuingia katika akaunti ya biashara ambapo huduma za ulinzi wa nenosiri zinapaswa kunasa alama bainifu za nenosiri. |
PasswordProtectionChangePasswordURL | Weka mipangilio ya URL ya kubadilisha nenosiri. |
Mipangilio ya Maudhui | |
DefaultCookiesSetting | Mpangilio wa vidakuzi chaguomsingi |
DefaultImagesSetting | Mpangilio chaguomsingi wa picha |
DefaultJavaScriptSetting | Mpangilio chaguomsingi wa JavaScript |
DefaultPluginsSetting | Mipangilio chaguomsingi ya Flash |
DefaultPopupsSetting | Mpangilio chaguomsingi za ibukizi |
DefaultNotificationsSetting | Mpangilio wa arifa chaguomsingi |
DefaultGeolocationSetting | Mpangilio chaguomsingi wa eneo la kijiografia |
DefaultMediaStreamSetting | Mpangilio chaguomsingi wa mkondomedia |
DefaultWebBluetoothGuardSetting | Dhibiti matumizi ya API ya Bluetooth ya Wavuti |
DefaultWebUsbGuardSetting | Dhibiti matumizi ya API ya WebUSB |
AutoSelectCertificateForUrls | Chagua kiotomatiki vyeti vya mteja vya tovuti hizi |
CookiesAllowedForUrls | Ruhusu vidakuzi kwenye tovuti hizi |
CookiesBlockedForUrls | Zuia vidakuzi katika tovuti hizi |
CookiesSessionOnlyForUrls | Dhibiti vidakuzi visilinganishe URL kwa kipindi cha sasa |
ImagesAllowedForUrls | Ruhusu picha katika tovuti hizi |
ImagesBlockedForUrls | Zuia picha katika tovuti hizi |
JavaScriptAllowedForUrls | Ruhusu JavaScript kwenye tovuti hizi |
JavaScriptBlockedForUrls | Zuia JavaScript kwenye tovuti hizi |
PluginsAllowedForUrls | Ruhusu programu jalizi ya Flash itumike kwenye tovuti hizi |
PluginsBlockedForUrls | Zuia programu jalizi ya Flash kwenye tovuti hizi |
PopupsAllowedForUrls | Ruhusu ibukizi kwenye tovuti hizi |
RegisteredProtocolHandlers | Sajili vishikilizi vya itifaki |
PopupsBlockedForUrls | Zuia madirisha ibukizi kwenye tovuti hizi |
NotificationsAllowedForUrls | Ruhusu arifa katika tovuti hizi |
NotificationsBlockedForUrls | Zuia arifa katika tovuti hizi |
WebUsbAskForUrls | Ruhusu WebUSB kwenye tovuti hizi |
WebUsbBlockedForUrls | Zuia WebUSB kwenye tovuti hizi |
Mipangilio ya ufikiaji | |
ShowAccessibilityOptionsInSystemTrayMenu | Onyesha chaguo za ufikiaji katika menyu ya trei ya mfumo |
LargeCursorEnabled | Washa kiteuzi kikubwa |
SpokenFeedbackEnabled | Wezesha maoni yaliyozungumzwa |
HighContrastEnabled | Wezesha modi ya juu ya kulinganua |
VirtualKeyboardEnabled | Washa kibodi ya skrini |
KeyboardDefaultToFunctionKeys | Vitufe vya media huelekeza kwenye vitufe vya vitendo kwa chaguomsingi |
ScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini |
DeviceLoginScreenDefaultLargeCursorEnabled | Weka hali chaguomsingi ya kiteuzi kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultSpokenFeedbackEnabled | Weka hali chaguomsingi ya maoni yanayotamkwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultHighContrastEnabled | Weka hali chaguomsingi ya hali ya juu ya utofautishaji kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultVirtualKeyboardEnabled | Weka hali chaguomsingi ya kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini cha msingi kama kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika skrini |
Sanidi chaguo za Hifadhi ya Google | |
DriveDisabled | Huzima Hifadhi ya Google katika programu ya Faili za Google Chrome OS |
DriveDisabledOverCellular | Zima huduma ya Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya mitandao ya simu katika programu ya Faili za Google Chrome OS |
Sanidi chaguo za ufikiaji wa mbali | |
RemoteAccessHostClientDomain | Weka mipangilio ya jina la kikoa linalohitajika kwa ajili ya seva teja za ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostClientDomainList | Configure the required domain names for remote access clients |
RemoteAccessHostFirewallTraversal | Inawezesha kutamba kwa ngome kutoka katika ufikivu wa mpangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostDomain | Sanidi jina la kikoa linalohitajika kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali |
RemoteAccessHostDomainList | Configure the required domain names for remote access hosts |
RemoteAccessHostTalkGadgetPrefix | Sanidi kiambishi awali cha TalkGadget kwa ufikiaji wa wapangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostRequireCurtain | Wezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikiaji mbali. |
RemoteAccessHostAllowClientPairing | Washa au zima uthibitishaji usiotumia PIN kwa seva pangishi za uwezo wa kufikia kwa mbali |
RemoteAccessHostAllowGnubbyAuth | Ruhusu kipengele cha uthibitishaji wa gnubby kwa seva pangishi za uwezo wa kufikia kwa mbali |
RemoteAccessHostAllowRelayedConnection | Washa matumizi ya seva za relei kwa mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostUdpPortRange | Zuia masafa ya lango la UDP yaliyotumiwa na mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostMatchUsername | Washa kipengele kinachohitaji kuwa jina la mtumiaji wa ndani na mmiliki wa seva pangishi yenye uwezo wa kufikia kwa mbali vilingane |
RemoteAccessHostTokenUrl | URL ambapo seva teja za ufikiaji wa mbali zinapaswa kupata tokeni za uthibitishaji |
RemoteAccessHostTokenValidationUrl | URL ya kuidhinisha tokeni ya kuthibitisha seva teja ya ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostTokenValidationCertificateIssuer | Cheti cha seva teja cha kuunganisha kwenye RemoteAccessHostTokenValidationUrl |
RemoteAccessHostAllowUiAccessForRemoteAssistance | Ruhusu watumiaji wa mbali kutumia madirisha yaliyoinuliwa katika vipindi vya usaidizi wa mbali |
Sera za kufungua skrini haraka | |
QuickUnlockModeWhitelist | Configure allowed quick unlock modes |
QuickUnlockTimeout | Weka mara ambazo mtumiaji anatakiwa kuweka nenosiri ili atumie kipengele cha kufungua haraka. |
PinUnlockMinimumLength | Weka kima cha chini cha urefu wa PIN ya skrini iliyofungwa |
PinUnlockMaximumLength | Weka kima cha juu cha urefu wa PIN ya kufunga skrini |
PinUnlockWeakPinsAllowed | Ruhusu watumiaji waweke PIN ambazo si thabiti zitumike kama PIN ya skrini iliyofungwa |
Sera za uthibitishaji wa HTTP | |
AuthSchemes | Mipango inayohimiliwa ya uthibitishaji |
DisableAuthNegotiateCnameLookup | Lemaza kidokezo cha CNAME unapohawilisha uthibitishaji wa Kerberos |
EnableAuthNegotiatePort | Jumuisha lango lisiyo wastani katika Kerberos SPN |
AuthServerWhitelist | Orodha ya kuidhinisha ya seva ya uthibitishaji |
AuthNegotiateDelegateWhitelist | Orodha iliyoidhinishwa ya ukaumu wa seva ya Kerberos |
GSSAPILibraryName | Jina la maktaba ya GSSAPI |
AuthAndroidNegotiateAccountType | Aina ya Akaunti kwa uthibitishaji wa HTTP Negotiate |
AllowCrossOriginAuthPrompt | Vishtuo vya Cross-origin HTTP Basic Auth |
NtlmV2Enabled | Ikiwa uthibishaji wa NTLMv2 umewashwa. |
Seva ya proksi | |
ProxyMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServerMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServer | Anwani au URL ya seva ya proksi |
ProxyPacUrl | URL hadi proksi ya faili ya .pac |
ProxyBypassList | Kanuni za ukwepaji proksi |
Ujumbe wa Asili | |
NativeMessagingBlacklist | Sanidi orodha ya wasioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingWhitelist | Sanidi orodha ya walioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingUserLevelHosts | Allow user-level Native Messaging hosts (installed without admin permissions) |
Ukurasa wa Kichupo Kipya | |
NewTabPageLocation | Weka URL ya ukurasa wa Kichupo Kipya |
Ukurasa wa Kwanza | |
HomepageLocation | Sanidi URL ya ukurasa wa kwanza |
HomepageIsNewTabPage | Tumia Ukurasa Mpya wa Kichupo kama ukurasa wa kwanza |
Usimamizi wa nishati | |
ScreenDimDelayAC | Ufifili wa skrini unachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
ScreenOffDelayAC | Kuchelewa kwa kuzima skirini wakati nishati ya AC inapotumika |
ScreenLockDelayAC | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati nishati ya AC inapotimika |
IdleWarningDelayAC | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
IdleDelayAC | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwenye nishati ya AC |
ScreenDimDelayBattery | Ufifili wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenOffDelayBattery | Kuzimika kwa skrini kunachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenLockDelayBattery | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleWarningDelayBattery | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleDelayBattery | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleAction | Hatua ya kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli unapofikiwa |
IdleActionAC | Kitendo cha kuchukua ucheleweshwaji wa kutulia unapofikiwa wakati inaendeshwa kutumia nishati ya AC |
IdleActionBattery | Kitendo cha kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutofanya kitu umefikiwa ikiendeshwa kutumia nishati ya betri |
LidCloseAction | Hatua ya kuchukua mtumiaji anapofunga mfuniko |
PowerManagementUsesAudioActivity | Bainisha iwapo shughuli za sauti zinaathiri udhibiti wa nishati |
PowerManagementUsesVideoActivity | Bainisha iwapo shughuli za video zinaathiri udhibiti wa nishati |
PresentationScreenDimDelayScale | Asilimia ya kupima kuchelewesha kwa mwanga wa skrini katika modi ya wasilisho |
AllowWakeLocks | Ruhusu wake lock |
AllowScreenWakeLocks | Ruhusu makufuli ya kuwasha skrini |
UserActivityScreenDimDelayScale | Asilimia ambayo mwangaza wa skrini utaongezwa uchelewaji iwapo mtumiaji anaanza kutumia baada ya kupunguza mwangaza |
WaitForInitialUserActivity | Subiri shughuli ya kwanza ya mtumiaji |
PowerManagementIdleSettings | Mipangilio ya kusimamia nishati mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu |
ScreenLockDelays | Ucheleweshaji wa kufunga sjrini |
PowerSmartDimEnabled | Ruhusu muundo mahiri wa kufifiliza mwangaza kuendelea hadi wakati mwangaza wa skrini utakuwa hafifu |
ScreenBrightnessPercent | Asilimia ya ung'avu wa skrini |
Uthibitishaji wa Mbali | |
AttestationEnabledForDevice | Washa usahihishaji wa mbali wa kifaa |
AttestationEnabledForUser | Washa usahihishaji wa mbali kwa mtumiaji |
AttestationExtensionWhitelist | Viendelezi vinaruhusiwa kutumia API ya usahihishaji wa mbali |
AttestationForContentProtectionEnabled | Washa matumizi ya usahihishaji wa mbali wa kulinda maudhui ya kifaa |
Viendelezi | |
ExtensionInstallBlacklist | Sanidi orodha inayotiliwa shaka ya usakinishaji wa kiendelezi |
ExtensionInstallWhitelist | Sanidi orodha iliyoidhinishwa ya usakinishaji kiendelezi |
ExtensionInstallForcelist | Sanidi orodha ya programu na viendelezi vilivyosakinishwa kwa nguvu |
ExtensionInstallSources | Sanidi viendelezi, programu, na vyanzo vya kusakinisha hati |
ExtensionAllowedTypes | Sanidi aina za programu/viendelezi zinazoruhusiwa |
ExtensionSettings | Mipangilio ya kudhibiti viendelezi |
AbusiveExperienceInterventionEnforce | Kuingilia Kati ili Kuzuia Matumizi Yanayopotosha |
AdsSettingForIntrusiveAdsSites | Mipangilio ya matangazo kwa tovuti zilizo na matangazo yanayokatiza matumizi |
AllowDeletingBrowserHistory | Washa ufutaji wa historia ya upakuaji na kivinjari |
AllowDinosaurEasterEgg | Ruhusu Mchezo Fiche wa Dinosau |
AllowFileSelectionDialogs | Ruhusu ubatilishaji wa vidadisi vya uchaguzi wa faili |
AllowKioskAppControlChromeVersion | Ruhusu kipengele kilichofunguliwa kiotomatiki bila chochote kuchelewesha programu inayotumia skrini nzima kudhibiti toleo la Google Chrome OS |
AllowOutdatedPlugins | Ruhusu kuendesha programu jalizi ambazo zimepitwa na wakati. |
AllowScreenLock | Ruhusu kufunga skrini |
AllowedDomainsForApps | Bainisha vikoa vinavyoruhusiwa kufikia G Suite |
AllowedInputMethods | Weka mipangilio ya mbinu za kuingiza data zinazoruhusiwa katika kipindi cha mtumiaji |
AllowedLanguages | Weka mipangilio ya lugha zinazoruhusiwa katika kipindi cha mtumiaji |
AlternateErrorPagesEnabled | Wezesha kurasa badala za hitilafu |
AlwaysOpenPdfExternally | Fungulia faili za PDF nje kila wakati |
ApplicationLocaleValue | Lugha ya programu |
ArcAppInstallEventLoggingEnabled | Rekodi matukio ya usakinishaji wa programu za Android |
ArcBackupRestoreServiceEnabled | Dhibiti huduma ya Android ya kuhifadhi nakala na kurejesha |
ArcCertificatesSyncMode | Weka upatikanaji wa cheti kwa programu za ARC |
ArcEnabled | Washa kipengele cha ARC |
ArcGoogleLocationServicesEnabled | Dhibiti huduma za mahali za Google kwenye Android |
ArcPolicy | Weka mipangilio ya ARC |
AudioCaptureAllowed | Ruhusu au upinge kurekodi sauti |
AudioCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa sauti bila ushawishi |
AudioOutputAllowed | Ruhusu kucheza sauti |
AutoFillEnabled | Washa uwezo wa Kujaza kitomatiki |
AutofillAddressEnabled | Washa kipengele cha Kujaza Kiotomatiki kwa anwani |
AutofillCreditCardEnabled | Washa kipengele cha Jaza Kiotomatiki kwa kadi za mikopo |
AutoplayAllowed | Ruhusu maudhui yacheze kiotomatiki |
AutoplayWhitelist | Ruhusu maudhui yacheze kiotomatiki kwenye orodha ya ruwaza za URL zilizoidhinishwa |
BackgroundModeEnabled | Endelea kuendesha programu za mandharinyuma wakati Google Chrome imefungwa |
BlockThirdPartyCookies | Zuia vidakuzi vya wengine |
BookmarkBarEnabled | Wezesha Upau wa Alamisho |
BrowserAddPersonEnabled | Washa kipengele cha kuongeza wasifu katika kidhibiti cha mtumiaji |
BrowserGuestModeEnabled | Washa matumizi ya wageni katika kivinjari |
BrowserNetworkTimeQueriesEnabled | Ruhusu hoja kwenye huduma ya wakati ya Google |
BrowserSignin | Mipangilio ya kuingia katika akaunti ya kivinjari |
BuiltInDnsClientEnabled | Tumia DNS teja ya kijenzi cha ndani |
CaptivePortalAuthenticationIgnoresProxy | Uthibitishaji wa ukurasa wavuti hupuuza seva mbadala |
CertificateTransparencyEnforcementDisabledForCas | Zima utekelezaji wa Uwazi wa Cheti katika orodha ya hashi za subjectPublicKeyInfo |
CertificateTransparencyEnforcementDisabledForLegacyCas | Zima utekelezaji wa Uwazi wa Cheti katika orodha ya Mamlaka ya Vyeti Vilivyopitwa na Wakati |
CertificateTransparencyEnforcementDisabledForUrls | Zima utekelezaji wa Uwazi wa Cheti kwa orodha ya URL |
ChromeCleanupEnabled | Washa Kipengele cha Kusafisha Chrome kwenye Windows |
ChromeCleanupReportingEnabled | Hudhibiti jinsi Kipengele cha Kusafisha Chrome huripoti data kwa Google |
ChromeOsLockOnIdleSuspend | Wawezesha kufunga wakati kifaa kinapokuwa hakifanyi kitu au kimesimamishwa |
ChromeOsMultiProfileUserBehavior | Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha wasifu nyingi |
ChromeOsReleaseChannel | Kituo cha Kutoa |
ChromeOsReleaseChannelDelegated | Ikiwa kituo cha kutoa kinastahili kusanidiwa na mtumiaji. |
CloudPrintProxyEnabled | Wezesha proksi ya Google Cloud Print |
CloudPrintSubmitEnabled | Wezesha uwasilishaji wa nyaraka kwenye Google Cloud Print |
ComponentUpdatesEnabled | Ruhusu masasisho ya vipengele katika Google Chrome |
ContextualSearchEnabled | Washa kipengele cha Gusa ili Utafute |
ContextualSuggestionsEnabled | Washa mapendekezo ya muktadha wa kurasa za wavuti husika |
CrostiniAllowed | Mtumiaji anaweza kutumia Crostini |
DataCompressionProxyEnabled | Washa kipengee cha proksi cha upunguzaji wa data |
DefaultBrowserSettingEnabled | Weka Google Chrome kama Kivinjari Chaguomsingi |
DefaultDownloadDirectory | Weka saraka chaguomsingi ya kupakua |
DefaultPrinterSelection | Sheria za kuchagua printa chaguomsingi |
DeveloperToolsAvailability | Dhibiti mahali ambapo Zana za Wasanidi Programu zinaweza kutumika |
DeveloperToolsDisabled | Lemaza Zana za Wasanidi Programu |
DeviceAllowBluetooth | Ruhusu Bluetooth kwenye kifaa |
DeviceAllowNewUsers | Ruhusu uundaji wa akaunti mpya za mtumiaji |
DeviceAllowRedeemChromeOsRegistrationOffers | Ruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome |
DeviceAutoUpdateDisabled | Zima kipengele cha Kusasisha Kiotomatiki |
DeviceAutoUpdateP2PEnabled | Usasishaji kiotomatiki wa P2P umewashwa |
DeviceAutoUpdateTimeRestrictions | Sasisha Masharti ya Wakati |
DeviceBlockDevmode | Zuia hali ya wasanidi programu |
DeviceDataRoamingEnabled | Wezesha utumiaji wa data nje ya mtandao wako wa kawaida |
DeviceEphemeralUsersEnabled | Futa data ya mtumiaji unapoondoka |
DeviceGuestModeEnabled | Wezesha modi ya wageni |
DeviceHostnameTemplate | Kiolezo cha jina la mpangishaji wa mtandao wa kifaa |
DeviceKerberosEncryptionTypes | Aina za usimbaji wa Kerberos zinazoruhusiwa |
DeviceLocalAccountAutoLoginBailoutEnabled | Washa njia ya mkato ya kibodi ya usaidizi wa kuingia otomatiki |
DeviceLocalAccountAutoLoginDelay | Kipima muda cha kuingia kiotomatiki katika akaunti iliyo kwenye kifaa |
DeviceLocalAccountAutoLoginId | Kuingia kiotomatiki katika akaunti iliyo kwenye kifaa |
DeviceLocalAccountManagedSessionEnabled | Ruhusu vipindi vinavyodhibitiwa kwenye kifaa |
DeviceLocalAccountPromptForNetworkWhenOffline | Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao |
DeviceLocalAccounts | Akaunti za kifaa cha karibu nawe |
DeviceLoginScreenAppInstallList | Weka orodha ya programu zilizosakinishwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenAutoSelectCertificateForUrls | Chagua kiotomatiki vyeti vya mteja vya tovuti hizi kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDomainAutoComplete | Washa kipengee cha jina la kikoa cha kukamilisha kiotomatiki wakati wa mtumiaji kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenInputMethods | Miundo ya kibodi ya skrini ya kuingia katika kifaa |
DeviceLoginScreenIsolateOrigins | Washa Utengaji wa Tovuti katika sehemu zilizobainishwa |
DeviceLoginScreenLocales | Lugha ya skrini ya kuingia katika kifaa |
DeviceLoginScreenPowerManagement | Udhibiti wa nishati kwenye skrini ya kuingia |
DeviceLoginScreenSitePerProcess | Washa kipengele cha Utengaji wa Tovuti katika kila tovuti |
DeviceMachinePasswordChangeRate | Kasi ya kubadilisha nenosiri kwenye mashine |
DeviceMetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa metriki |
DeviceNativePrinters | Faili za mipangilio ya printa ya biashara kwenye vifaa |
DeviceNativePrintersAccessMode | Sera ya kufikia mipangilio ya printa za vifaa. |
DeviceNativePrintersBlacklist | Printa za biashara zisizotumia sera |
DeviceNativePrintersWhitelist | Printa za biashara zinazotumia sera |
DeviceOffHours | Vipindi vya saa zisizo za kazi ambapo sera za kifaa zilizobainishwa hutolewa |
DeviceOpenNetworkConfiguration | Usanidi wa mtandao wa kiwango cha kifaa |
DevicePolicyRefreshRate | Onyesha upya kiwango cha Sera ya Kifaa |
DeviceQuirksDownloadEnabled | Washa kipengele cha hoja za Seva ya Quirks ya wasifu wa maunzi |
DeviceRebootOnShutdown | Uwashaji tena kiotomatiki baada ya kuzima kifaa |
DeviceRollbackAllowedMilestones | Idadi ya matukio ya urejeshaji inaruhusiwa |
DeviceRollbackToTargetVersion | Rejea kwenye toleo lengwa |
DeviceSecondFactorAuthentication | Hali ya uthibitishaji wa hatua mbili iliyowekwa |
DeviceShowUserNamesOnSignin | Onyesha majina ya watumiaji kwenye skrini ya kuingia |
DeviceTargetVersionPrefix | Toleo Lengwa la Kusasisha Otomatiki |
DeviceTransferSAMLCookies | Hamisha vidakuzi vya SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti |
DeviceUnaffiliatedCrostiniAllowed | Ruhusu watumiaji wasio washirika watumie Crostini |
DeviceUpdateAllowedConnectionTypes | Aina za miunganisho zinazoruhusiwa kwa visasisho |
DeviceUpdateHttpDownloadsEnabled | Ruhusu vipakuliwa vya kusasisha kiotomatiki kupitia HTTP |
DeviceUpdateScatterFactor | Sasisha kiotomatiki kipengee cha kutawanya |
DeviceUpdateStagingSchedule | Ratiba ya kuanzisha mchakato wa kutumia sasisho jipya |
DeviceUserPolicyLoopbackProcessingMode | Hali ya uchakataji unaojirudia wa sera ya mtumiaji |
DeviceUserWhitelist | Ingia kwenye orodha ya kutoa idhini ya mtumiaji |
DeviceWallpaperImage | Picha ya mandhari ya kifaa |
Disable3DAPIs | Lemaza uhimili wa API za michoro ya 3D |
DisablePrintPreview | Lemaza Uhakiki wa Uchapishaji |
DisableSafeBrowsingProceedAnyway | Lemaza kuendelea kutoka kwenye ukurasa wa ilani ya Kuvinjari Salama |
DisableScreenshots | Zima upigaji picha za skrini |
DisabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizolemazwa |
DisabledPluginsExceptions | Bainisha orodha ya programu jalizi ambayo mtumiaji anaweza kuwezesha au kulemaza |
DisabledSchemes | Lemaza mipango ya itifaki ya URL |
DiskCacheDir | Weka saraka ya akiba ya diski |
DiskCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski katika baiti |
DisplayRotationDefault | Weka mzunguko chaguomsingi wa onyesho, unaotumika kila unapowashwa tena |
DownloadDirectory | Weka saraka ya kupakua |
DownloadRestrictions | Weka vikwazo vya upakuaji |
EasyUnlockAllowed | Huruhusu Smart Lock itumiwe |
EcryptfsMigrationStrategy | Mkakati wa uhamishaji wa ecryptfs |
EditBookmarksEnabled | Washa au uzime kipengele cha kubadilisha alamisho |
EnableDeprecatedWebPlatformFeatures | Washa vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti kwa muda mfupi |
EnableOnlineRevocationChecks | Ikiwa ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL umeatekelezwa |
EnableSha1ForLocalAnchors | Iwe vyeti vya sahihi ya SHA-1 vilivyotolewa na nanga za ndani zinazoaminika vinaruhusiwa |
EnableSymantecLegacyInfrastructure | Ikiwa utaruhusu uaminifu katika sera ya Muundomsingi wa PKI ya Symantec Corporation Legacy |
EnableSyncConsent | Washa kipengele cha kuonyesha Idhini ya Usawazishaji wakati wa kuingia katika akaunti |
EnabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizowezeshwa |
EnterpriseHardwarePlatformAPIEnabled | Huruhusu viendelezi vinavyodhibitiwa kutumia API ya Enterprise Hardware Platform |
ExtensionCacheSize | Weka ukubwa wa akiba inayoruhusiwa ya Programu na Viendelezi (katika baiti) |
ExternalStorageDisabled | Lemaza uangikaji wa hifadhi ya nje |
ExternalStorageReadOnly | Treat external storage devices as read-only |
ForceBrowserSignin | Washa kulazimisha kuingia katika akaunti ya Google Chrome |
ForceEphemeralProfiles | Mfumo wa Muda Mfupi |
ForceGoogleSafeSearch | Lazimisha Google SafeSearch |
ForceMaximizeOnFirstRun | Tanua dirisha la kwanza la kivinjari unapofungua mara ya kwanza |
ForceSafeSearch | Lazimisha SafeSearch |
ForceYouTubeRestrict | Lazimisha Kiwango cha chini cha Hali yenye Mipaka kwenye YouTube |
ForceYouTubeSafetyMode | Lazimisha Hali Salama ya YouTube |
FullscreenAllowed | Ruhusu hali ya skrini nzima |
HardwareAccelerationModeEnabled | Tumia uongezaji kasi wa maunzi wakati unapatikana |
HeartbeatEnabled | Tuma vifurushi vya mtandao kwenye seva ya udhibiti ili kufuatilia hali ya mtandao |
HeartbeatFrequency | Idadi ya kufuatilia vifurushi vya mtandao |
HideWebStoreIcon | Ficha duka la wavuti kwenye ukurasa mpya wa kichupo na kifungua programu cha Chrome |
Http09OnNonDefaultPortsEnabled | Washa matumizi ya HTTP/0.9 kwenye milango isiyo chaguomsingi |
ImportAutofillFormData | Leta data ya fomu ya kujaza otomatiki kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportBookmarks | Ingiza alamisho kutoka kivinjari chaguomsingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHistory | Leta historia ya kivinjari kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHomepage | Leta ukurasa wa mwanzo kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSavedPasswords | Leta manenosiri yaliyohifadhiwa kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSearchEngine | Leta injini za utafutaji kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
IncognitoEnabled | Washa hali Fiche |
IncognitoModeAvailability | Upatikanaji wa hali fiche |
InstantTetheringAllowed | Ruhusu matumizi ya Usambazaji wa Mtandao Papo Hapo. |
IsolateOrigins | Washa Utengaji wa Tovuti katika sehemu zilizobainishwa |
IsolateOriginsAndroid | Washa sera ya Utengaji wa Tovuti katika vyanzo vilivyobainishwa kwenye vifaa vya Android |
JavascriptEnabled | Wezesha JavaScript |
KeyPermissions | Ruhusa za Funguo |
LogUploadEnabled | Tuma kumbukumbu za mfumo kwenye seva ya udhibiti |
LoginAuthenticationBehavior | Weka mipangilio ya tabia ya kithibitishaji cha kuingia katika akaunti |
LoginVideoCaptureAllowedUrls | URL zitakazopewa idhini ya kufikia vifaa vya kurekodi video kwenye kurasa za kuingia katika SAML |
MachineLevelUserCloudPolicyEnrollmentToken | Tokeni ya ujumuishaji wa sera ya wingu kwenye eneo-kazi |
ManagedBookmarks | Alamisho Zinazosimamiwa |
MaxConnectionsPerProxy | Kiwango cha juu kabisa cha miunganisho ya wakati mmoja kwenye seva ya proksi |
MaxInvalidationFetchDelay | Upeo wa juu wa ucheleweshaji wa kuleta baada ya kutothibitisha sera |
MediaCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski ya media katika vipimo vya baiti |
MediaRouterCastAllowAllIPs | Ruhusu Google Cast iunganishwe na Vifaa vinavyotuma maudhui kwenye anwani zote za IP. |
MetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa matumizi na data zinazohusu mvurugiko |
MinimumRequiredChromeVersion | Weka mipangilio ya msingi inayoruhusiwa ya toleo la Chrome kwenye kifaa. |
NTPContentSuggestionsEnabled | Onyesha mapendekezo ya maudhui kwenye ukurasa wa Kichupo Kipya |
NativePrinters | Uchapishaji Asilia |
NativePrintersBulkAccessMode | Sera ya kufikia mipangilio ya printa |
NativePrintersBulkBlacklist | Printa za biashara zisizotumia sera |
NativePrintersBulkConfiguration | Faili za mipangilio ya printa ya biashara |
NativePrintersBulkWhitelist | Printa za biashara zinazotumia sera |
NetworkPredictionOptions | Wezesha ubashiri wa mtandao |
NetworkThrottlingEnabled | Washa kipengele cha kudhibiti kipimo data cha mtandao |
NoteTakingAppsLockScreenWhitelist | Toa idhini kwa programu za kuandika madokezo zinazoruhusiwa kwenye skrini iliyofungwa ya Google Chrome OS |
OpenNetworkConfiguration | Usanidi mtandao wa kiwango cha mtumiaji |
OverrideSecurityRestrictionsOnInsecureOrigin | Mitindo ya vyanzo au ya majina ya seva pangishi ambako vizuizi vya vyanzo visivyo salama havipaswi kutumika |
PacHttpsUrlStrippingEnabled | Washa kipengee cha kuondoa URL ya PAC (kwa https://) |
PinnedLauncherApps | Orodha ya programu zilizobanwa ili kuonekana kwenye kizunduzi |
PolicyRefreshRate | Kiwango cha kuonyesha upya kwa sera ya mtumiaji |
PrintHeaderFooter | Chapisha Vichwa na Vijachini |
PrintPreviewUseSystemDefaultPrinter | Tumia Printa Chaguomsingi ya Mfumo kama Chaguomsingi |
PrintingAllowedColorModes | Dhibiti hali ya uchapishaji wa rangi |
PrintingAllowedDuplexModes | Dhibiti hali ya uchapishaji kwenye pande mbili |
PrintingEnabled | Wezesha uchapishaji |
PromotionalTabsEnabled | Ruhusu kuonyeshwa kwa maudhui ya matangazo katika kichupo chote |
PromptForDownloadLocation | Uliza mahali pa kuhifadhi kila faili kabla ya kuipakua. |
QuicAllowed | Ruhusu itifaki ya QUIC |
RebootAfterUpdate | Zima na uwashe tena otomatiki baada ya kusasisha |
RelaunchNotification | Imwarifu mtumiaji kwamba anashauriwa au anatakiwa afungue upya kivinjari au azime kisha awashe kifaa |
RelaunchNotificationPeriod | Weka kipindi cha arifa za usasishaji |
ReportArcStatusEnabled | Ripoti maelezo kuhusu hali ya Android |
ReportCrostiniUsageEnabled | Ripoti maelezo kuhusu matumizi ya programu za Linux |
ReportDeviceActivityTimes | Ripoti muda wa shughuli za kifaa |
ReportDeviceBootMode | Ripoti modi ya kuwasha kifaa |
ReportDeviceHardwareStatus | Ripoti hali ya maunzi |
ReportDeviceNetworkInterfaces | Ripoti violesura vya mtandao wa kifaa |
ReportDeviceSessionStatus | Ripoti taarifa kuhusu vipindi vya skrini nzima vinavyoendelea |
ReportDeviceUsers | Ripoti watumiaji wa kifaa |
ReportDeviceVersionInfo | Ripoti OS na toleo la programu dhibiti |
ReportUploadFrequency | Idadi ya upakiaji wa ripoti ya hali ya kifaa |
RequireOnlineRevocationChecksForLocalAnchors | Iwapo ukaguzi wa OCSP/CRL mtandaoni unahitajika kwa nanga za uaminifu za karibu |
RestrictAccountsToPatterns | Dhibiti akaunti ambazo zinaonekana kwenye Google Chrome |
RestrictSigninToPattern | Dhibiti aina za akaunti za Google zinazoruhusiwa kuwekwa kuwa akaunti za msingi za kivinjari katika Google Chrome |
RoamingProfileLocation | Weka saraka ya wasifu isiyo ya kawaida |
RoamingProfileSupportEnabled | Washa uundaji wa nakala za urandaji za data ya wasifu wa Google Chrome |
RunAllFlashInAllowMode | Panua mipangilio ya maudhui ya Flash kujumuisha maudhui yote |
SAMLOfflineSigninTimeLimit | Weka kikomo cha muda ambao mtumiaji aliyethibitishwa kupitia SAML anaweza kuingia katika akunti nje ya mtandaoni |
SSLErrorOverrideAllowed | Ruhusu kuendelea kutoka kwenye ukurasa wa onyo wa SSL |
SSLVersionMax | Toleo la juu zaidi la SSL limewashwa |
SSLVersionMin | Toleo la chini la SSL limewashwa |
SafeBrowsingForTrustedSourcesEnabled | Washa kipengele cha Kuvinjari Salama katika vyanzo vinavyoaminika |
SafeSitesFilterBehavior | Dhibiti uchujaji wa maudhui ya watu wazima katika SafeSites. |
SavingBrowserHistoryDisabled | Lemaza kuhifadhi historia ya kivinjari |
SearchSuggestEnabled | Wezesha mapendekezo ya utafutaji |
SecondaryGoogleAccountSigninAllowed | Ruhusu Kuingia katika Akaunt Nyingi katika Kivinjari |
SecurityKeyPermitAttestation | URL/vikoa vinaruhusu ufikiaji uliothibitishwa wa kiotomatiki wa moja kwa moja kwa kutumia Ufunguo wa Usalama |
SessionLengthLimit | Limit the length of a user session |
SessionLocales | Weka lugha zinazopendekezwa kwa kipindi kinachodhibitiwa |
ShelfAutoHideBehavior | Dhibiti kujificha kitomatiki kwa rafu |
ShowAppsShortcutInBookmarkBar | Onyesha njia ya mkato katika sehemu ya alamisho |
ShowHomeButton | Onyesha kitufe cha Mwazo kwenye upauzana |
ShowLogoutButtonInTray | Ongeza kitufe cha kuondoka kwenye chano la mfumo |
SigninAllowed | Ruhusu kuingia katika akaunti ya Google Chrome |
SitePerProcess | Washa kipengele cha Utengaji wa Tovuti katika kila tovuti |
SitePerProcessAndroid | Washa kipengele cha Utengaji wa Tovuti katika kila tovuti |
SmartLockSigninAllowed | Huruhusu utumiaji wa Kuingia katika Akaunti kupitia Smart Lock. |
SmsMessagesAllowed | Ruhusu Ujumbe wa SMS kusawazishwa kutoka simu hadi Chromebook. |
SpellCheckServiceEnabled | Wezesha au lemaza huduma ya wavuti ya ukaguzi tahajia |
SpellcheckEnabled | Washa kikagua tahajia |
SpellcheckLanguage | Lazimisha kuwasha sera ya kikagua tahajia |
SuppressUnsupportedOSWarning | Kandamiza onyo la Mfumo wa Uendeshaji usiotumika |
SyncDisabled | Lemaza usawazishaji wa data iliyna Google |
SystemTimezone | Saa za eneo: |
SystemTimezoneAutomaticDetection | Weka mbinu ya ugunduzi wa saa za eneo kiotomatiki |
SystemUse24HourClock | Tumia saa ya saa 24 kwa chaguomsingi |
TPMFirmwareUpdateSettings | Weka mipangilio ya shughuli za kusasisha programu dhibiti ya TPM |
TabLifecyclesEnabled | Huwasha au kuzima muda wa matumizi ya kichupo |
TaskManagerEndProcessEnabled | Washa kipengele cha kutamatisha shughuli katika Kidhibiti cha Shughuli kwenye Chrome |
TermsOfServiceURL | Weka Sheria na Masharti kwa akaunti ya kifaa cha karibu nawe |
ThirdPartyBlockingEnabled | Washa kipengele cha kuzuia uingizaji unaofanywa na programu za kampuni nyingine |
TouchVirtualKeyboardEnabled | Wezesha kibodi isiyobayana |
TranslateEnabled | Wezesha Tafsiri |
URLBlacklist | Zuia ufikivu kwenye orodha za URL |
URLWhitelist | Ruhusu ufikiaji kwenye orodha ya URL |
UnaffiliatedArcAllowed | Ruhusu watumiaji wasio washirika kutumia ARC |
UnifiedDesktopEnabledByDefault | Make Unified Desktop available and turn on by default |
UnsafelyTreatInsecureOriginAsSecure | Mitindo ya vyanzo au ya majina ya seva pangishi ambako vizuizi vya vyanzo visivyo salama havipaswi kutumika |
UptimeLimit | Wekea kifaa vizuizi vya muda wa kuwaka kwa kuzima na kuwasha kiotomatiki |
UrlKeyedAnonymizedDataCollectionEnabled | Washa kipengele cha ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL |
UsageTimeLimit | Kikomo cha Muda |
UsbDetachableWhitelist | Orodha ya vifaa vya USB vinavyoweza kutenganishwa vilivyoidhinishwa |
UserAvatarImage | Picha ya ishara ya mtumiaji |
UserDataDir | Weka saraka ya data ya mtumiaji |
UserDisplayName | Weka jina la onyesho kwa ajili ya akaunti za kifaa cha karibu |
VideoCaptureAllowed | Ruhusu au ukatae kurekodi video |
VideoCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa video bila ushawishi |
VirtualMachinesAllowed | Ruhusu vifaa vitumie mashine pepe vinavyotumia Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome |
VpnConfigAllowed | Mruhusu mtumiaji kudhibiti miunganisho ya VPN |
WPADQuickCheckEnabled | Washa uboreshaji wa WPAD |
WallpaperImage | Picha ya mandhari |
WebDriverOverridesIncompatiblePolicies | Ruhusu WebDriver Ifute Sera Ambazo Hazioani |
WebRtcEventLogCollectionAllowed | Ruhusu ukusanyaji wa kumbukumbu za matukio ya WebRTC kutoka huduma za Google |
WebRtcUdpPortRange | Dhibiti masafa ya milango ya ndani ya UDP inayotumiwa na WebRTC |
WelcomePageOnOSUpgradeEnabled | Enable showing the welcome page on the first browser launch following OS upgrade |
Ikiwa sera hii imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, Google Cast itawashwa na watumiaji wataweza kuifungua kwenye menyu ya programu, menyu za ukurasa, vidhibiti vya maudhui kwenye tovuti zinazoweza kutumia Google Cast na (ikiwa imeonyeshwa) aikoni ya upau wa vidhibiti vya Google Cast.
Ikiwa sera hii imewekwa kuwa sivyo, Google Cast itazimwa.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, aikoni ya upau wa vidhibiti vya Google Cast itaonyeshwa kila wakati kwenye upau wa vidhibiti au menyu ya vipengee vya ziada, na watumiaji hawataweza kuiondoa.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, watumiaji wataweza kubandika au kuondoa aikoni kupitia menyu yake.
Sera ya "EnableMediaRouter" ikiwekwa kuwa sivyo, basi thamani ya sera hii haitakuwa na athari, na aikoni ya upau wa vidhibiti haitaonyeshwa.
If this setting is enabled, users can have Google Chrome memorize passwords and provide them automatically the next time they log in to a site.
If this settings is disabled, users cannot save new passwords but they may still use passwords that have been saved previously.
If this policy is enabled or disabled, users cannot change or override it in Google Chrome. If this policy is unset, password saving is allowed (but can be turned off by the user).
Sera hii haiathiri programu za Android.
Sera hii hudhibiti ikiwa unapaswa kuripoti maelezo ya toleo, kama vile toleo la mfumo wa uendeshaji, mifumo ya uendeshaji, usanifu wa mfumo wa uendeshaji, toleo la Google Chrome na kituo cha Google Chrome.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo, maelezo ya toleo hukusanywa. Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, maelezo ya toleo hayakusanywi.
Sera hii inatumika tu wakati umewasha Chrome Reporting Extension na mashine imejumuishwa katika MachineLevelUserCloudPolicyEnrollmentToken.
Sera hii inadhibiti iwapo utaripoti data ya sera na wakati wa kuleta sera.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo, maelezo ya data ya sera na wakati wa kuleta sera yatakusanywa. Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, maelezo ya data ya sera na wakati wa kuleta sera hayakusanywi.
Sera hii inatumika tu wakati umewasha Chrome Reporting Extension na mashine imejumuishwa katika MachineLevelUserCloudPolicyEnrollmentToken.
Sera hii hudhibiti iwapo unapaswa kuripoti maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha mashine kama vile jina la mashine na anwani za mtandao.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo, maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha mashine hukusanywa. Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha mashine hayakusanywi
Sera hii inatumika tu wakati umewasha Chrome Reporting Extension na mashine imejumuishwa katika MachineLevelUserCloudPolicyEnrollmentToken.
Sera hii inadhibiti ikiwa unapaswa kuripoti maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha watumiaji kama vile kuingia katika akaunti ya mfumo wa uendeshaji, Kuingia katika akaunti ya wasifu kwenye Google Chrome,Jina la wasifu kwenye Google Chrome, Njia ya wasifu ya Google Chrome na Njia ya utekelezaji ya Google Chrome.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo, maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha watumiaji hukusanywa. Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, maelezo yanayoweza kutumika kutambulisha watumiaji hayakusanywi.
Sera hii inatumika tu wakati umewasha Chrome Reporting Extension na mashine imejumuishwa katika MachineLevelUserCloudPolicyEnrollmentToken.
Enables the use of a default search provider.
If you enable this setting, a default search is performed when the user types text in the omnibox that is not a URL.
You can specify the default search provider to be used by setting the rest of the default search policies. If these are left empty, the user can choose the default provider.
If you disable this setting, no search is performed when the user enters non-URL text in the omnibox.
If you enable or disable this setting, users cannot change or override this setting in Google Chrome.
If this policy is left not set, the default search provider is enabled, and the user will be able to set the search provider list.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Inabainisha jina la mtoaji wa utafutaji chaguo -msingi. Likiachwa tupu au bila kuwekwa, jina la mpangishaji lililobainishwa na URL ya utafutaji litatumiwa.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' itawezeshwa.
Hubainisha neno muhimu, ambalo ni njia mkato inayotumiwa katika SanduKuu kusisimua utafutaji kwa mtoa huduma huyu.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna neno muhimu litakaloamilisha mtoa huduma ya utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumika unapofanya utafutaji chaguomsingi. URL inapaswa kuwa na mfuatano wa '{searchTerms}', ambao nafasi yake inachukuliwa wakati wa kuandika hoja ya maneno ambayo mtumiaji anatafuta.
URL ya utafutaji wa Google inaweza kubanishwa kuwa: '{google:baseURL}search?q={searchTerms}&{google:RLZ}{google:originalQueryForSuggestion}{google:assistedQueryStats}{google:searchFieldtrialParameter}{google:searchClient}{google:sourceId}ie={inputEncoding}'.
Lazima chaguo hili liwekwe wakati sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa na itazingatiwa tu hali hii ikitimizwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta uliotumiwa kutoa mapendekezo ya utafutaji. URL sharti iwe na mfuatano '{searchTerms}', ambao nafasi yake itachukuliwa wakati wa kuandika hoja ya maandishi ambayo mtumiaji atakuwa ameweka.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna mapendekezo ya URL yatakayotumiwa.
URL ya mapendekezo ya Google inaweza kubainishwa kuwa: '{google:baseURL}complete/search?output=chrome&q={searchTerms}'.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Inabainisha aikoni ya URL pendwa ya mtoaji chaguomsingi wa utafutaji.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haitawekwa, hakuna aikoni itakayokuwepo kwa mtojai wa utafutaji.
Sera hii inafuatiliwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Inabainisha usimbaji wa vibambo unaohimiliwa na kitoaji cha utafutaji. Usimbaji ni majini ya ukurasa msimbo kama UTF-8, GB2312, na ISO-8859-1. Yanajaribiwa katika mpangilio uliotolewa.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, chaguomsingi itatumika ambayo nis UTF-8.
Sera hii inaheshimiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha orodha ya URL mbadala zinazoweza kutumiwa ili kupata taminolijia za utafutaji kutoka kwenye mtambo wa kutafuta. URL zinafaa kuwa na maneno '{searchTerms}', ambayo yatatumika kupata taminolojia za utafutaji.
Sera hii ni ya hiari, Iwapo haijawekwa, hakuna url mbadala zitazotumika kupata hoja za utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu iwapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ya injini tafuti inayotumika kutoa utafutaji kwa picha. Maombi ya utafutaji yatatumwa kwa kutumia mbinu ya GET. Kama sera ya DefaultSearchProviderImageURLPostParams imewekwa basi maombi ya utafutaji kwa picha yatatumia mbinu ya POST badala yake.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, hakuna utafutaji kwa picha utakaotumika.
Sera hii itatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ambayo injini ya utafutaji inatumia kutoa ukurasa mpya wa kichupo.
Sera hii ni ya hiari. Kama haitawekwa, hakuna ukurasa mpya wa kichupo utatolewa.
Sera hii inatumika tu kama sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kutafuta URL kwa kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji litatumwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa mapendekezo kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama, {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa mapendekezo litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa picha kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Kijipicha} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya kijipicha cha picha halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa picha litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Allows you to specify the behavior on startup.
If you choose 'Open New Tab Page' the New Tab Page will always be opened when you start Google Chrome.
If you choose 'Restore the last session', the URLs that were open last time Google Chrome was closed will be reopened and the browsing session will be restored as it was left. Choosing this option disables some settings that rely on sessions or that perform actions on exit (such as Clear browsing data on exit or session-only cookies).
If you choose 'Open a list of URLs', the list of 'URLs to open on startup' will be opened when a user starts Google Chrome.
If you enable this setting, users cannot change or override it in Google Chrome.
Disabling this setting is equivalent to leaving it not configured. The user will still be able to change it in Google Chrome.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
If 'Open a list of URLs' is selected as the startup action, this allows you to specify the list of URLs that are opened. If left not set no URL will be opened on start up.
This policy only works if the 'RestoreOnStartup' policy is set to 'RestoreOnStartupIsURLs'.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Sera hii inadhibiti iwapo kipengele cha Faili za Kushiriki katika Mtandao kwenye Google Chrome OS kinaruhusiwa kwa mtumiaji.
Iwapo hujaweka mipangilio ya sera hii au umeiweka kuwa Ndiyo, watumiaji wataweza kutumia Faili za Kushiriki katika Mtandao.
Iwapo umeweka sera hii kuwa Sivyo, watumiaji hawataweza kutumia Faili za Kushiriki katika Mtandao.
Sera hii inadhibiti iwapo kipengele cha Faili za Kushiriki kwenye Mtandao cha Google Chrome OS kinapaswa kitumie NetBIOS Name Query Request protocol ili kugundua faili zinazoshirikiwa kwenye mtandao wako. Wakati sera hii imewekwa kuwa Ndivyo, kipengele cha kugundua faili za kushiriki kitatumia itifaki ya NetBIOS Name Query Request protocol ili kugundua faili zinazoshirikiwa kwenye mtandao. Sera hii inapowekwa kuwa Sivyo, kipengele cha kugundua faili za kushiriki hakitatumia itifaki ya NetBIOS Name Query Request protocol ili kugundua faili zinazoshirikiwa kwenye mtandao. Ikiwa sera hii haijawekwa, hali chaguomsingi huzimwa kwa watumiaji wanaosimamiwa kibiashara na kuwashwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Sera hii inadhibiti iwapo kipengele cha Faili za Kushiriki Mtandaoni katika Google Chrome OS kitatumia NTLM kuthibitisha.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa Ndivyo, NTLM itatumika kuthibitisha faili za kushiriki za SMB panapohitajika. Iwapo sera hii imewekwa kuwa Sivyo, kipengele cha kuthibisha cha NTLM kwenye faili za kushiriki za SMB kitazimwa.
Iwapo sera hii haijawekwa, mipangilio chaguomsingi itazimwa kwa watumiaji wanaodhibitiwa na biashara na kitawashwa kwa watumiaji wasiodhibitiwa.
Hubainisha orodha ya faili za kushiriki mtandaoni zilizowekewa mipangilio mapema.
Kila kipengee cha orodha ya sera ni kipengele kilicho na sehemu mbili: "url ya kushiriki" na "hali". "url ya kushiriki" inapaswa kuwa URL ya kipengee cha kushiriki na "hali" inapaswa kuwa "menyu kunjuzi" ambayo inaashiria kuwa "url ya kushiriki" itaongezwa kwenye menyu kunjuzi ya kutambua kipengee cha kushiriki.
Huwasha kipengele cha Kuvinjari Salama cha Google Chrome na huzuia watumiaji wasibadilishe mipangilio hii.
Ukiwasha mipangilio hii, kipengele cha Kuvinjari Salama kitatumika kila wakati.
Ukizima mipangilio hii, kipengele cha Kuvinjari Salama hakitatumiki kamwe.
Ukiwasha au uzime mipangilio hii, watumiaji hawataweza kubadilisha au kufuta mipangilio ya "Ruhusu ulinzi dhidi ya wizi wa data na programu hasidi" katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii haitawekwa, mipangilio hii itawashwa lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari Salama.
Sera hii haipatikani katika matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Huwasha Kipengele cha Kuripoti kwa Upana Kuvinjari Salama cha Google Chrome na huzuia watumiaji wasibadilishe mipangilio hii.
Kipengele cha Kuripoti kwa Upana hutuma baadhi ya maelezo ya mfumo na maudhui ya ukurasa kwenye seva za Google ili kusaidia kutambua programu na tovuti hatari.
Kama mipangilo imewekwa kuwa ndivyo, basi ripoti zitaundwa na kutumwa wakati wowote zinapohitajika (kwa mfano, wakati ambapo skrini ya usalama inaonyeshwa).
Kama mipangilo imewekwa kuwa sivyo, ripoti hazitawahi kutumwa.
Kama sera imewekwa kuwa ndivyo au sivyo, watumiaji hawataweza kubadilisha mipangilio.
Kama sera hii haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio na kuamua ikiwa atatuma au hatatuma ripoti.
Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari Salama.
Mipangilio hii haitumiki tena, tumia SafeBrowsingExtendedReportingEnabled badala yake. Kuwasha au kuzima SafeBrowsingExtendedReportingEnabled ni sawa na kuweka mipangilio ya SafeBrowsingExtendedReportingOptInAllowed kuwa Sivyo.
Kuweka sera hii kuwa sivyo kunazuia watumiaji wasichague kutuma baadhi ya maelezo ya mfumo na maudhui ya ukurasa kwenye seva za Google. Ikiwa mipangilio hii imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, basi watumiaji wataruhusiwa kutuma baadhi ya maelezo ya mfumo na maudhui ya ukurasa kwenye kipengele cha Kuvinjari Salama ili kusaidia kugundua programu na tovuti hatari.
Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari Salama.
Weka mipangilio ya orodha za vikoa ambavyo kipengele cha Kuvinjari Salama kinaamini. Hii inamaanisha: Kipengele cha Kuvinjari Salama hakitakagua nyenzo hatari (kwa mfano, wizi wa data ya binafsi, programu hasidi na programu zisizotakikana) iwapo URL zake zinalingana na vikoa hivi. Huduma ya ulinzi wa upakuaji katika kipengele cha Kuvinjari Salama haitakagua vipakuliwa vitakavyopangishwa kwenye vikoa hivi. Huduma ya ulinzi wa manenosiri katika kipengele cha Kuvinjari Salama haitakagua utumiaji tena wa manenosiri ikiwa URL ya ukurasa italingana na vikoa hivi.
Kama mipangilio hii imewashwa, basi kipengele cha Kuvinjari Salama kinaamini vikoa hivi. Kama mipangilio hii imezimwa au haijawekwa, basi itatumia ulinzi chaguomsingi wa Kuvinjari Salama katika nyenzo zote. Sera hii haipatikani katika matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Inakuruhusu udhibiti kisababishi cha onyo la ulinzi wa nenosiri. Ulinzi wa nenosiri huonya watumiaji wakati wanatumia tena nenosiri lao linalolindwa kwenye tovuti ambazo huenda zikawa hatari.
Unaweza kutumia sera za 'PasswordProtectionLoginURLs' na 'PasswordProtectionChangePasswordURL' ili kuweka mipangilio ya nenosiri utakalolinda.
Iwapo umeweka sera hii kuwa 'PasswordProtectionWarningOff', hutaona onyo lolote la ulinzi wa nenosiri. Iwapo umeweka sera hii kuwa 'PasswordProtectionWarningOnPasswordReuse', utaona onyo la ulinzi wa nenosiri wakati watumiaji watatumia tena nenosiri lao kwenye tovuti ambayo haijaidhinishwa. Iwapo umeweka sera hii kuwa 'PasswordProtectionWarningOnPhishingReuse', onyo la ulinzi wa nenosiri litaonyeshwa wakati mtumiaji anatumia tena nenosiri linalolindwa kwenye tovuti inayoiba data. Iwapo sera hii haijawekwa, huduma ya ulinzi wa nenosiri italinda tu manenosiri ya Google lakini mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii.
Weka mipangilio ya orodha ya URL za biashara za kuingia katika akaunti (HTTP na HTTPS pekee). Alama bainifu ya nenosiri itarekodiwa kwenye URL hizi na kutumika kwa utambulishaji wa nenosiri lililotumika tena. Ili Google Chrome iweze kurekodi alama bainifu ipasavyo, tafadhali hakikisha kuwa kurasa zako za kuingia katika akaunti zinafuata mwongozo kwenye https://www.chromium.org/developers/design-documents/create-amazing-password-forms.
Ikiwa mipangilio hii imewashwa, basi huduma ya kulinda nenosiri itarekodi alama bainifu ya nenosiri kwenye URL hizi kwa ajili ya kutambua nenosiri linapotumika tena. Ikiwa mipangilio hii haijawashwa au haijawekwa, basi huduma ya kulinda nenosiri itarekodi tu alama bainifu ya nenosiri kwenye https://accounts.google.com. Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Weka mipangilio ya kubadilisha URL ya nenosiri (mifumo ya HTTP na HTTPS pekee). Huduma ya ulinzi wa nenosiri itaelekeza watumiaji kwenye URL hii ili wabadilishe manenosiri baada ya kuona ilani katika kivinjari. Ili Google Chrome iweze kurekodi vizuri alama bainifu ya nenosiri jipya kwenye ukurasa huu wa kubadilisha nenosiri, tafadhali hakikisha kuwa ukurasa wa kubadilisha nenosiri lako unafuata mwongozo ulio kwenye https://www.chromium.org/developers/design-documents/create-amazing-password-forms.
Iwapo umewasha mipangilio hii, inamaanisha kuwa huduma ya ulinzi wa nenosiri itaelekeza watumiaji kwenye URL hii ili wabadilishe nenosiri lao baada ya kuona onyo katika kivinjari. Iwapo mipangilio imezimwa au haijawekwa, inamaanisha kuwa huduma ya ulinzi wa nenosiri itaelekeza watumiaji kwenye https://myaccounts.google.com ili wabadilishe nenosiri lao. Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Hukuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuweka data ya ndani. Kuweka data ya ndani kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Sera hii ikiwekwa 'Weka vidakuzi kwa muda wa kipindi' basi vidakuzi vitafutwa kipindi kikifungwa. Kumbuka kwamba ikiwa Google Chrome inatekeleza katika 'hali ya chini chini', huenda kipindi kisifungwe wakati dirisha la mwisho litakapofungwa. Tafadhali angalia sera ya 'BackgroundModeEnabled' kwa maelezo zaidi kuhusu kusanidi tabia hii.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, kipengee cha 'AllowCookies' kitatumiwa na mtumiaji ataweza kukibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha picha. Kuonyesha picha kunaweza kuwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowImages' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Kumbuka kuwa hapo awali sera hii iliwashwa kimakosa kwenye Android, lakini kipengele hiki hakijawahi kutumika kikamilifu kwenye Android.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuendesha JavaScript. Kuendesha JavaScript kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowJavaScript' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Hukuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kutekeleza kiotomatiki programu jalizi ya Flash. Kutekeleza programu jalizi ya Flash kiotomatiki kunaweza aidha kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Kubofya ili kucheza kutaruhusu programu jalizi ya Flash kutekelezwa lakini mtumiaji lazima abofye kwenye kishika nafasi ili kuitekeleza.
Uchezaji tena wa kiotomatiki huruhusiwa kwa vikoa vilivyoorodheshwa wazi katika sera ya PluginsAllowedForUrls. Kama ungependa kuwasha uchezaji kiotomatiki wa tovuti zote zingatia kuongeza http://* na https://* kwenye orodha hii.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii yeye mwenyewe.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kuonyesha ibukizi. Kuonyesha ibukizi kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'BlockPopups' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha arifa. Kuonyesha arifa za eneo-kazi kunaweza kuruhusiwa kwa chaguomsingi, kukataliwa kwa chaguomsingi au mtumiaji anawewa kuulizwa kila wakati tovuti inayotaka kuonyesha arifa za eneo-kazi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskNotifications' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inaruhusu iwapo tovuti zinaruhusiwa kufuatilia eneo halisi la mtumiaji. Kufuatilia eneo halisi la mtumiaji kunaweza kuruhusiwa kwa chaguomsingi, kukataliwa kwa chaguomsingi au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti ambayo inaomba eneo halisi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskGeolocation' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Sera hii ikiwekwa kuwa BlockGeolocation, programu za Android haziwezi kufikia maelezo ya mahali. Ukiweka sera hii kuwa thamani nyingine yoyote au uiache bila kuiweka, mtumiaji ataombwa akubali programu ya Android inapotaka kufikia maelezo ya mahali.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kufikia vifaa vya media vya kunasa. Ufikivu wa vifaa vya media vya kunasa unaweza kuruhusiwa kwa chaguomsingi, au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti inapotaka kufikia vifaa vya media vya kunasa.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'PromptOnAccess' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Hukuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kupata idhini ya kufikia vifaa vya karibu vya Bluetooth. Idhini ya kufikia inaweza kuzuiwa kabisa, au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti inapotaka kufikia vifaa vya karibu vya Bluetooth.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, chaguo la '3' litatumiwa, na mtumiaji ataweza kulibadilisha.
Hukuruhusu ubaini ikiwa tovuti zinaruhusiwa kupata idhini ya kufikia vifaa vya USB vilivyounganishwa. Idhini ya ufikiaji inaweza kuzuiwa kabisa, au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati atoe adhini tovuti inapotaka kufikia vifaa vya USB vilivyounganishwa.
Sera hii inaweza kubatilishwa katika ruwaza mahususi ya URL kupitia sera za 'WebUsbAskForUrls' na 'WebUsbBlockedForUrls'.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, '3' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Hukuruhusu kubainisha orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti ambazo Google Chrome inapaswa kuchagua cheti cha seva teja kiotomatiki, tovuti ikiomba cheti.
Lazima thamani iwe orodha ya kamusi za JSON zenye mfuatano. Lazima kila kamusi iwe na muundo wa { "pattern": "$URL_PATTERN", "filter" : $FILTER }, ambapo $URL_PATTERN ni ruwaza ya mipangilio ya maudhui. $FILTER huweka vikwazo vya ni vyeti vipi vya seva teja ambavyo kivinjari kitateua kiotomatiki kutoka kwavyo. Kwa kutotegemea kichujio, vyeti pekee ndivyo vitakavyochaguliwa vinavyolingana na ombi la cheti cha seva. Ikiwa $FILTER ina muundo wa { "ISSUER": { "CN": "$ISSUER_CN" } }, zaidi ya hayo vyeti vya seva teja tu ndivyo vinavyochaguliwa vinavyotolewa na cheti chenye CommonName $ISSUER_CN. Ikiwa $FILTER ni kamusi tupu {}, uchaguzi wa vyeti vya seva teja hauwekewi vikwazo.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, hakuna uchaguzi wa kiotomatiki utakaofanywa kwa tovuti yoyote.
Hukuruhusu kuunda orodha ya ruwaza za url inayobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuweka vidakuzi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe.
Angalia pia sera za 'CookiesBlockedForUrls' na 'CookiesSessionOnlyForUrls'. Kumbuka kuwa hakufai kuwa na ruwaza ya URL inayokinzana kati ya sera hizi tatu - haijabainishwa ni sera ipi inayopewa kipaumbele.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinayobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuweka vidakuzi. Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe. Angalia pia sera za 'CookiesAllowedForUrls' na 'CookiesSessionOnlyForUrls'. Kumbuka kuwa hakufai kuwa na ruwaza za URL zinazokinzana kati ya sera hizi tatu - haijabainishwa ni sera ipi inayopewa kipaumbele.
Vidakuzi vilivyowekwa na kurasa zinavyolingana na ruwaza hizi za URL vitatumika tu katika kipindi cha sasa, yaani, vitafutwa unapofunga kivinjari.
Kwa URL ambazo hazijajumuishwa katika ruwaza zilizotajwa hapa, au kwa URL zote ikiwa sera hii haijawekwa, thamani ya jumla ya chaguomsingi itatumika kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting', ikiwa imewekwa au mipangilio binafsi ya mtumiaji ikiwa haikuwekwa.
Kumbuka kuwa ikiwa Google Chrome inatumika katika 'hali ya chinichini', huenda kipindi kisifungwe wakati kidirisha cha mwisho kitafungwa lakini badala yake kitaendelea kutumika hadi kivinjari kitakapofungwa. Tafadhali angalia sera ya 'BackgroundModeEnabled' kwa maelezo zaidi kuhusu kuweka mipangilio kulingana na sifa hizi.
Angalia sera za 'CookiesAllowedForUrls' na 'CookiesBlockedForUrls' pia. Kumbuka kuwa hakufai kuwa na ruwaza ya URL inayokinzana kati ya sera hizi tatu - haijabainishwa ni sera ipi inayopewa kipaumbele.
Ikiwa sera ya "RestoreOnStartup" imewekwa kuwa rejesha URL kutoka vipindi vya awali sera hii haitazingatiwa na vidakuzi vitawekwa kwenye tovuti hizo bila uwezekano wa kuviondoa.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuonyesha picha.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultImageSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe.
Kumbuka kuwa hapo awali sera hii iliwashwa kimakosa kwenye Android, lakini kipengele hiki hakijawahi kutumika kikamilifu kwenye Android.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kuonyesha picha. Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultImagesSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe. Kumbuka kuwa hapo awali sera hii iliwashwa kimakosa kwenye Android, lakini kipengele hiki hakijawahi kutumika kikamilifu kwenye Android.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguomsingi ya ulimwenguni itatumiwa aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url inayobainisha tovuti zinazoruhusiwa kutumia programu jalizi ya Flash.
Ikiwa sera hii haitawekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe.
Hukuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url inayobainisha tovuti zisizoruhusiwa kutumia programu jalizi ya Flash.
Ikiwa sera hii haitawekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' endapo itawekwa, au mtumiaji akiweka mipangilio mwenyewe.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kusajili orodha ya vishikilizi vya itifaki. Hii inaweza kuwa sera iliyopendekezwa pekee. Sifa |protocol| inastahili kuwekwa kuwa mpango kama vile 'mailto' na sifa |url| inastahili kuwekwa kuwa mpangilio wa URL ya programu inayoshikilia mpango. Mpangilio unajumuisha '%s', ambayo ikiwepo itabadilishwa na URL iliyoshikiliwa.
Vishikilizi vya itifaki vilivyosajiliwa na sera vinaunganishwa na vilivyosajiliwa na mtumiaji na vyote viwili vinapatikana kwa matumizi. Mtumiaji anaweza kubatilisha vishikilizi vya itifaki vilivyosakinishwa na sera kwa kusakinisha kishikilizi kipya cha chaguomsingi, lakini hawezi kuondoa kishikilizi cha itifaki kilichosajiliwa na sera.
Vidhibiti vya itifaki vilivyowekwa kupitia sera hii havitumiwi wakati wa kushughulikia utaratibu wa kuratibu wa Android.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguomsingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupeSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguomsingi itatumika kwa tovuti zote kutoka katika sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu uweke orodha ya ruwaza za url ambayo inabainisha tovuti zinazoruhusiwa kumuuliza mtumiaji atoe ruhusa ya kufikia kifaa cha USB.
Ikiwa sera hii haitawekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka sera ya 'DefaultPluginsSetting' endapo itawekwa. Vinginevyo, itatumia mipangilio ya binafsi ya mtumiaji.
Ruwaza ya URL haipaswi kukinzana na ile ambayo imewekwa kupitia WebUsbAskForUrls. Haijabainishwa ni ipi kati ya sera hizi mbili inayofaa kuanza iwapo URL inafanana na zote mbili.
Hukuruhusu uweke orodha ya ruwaza za url ambayo inabainisha tovuti zinazozuiliwa ili zisimuulize mtumiaji atoe ruhusa ya kufikia kifaa cha USB.
Ikiwa mipangilio ya sera hii haitawekwa, thamani chaguomsingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka sera ya 'DefaultWebUsbGuardSetting' endapo itawekwa. Vinginevyo, itatumia mipangilio ya binafsi ya mtumiaji.
Ruwaza ya URL haipaswi kukinzana na ile ambayo imewekwa kupitia WebUsbAskForUrls. Haijabainishwa ni ipi kati ya sera hizi mbili inayofaa kuanza iwapo URL inafanana na zote mbili.
If this policy is set to true, Accessibility options always appear in system tray menu.
If this policy is set to false, Accessibility options never appear in system tray menu.
If you set this policy, users cannot change or override it.
If this policy is left unset, Accessibility options will not appear in the system tray menu, but the user can cause the Accessibility options to appear via the Settings page.
Washa kipengee cha upatikanaji cha kiteuzi kikubwa. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, kiteuzi kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo sera hii imewekwa kuwa haitumiki, kiteuzi kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza. Iwapo sera hii haijawekwa, kiteuzi kikubwa kitazimwa mwanzoni lakini kitawashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha upatikanaji wa maoni yanayotamkwa.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yanayotamkwa yatakuwa yamewashwa kila wakati.
Iwapo sera itawekwa kuwa haitumiki, maoni yanayotamkwa yatazimwa kila wakati.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza.
Iwapo sera hii haijawekwa, maoni yanayotamkwaa yatazimwa mwanzoni lakini yanaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengee cha upatikanaji cha hali ya juu ya utofutishaji. Kama sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa kuwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuipuuza. Kama sera hii haitawekwa, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha ufikiaji wa kibodi ya skrini.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati wote.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati wote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, skrini ya kibodi itakuwa imezimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Hubadilisha tabia chaguomsingi ya vitufe vya safumlalo ya juu kwenda vitufe vya kukokotoa.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, vitufe vya safumlalo ya juu ya kibodi vitatoa amri za vitufe vya kukokotoa kwa chaguomsingi. Kitufe cha kutafuta lazima kibonyezwe ili kurejesha tabia yake kuwa vitufe vya media.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isiwekwe, kibodi itatoa amri za vitufe vya media kwa chaguomsingi na amri za vitufe vya kukokotoa wakati kitufe cha kutafuta kimeshikiliwa.
If this policy is set, it controls the type of screen magnifier that is enabled. Setting the policy to "None" disables the screen magnifier.
If you set this policy, users cannot change or override it.
If this policy is left unset, the screen magnifier is disabled initially but can be enabled by the user anytime.
Weka hali chaguomsingi ya kipengele cha upatikanaji wa kiteuzi kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Kama sera hii itawekwa kuwa kweli, kiteuzi kikubwa kitawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama sera hii ni itawekwa kuwa uongo, kiteuzi kikubwa kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kiteuzi kikubwa. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguomsingi litarejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika skrini itakapoonyeshwa upya au mtumiaji atakaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera hii haijawekwa, kiteuzi kikubwa huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kiteuzi kikubwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali ya chaguomsingi ya kipengee cha ufikiaji cha maoni yaliyotamkwa kwenye skrini ya kuingi. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yaliyosemwa yatawashwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, maoni yaliyosemwa yatazimwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima maoni yaliyotamkwa. Hata hivyo, uchaguzi wa mtumiaji sio wa kuendelea na chaguomsingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunti inapoonekana upya au mtumiaji anaposalia kama hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, maoni yaliyotamkwa yatazimwa skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima maoni yaliyosemwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti itakatalia kati ya watumiaji.
Weka hali chaguomsingi ya kipengee cha ufikiaji cha utofautishaji wa juu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kwa muda kuipuuza kwa kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguomsingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunto inapoonyeshwa upya au mtumiaji anaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii haijawekwa, hali ya juu ya utoafautishaji huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali chaguomsingi ya kipengele cha ufikiaji cha kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuibatilisha kwa muda kwa kuwasha au kuzima kibodi ya skrini. Hata hivyo, chaguo la watumiaji halidumu na chaguomsingi hurejeshwa kila wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Sera hii isipowekwa, kibodi ya skrini inawashwa skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa mara ya kwanza. Watumiaji wanaweza wakazima au kuwasha kibodi ya skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inadumu kati ya watumiaji.
Weka aina chaguomsingi ya kikuza skrini ambacho kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Kama sera hii itawekwa, itadhibiti aina ya kikuza skrini ambacho kimewashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Kuweka sera kuwa "Hakuna" huzima kikuza skrini.
Kama umeweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kikuza skrini. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji haliendelei na chaguomsingi hurejeshwa tena wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapobakia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera haitawekwa, kikuza skrini kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kikuza skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS unapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, hakuna data inayopakiwa kwenye Hifadhi ya Google.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili kwenye Hifadhi ya Google.
Sera hii haizuii mtumiaji kutumia programu ya Hifadhi ya Android Google. Ikiwa unataka kuzuia idhini ya kufikia Hifadhi ya Google, usiruhusu usakinishaji wa programu ya Hifadhi ya Android Google pia.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS inapotumia muunganisho wa simu ya mkononi inapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, data inasawazishwa tu kwenye Hifadhi ya Google inapounganishwa kupitia WiFi au Ethaneti.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili hadi Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya simu za mkononi.
Sera hii haiathiri programu ya Hifadhi ya Android Google. Ikiwa unataka kuzuia matumizi ya Hifadhi ya Google kwenye mitandao ya simu, usiruhusu usakinishaji wa programu ya Hifadhi ya Android Google.
This policy is deprecated. Please use RemoteAccessHostClientDomainList instead.
Configures the required client domain names that will be imposed on remote access clients and prevents users from changing it.
If this setting is enabled, then only clients from one of the specified domains can connect to the host.
If this setting is disabled or not set, then the default policy for the connection type is applied. For remote assistance, this allows clients from any domain to connect to the host; for anytime remote access, only the host owner can connect.
This setting will override RemoteAccessHostClientDomain, if present.
See also RemoteAccessHostDomainList.
Huwasha matumizi ya seva za STUN seva teja za mbali zinapojaribu kutambua muunganisho wa mashini hii.
Ikiwa mpangilio huu utawashwa, basi seva teja za mbali zinaweza kugundua na kuunganisha kwenye mashini hii hata kama zimetenganishwa na ngome.
Ikiwa mpangilio huu utazimwa na miunganisho ya kutoa ya UDP imechujwa na ngome, basi mashini hii itaweza tu kuruhusu miunganisho kutoka kwenye mashini ya seva teja katika mtandao wa karibu.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mpangilio utawashwa.
This policy is deprecated. Please use RemoteAccessHostDomainList instead.
Configures the required host domain names that will be imposed on remote access hosts and prevents users from changing it.
If this setting is enabled, then hosts can be shared only using accounts registered on one of the specified domain names.
If this setting is disabled or not set, then hosts can be shared using any account.
This setting will override RemoteAccessHostDomain, if present.
See also RemoteAccessHostClientDomainList.
Inasanidi kiambishi awali cha TalkGadget ambacho kitatumiwa na mpangishaji wa ufikivu wa mbali na huzuia watumiaji kukibadilisha.
Kikibainishwa, kiambishi hiki awali kinasitishwa kwenye jina la msingi la TalkGadget ili kuunda jina kamili la kikoa la TalkGadget. Jina msingi la kikoa la TalkGadget ni '.talkgadget.google.com'.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi wapangishaji watatumia jina maalum la kikoa wakati wa kufikia TalkGadget badala ya jina chaguomsingi la kikoa.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautawekwa, basi jina chaguomsingi la kikoa la TalkGadget ('chromoting-host.talkgadget.google.com') litatumiwa kwa wapangishaji wote.
Wateja wa ufikivu wa mbali hawaathiriki kwa mpangilio huu wa sera. Mara kwa mara watatumiwa 'chromoting-client.talkgadget.google.com' ili kufikia TalkGadget.
Inawezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikivu wa mbali wakati muunganisho unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi vifaa halisi vya ingizo na towe vitalemazwa wakati muunganisho wa mbali unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utalemzwa au hautawekwa, basi watumiaji wa karibu na wa mbali wanaweza kuingiliana na seva pangishi inaposhirikiwa.
Mpangilio huu ukiwashwa au usiposanidiwa, basi watumiaji wanaweza kuchagua kuoanisha viteja na mpangishi wakati wa kuunganisha, hivyo kuondoa haja ya kuingiza PIN kila wakati.
Mpangilio huu ukizimwa, basi kipengele hiki hakitapatikana.
Mpangilio huu ukiwashwa, basi maombi ya uthibitisho ya gnubby yatawekwa kama proksi kupitia muunganisho wa mpangishi wa mbali.
Mpangilio huu ukizimwa au usisanidiwe, maombi ya uthibitisho ya gnubby hayatawekwa kama proksi.
Enables usage of relay servers when remote clients are trying to establish a connection to this machine.
If this setting is enabled, then remote clients can use relay servers to connect to this machine when a direct connection is not available (e.g. due to firewall restrictions).
Note that if the policy RemoteAccessHostFirewallTraversal is disabled, this policy will be ignored.
If this policy is left not set the setting will be enabled.
Restricts the UDP port range used by the remote access host in this machine.
If this policy is left not set, or if it is set to an empty string, the remote access host will be allowed to use any available port, unless the policy RemoteAccessHostFirewallTraversal is disabled, in which case the remote access host will use UDP ports in the 12400-12409 range.
If this setting is enabled, then the remote access host compares the name of the local user (that the host is associated with) and the name of the Google account registered as the host owner (i.e. "johndoe" if the host is owned by "johndoe@example.com" Google account). The remote access host will not start if the name of the host owner is different from the name of the local user that the host is associated with. RemoteAccessHostMatchUsername policy should be used together with RemoteAccessHostDomain to also enforce that the Google account of the host owner is associated with a specific domain (i.e. "example.com").
If this setting is disabled or not set, then the remote access host can be associated with any local user.
If this policy is set, the remote access host will require authenticating clients to obtain an authentication token from this URL in order to connect. Must be used in conjunction with RemoteAccessHostTokenValidationUrl.
This feature is currently disabled server-side.
If this policy is set, the remote access host will use this URL to validate authentication tokens from remote access clients, in order to accept connections. Must be used in conjunction with RemoteAccessHostTokenUrl.
This feature is currently disabled server-side.
If this policy is set, the host will use a client certificate with the given issuer CN to authenticate to RemoteAccessHostTokenValidationUrl. Set it to "*" to use any available client certificate.
This feature is currently disabled server-side.
Mipangilio hii ikiwashwa, seva pangishi ya usaidizi wa mbali itatumiwa katika mchakato kwa ruhusa za uiAccess. Hii itaruhusu watumiaji wa mbali kuwasiliana kwa kutumia madirisha yaliyoinuliwa kwenye eneo-kazi la mtumiaji wa ndani.
Mipangilio hii ikizimwa au isipowekwa, seva pangishi ya usaidizi wa mbali itatumiwa katika muktadha wa mtumiaji na watumiaji wa mbali hawataweza kutumia madirisha yaliyoinuliwa kwenye eneo-kazi.
Orodha iliyoidhinishwa inayodhibiti aina za hali za kufungua haraka ambazo mtumiaji anaweza kuwekea mipangilio na kutumia kufungua skrini iliyofungwa.
Thamani hii ni orodha ya mifuatano; data ya orodha sahihi ni: "zote", "PIN", "ALAMA YA KIDOLE". Ukiongeza "zote" kwenye orodha, inamaanisha kuwa kila hali ya kufungua haraka itapatikana kwa watumiaji, ikijumuisha zile ambazo zitatekelezwa baadaye. Vinginevyo, hali za kufungua haraka zilizopakiwa mapema katika orodha ndizo tu zitapatikana.
Kwa mfano, ili kuruhusu kila hali ya kufungua haraka, tumia ["zote"]. Ili uruhusu kufungua kupitia PIN pekee, tumia ["PIN"]. Ili uruhusu PIN na alama ya kidole, tumia ["PIN", "ALAMA YA KIDOLE"]. Ili uzime hali zote za kufungua haraka, tumia [].
Kwa chaguomsingi, hamna hali za kufungua haraka zinazopatikana katika vifaa vinavyodhibitiwa.
Mipangilio hii inadhibiti idadi ambayo skrini iliyofungwa itaomba nenosiri liwekwe ili uendelee kutumia kipengele cha kufungua haraka. Kila mara skrini iliyofungwa inapowekwa, iwapo nenosiri lililowekwa ni zaidi ya mipangilio hii, kipengele cha kufungua haraka hakitapatikana unapoingia kwenye skrini iliyofungwa. Ikiwa mtumiaji atakuwa kwenye skrini iliyofungwa kwa zaidi ya muda huu, ataombwa nenosiri wakati ujao akiweka nambari ya kuthibitisha ambayo si sahihi, au akiweka tena skrini iliyofungwa, chochote kitakachotokea kwanza.
Mipangilio hii ikiwekwa, watumiaji wanaotumia kipengele cha kufungua skrini haraka wataombwa waweke manenosiri yao kwenye skrini iliyofungwa kutegemea mipangilio hii.
Mipangilio hii isipowekwa, watumiaji wanaotumia kipengele cha kufungua skrini haraka wataombwa waweke manenosiri yao kwenye skrini iliyofungwa kila siku.
If the policy is set, the configured minimal PIN length is enforced. (The absolute minimum PIN length is 1; values less than 1 are treated as 1.)
If the policy is not set, a minimal PIN length of 6 digits is enforced. This is the recommended minimum.
If the policy is set, the configured maximal PIN length is enforced. A value of 0 or less means no maximum length; in that case the user may set a PIN as long as they want. If this setting is less than PinUnlockMinimumLength but greater than 0, the maximum length is the same as the minimum length.
If the policy is not set, no maximum length is enforced.
Ikiwa sivyo, watumiaji hawataweza kuweka PIN ambazo ni dhaifu na rahisi kuzitambua.
Mifano ya PIN dhaifu: PIN zilizo na tarakimu moja tu (1111), PIN ambazo tarakimu zake zinaongezeka kwa 1 (1234), PIN ambazo tarakimu zake zinapungua kwa 1 (4321), na PIN zinazotumika kwa kawaida.
Kwa chaguomsingi, watumiaji watapokea onyo, si arifa ya hitilafu, ikiwa PIN itatambulika kuwa dhaifu.
Hubainisha mipango ya uthibitishaji wa HTTP inayotumia na Google Chrome.
Thamani zinazowezekana ni 'basic', 'digest', 'ntlm' na 'negotiate'. Tenganisha thamani anuwai kwa koma.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, mipango yote minne itatumika.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN ilitengenezwa kulingana na jina la kanuni ya DNS au jina halisi lililoingizwa.
Ukiwezesha mpangilio huu, kidokezo cha CNAME kitaachwa na jina la seva litatumiwa kama lilivyoingizwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuuweka, jina la kanuni la seva litathibitishwa kupitia kidokezo cha CNAME.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN zilizotengenezwa zinafaa kujumuisha lango lisilo wastani.
Ukiwezesha mpangilio huu, na lango lisilo wastani (yaani, lango jingine lisilo la 80 au 443) liingizwe, itajumuishwa katika Kerberos SPN iliyotengenezwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuwekwa, Kerberos SPN zilizotengenezwa hazitajumuisha lango kwa namna yoyote.
Hubainisha ni seva zipi zinazowekwa katika orodha ya zilizoidhinishwa kwa uthibitishaji uliojumuishwa. Uthibitishaji uliojumuishwa unawashwa tu wakati ambapo Google Chrome inapokea shindano kutoka kwenye proksi au seva iliyo katika orodha hii iliyoruhusiwa.
Seva nyingi tofauti zenye koma. Kadi egemezi (*) zinaruhusiwa.
Ukiacha sera hii bila kuiweka Google Chrome itajaribu kugundua ikiwa seva iko kwenye Intraneti na hapo ndipo itajibu maombi ya IWA pekee. Iwapo seva itagunduliwa kama Intraneti basi maombi ya IWA yatapuuzwa na Google Chrome.
Seva ambazo Google Chrome inaweza kuwekea majukumu.
Tenganisha majina mengi ya seva kwa koma. Herufi wakilishi (*) zinaruhusiwa.
Ukiacha sera hii bila kuiweka Google Chrome haitaweza kuweka majukumu ya vitambulisho vya mtumiaji hata ikiwa seva itagunduliwa kama Intraneti.
Hubainisha maktaba yapi ya GSSAPI ya kutumia kwa uthibitishaji wa HTTP. Unaweza kuweka tu jina la maktaba, au njia kamili.
Ikiwa hakuna mipangilio iliyotolewa, Google Chrome itaendelea kutumia jina chaguomsingi la maktaba.
Hubainisha aina ya akaunti ya akaunti zinazotolewa na programu ya uthibitishaji wa Android inayotumia uthibitishaji wa HTTP Negotiate (k.m. uthibitishaji wa Kerberos). Maelezo haya yanapaswa kupatikana kutoka kwa muuzaji wa programu ya uthibitishaji. Kwa maelezo zaidi angalia https://goo.gl/hajyfN.
Ikiwa mipangilio haijatolewa, uthibitishaji wa HTTP Negotiate utazimwa kwenye Android.
Hudhibiti iwapo maudhui madogo ya wengine kwenye ukurasa yanaruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Kwa kawaida hii inalemazwa kama ulinzi wa uhadaaji. Ikiwa sera hii haijawekwa, hii italemazwa na maudhui madogo ya wengine hayataruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Hudhibiti ikiwa NTLMv2 imewashwa.
Matoleo yote ya hivi majuzi ya seva za Samba na Windows yanatumia NTLMv2. Hali hii inastahili kuzimwa ili matoleo ya awali yaoane pekee na hupunguza usalama wa uthibishaji.
Kama sera hii haijawekwa, sera chaguomsing itakuwa ndivyo na NTLMv2 imewashwa.
Hukuruhusu kubainisha seva mbadala inayotumiwa na Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya seva mbadala.
Ukichagua kutotumia seva mbadala kamwe na kuunganisha moja kwa moja kila wakati, chaguo nyingine zote zitapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya mfumo wa seva mbadala, chaguo nyingine zote zitapuuzwa.
Ukichagua kugundua seva mbadala kiotomatiki, chaguo nyingine zote zitapuuzwa.
Ukichagua hali ya seva mbadala isiyobadilika, unaweza kubainisha chaguo zaidi katika 'Anwani au URL ya seva mbadala' na 'Orodha iliyotenganishwa kwa koma ya sheria za ukwepaji wa seva mbadala'. Ni seva mbadala ya HTTP yenye umuhimu mkubwa pekee ndiyo inayopatikana kwa programu za ARC.
Ukichagua kutumia seva mbadala ya hati ya .pac, lazima ubainishe URL ya hati katika 'URL ya seva mbadala ya faili ya .pac'.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett.
Ukiwasha mipangilio hii, Google Chrome programu za ARC zitapuuza chaguo zote zinazohusishwa na seva mbadala zilizobainishwa kwenye mstari wa amri.
Usipoweka sera hii, utawaruhusu watumiaji kuchagua mipangilio ya seva mbadala wenyewe.
Huwezi kulazimisha programu za Android zitumie seva mbadala. Sehemu ya mipangilio ya seva mbadala inapatikana kwa programu za Android, ambazo zinaweza kuamua kutii:
Ukichagua kutotumia kamwe seva mbadala, programu za Android zitaarifiwa kwamba hakuna seva mbadala iliyowekwa mipangilio.
Ukichagua kutumia mipangilio ya seva mbadala au seva mbadala ambayo haibadiliki, programu za Android zinapewa anwani ya http na mlango wa seva mbadala.
Ukichagua kugundua seva mbadala kiotomatiki, URL ya hati "http://wpad/wpad.dat" hutolewa kwa programu za Android. Hakuna sehemu nyingine ya itifaki ya kugundua kiotomatiki inayotumiwa.
Ukichagua kutumia hati ya seva mbadala ya a .pac, URL ya hati inatolewa kwa programu za Android.
Sera hii imeacha kufanya kazi, tumia ProxyMode badala yake.
Hukuruhusu kubainisha seva mbadala inayotumiwa na Google Chrome na huwazuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya seva mbadala.
Ukichagua kutotumia seva mbadala kamwe na kuunganisha moja kwa moja kila wakati, chaguo nyingine zote zitapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya mfumo wa seva mbadala au kugundua seva mbadala kiotomatiki, chaguo nyingine zote zitapuuzwa.
Ukichagua mipangilio ya seva mbadala ya kuweka mwenyewe, unaweza kubainisha chaguo zaidi katika ''Anwani au URL ya seva mbadala', 'URL ya seva mbadala ya faili ya .pac' na 'orodha iliyotenganishwa kwa koma ya sheria za ukwepaji wa seva mbadala'. Ni seva mbadala ya HTTP pekee yenye umuhimu mkubwa ndiyo inayopatikana kwa programu za ARC.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett.
Ukiwasha mipangilio hii, Google Chrome itapuuza chaguo zote zinazohusiana na seva mbadala zilizobainishwa kwenye mstari wa amri.
Ukiacha sera hii bila kuwekwa, utawaruhusu watumiaji kuchagua mipangilio ya seva mbadala wenyewe.
You cannot force Android apps to use a proxy. A subset of proxy settings is made available to Android apps, which they may voluntarily choose to honor. See the ProxyMode policy for more details.
Unaweza kubainisha URL ya seva mbadala hapa.
Sera hii inatumika tu ikiwa umechagua mipangilio ya seva mbadala ya kujiundia katika "Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala'.
Unapaswa kuacha sera hii bila kuiweka ikiwa umechagua hali nyingine yoyote ya kuweka sera za seva mbadala.
Ili upate chaguo na mifano ya kina zaidi, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
You cannot force Android apps to use a proxy. A subset of proxy settings is made available to Android apps, which they may voluntarily choose to honor. See the ProxyMode policy for more details.
Unaweza kubainisha URL ya seva mbadala ya faili ya .pac hapa.
Sera hii inatumika tu ikiwa umechagua mipangilio ya kujiundia ya seva mbadala kwenye 'Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala'.
Unapaswa kuacha sera hii bila kuiweka ikiwa umechagua hali nyingine yoyote ya kuweka sera za seva mbadala.
Ili upate mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
You cannot force Android apps to use a proxy. A subset of proxy settings is made available to Android apps, which they may voluntarily choose to honor. See the ProxyMode policy for more details.
Google Chrome itakwepa seva mbadala yoyote ya orodha ya seva pangishi iliyotolewa hapa.
Sera hii itatekelezwa tu ikiwa umechagua mipangilio ya seva mbadala mwenyewe katika 'Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva'.
Unapaswa kuacha sera hii kama haijawekwa ikiwa umechagua hali nyingine yoyote ya kuweka sera za seva mbadala.
Kwa mifano ya kina zaidi, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
You cannot force Android apps to use a proxy. A subset of proxy settings is made available to Android apps, which they may voluntarily choose to honor. See the ProxyMode policy for more details.
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishaji wapi wa ujumbe asili ambao hawapaswi kupakiwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya '*' inamaanisha kwamba wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa isipokuwa kama wamewekwa waziwazi katika orodha ya walioidhinishwa.
Kama sera hii haitawekwa Google Chrome itapakia wapangishi wote waliosakinishwa wa ujumbe asili.
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishi wapi wa ujumbe asili wasiowekwa kwenye orodha ya wasioidhinishwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya * inamaanisha wapangishi wote wa ujumbe asili hawajapewa idhini na ni wapangishi wa ujumbe asili waliowekwa kwenye orodha iliyoidhinishwa ndio watakaopakiwa pekee.
Kwa chaguomsingi, wapangishi wote wa ujumbe asili wameidhinishwa, lakini iwapo wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa na sera, orodha ya walioidhinishwa inaweza kutumiwa kubatilisha sera hiyo.
Enables user-level installation of Native Messaging hosts.
If this setting is enabled then Google Chrome allows usage of Native Messaging hosts installed on user level.
If this setting is disabled then Google Chrome will only use Native Messaging hosts installed on system level.
If this setting is left not set Google Chrome will allow usage of user-level Native Messaging hosts.
Configures the default New Tab page URL and prevents users from changing it.
The New Tab page is the page opened when new tabs are created (including the one opened in new windows).
This policy does not decide which pages are to be opened on start up. Those are controlled by the RestoreOnStartup policies. Yet this policy does affect the Home Page if that is set to open the New Tab page, as well as the startup page if that is set to open the New Tab page.
If the policy is not set or left empty the default new tab page is used.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Configures the default home page URL in Google Chrome and prevents users from changing it.
The home page is the page opened by the Home button. The pages that open on startup are controlled by the RestoreOnStartup policies.
The home page type can either be set to a URL you specify here or set to the New Tab Page. If you select the New Tab Page, then this policy does not take effect.
If you enable this setting, users cannot change their home page URL in Google Chrome, but they can still choose the New Tab Page as their home page.
Leaving this policy not set will allow the user to choose their home page on their own if HomepageIsNewTabPage is not set too.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Configures the type of the default home page in Google Chrome and prevents users from changing home page preferences. The home page can either be set to a URL you specify or set to the New Tab Page.
If you enable this setting, the New Tab Page is always used for the home page, and the home page URL location is ignored.
If you disable this setting, the user's homepage will never be the New Tab Page, unless its URL is set to 'chrome://newtab'.
If you enable or disable this setting, users cannot change their homepage type in Google Chrome.
Leaving this policy not set will allow the user to choose whether the new tab page is their home page on their own.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguomsingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini huzimwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguomsingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguomsingi unatumiwa.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila matumizi ya mtumiaji baada ya upi mazungumzo ya onyo huonyeshwa wakati inaendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo ya kumwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kutokufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yatatoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zinafungashwa kuwa chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambao baadaye hatua isiyo na shughuli huchukuliwa inapoendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, kinachoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguomsingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguomsingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini inazimwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguomsingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nguvu ya betri.
Sera hii inapowekwa katika thamani kubwa zidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguomsingi unatumiwa.
Njia inayopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu baada ya upi mazungumzo ya onyo yataonyeshwa wakati ikiendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo yanayomwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kukaa bila kufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yanayoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zimefungashwa ili ziwe chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, inayoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguomsingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Note that this policy is deprecated and will be removed in the future.
This policy provides a fallback value for the more-specific IdleActionAC and IdleActionBattery policies. If this policy is set, its value gets used if the respective more-specific policy is not set.
When this policy is unset, behavior of the more-specific policies remains unaffected.
When this policy is set, it specifies the action that Google Chrome OS takes when the user remains idle for the length of time given by the idle delay, which can be configured separately.
When this policy is unset, the default action is taken, which is suspend.
If the action is suspend, Google Chrome OS can separately be configured to either lock or not lock the screen before suspending.
When this policy is set, it specifies the action that Google Chrome OS takes when the user remains idle for the length of time given by the idle delay, which can be configured separately.
When this policy is unset, the default action is taken, which is suspend.
If the action is suspend, Google Chrome OS can separately be configured to either lock or not lock the screen before suspending.
When this policy is set, it specifies the action that Google Chrome OS takes when the user closes the device's lid.
When this policy is unset, the default action is taken, which is suspend.
If the action is suspend, Google Chrome OS can separately be configured to either lock or not lock the screen before suspending.
If this policy is set to True or is unset, the user is not considered to be idle while audio is playing. This prevents the idle timeout from being reached and the idle action from being taken. However, screen dimming, screen off and screen lock will be performed after the configured timeouts, irrespective of audio activity.
If this policy is set to False, audio activity does not prevent the user from being considered idle.
If this policy is set to True or is unset, the user is not considered to be idle while video is playing. This prevents the idle delay, screen dim delay, screen off delay and screen lock delay from being reached and the corresponding actions from being taken.
If this policy is set to False, video activity does not prevent the user from being considered idle.
Video inayocheza katika programu za Android haizingatiwi, hata kama sera hii imewekwa kuwa True.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho.
Kama sera hii itawekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho. Kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kunapopimwa, kuzimwa kwa skrini, kufungua kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama kulivyosanidiwa awali.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika. Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi. Thamani zitakazofupisha kuchelewa kwa mwangaza wa skrini katika hali ya wasilisho kuliko kuchelewa kwa mwangaza wa skrini ya kawaida hazitaruhusiwa.
Hubainisha iwapo wake lock zinaruhusiwa. Wake lock zinaweza kuombwa na viendelezi kupitia API ya kiendelezi cha udhibiti wa nishati na programu za ARC.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, wake lock hazitatekelezwa katika udhibiti wa nishati.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa sivyo, maombi ya wake lock hayatazingatiwa.
Hubainisha iwapo wake lock za skrini zinaruhusiwa. Wake lock za skrini zinaweza kuombwa na viendelezi kupitia API ya kiendelezi cha udhibiti wa nishati na programu za ARC.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, wake lock za skrini hazitatekelezwa katika udhibiti wa nishati, isipokuwa AllowWakeLocks iwekwe kuwa sivyo.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa sivyo, maombi ya wake lock ya skrini yatashushwa hadhi yawe maombi ya wake lock ya mfumo.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa.
Kama sera hii imewekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa. Kuchelewa kwa mwangaza kunapoongezwa, kuzimwa kwa skrini, kufungwa kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama ilivyosanidiwa kiasili.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika.
Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi.
Hubainisha iwapo ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi lazima tu uanze kutekeleza baada ya kuonekana kwa shughuli ya kwanza ya mtumiaji katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa Ndivyo, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi havianzi kutekeleza mpaka shughuli ya kwanza ya mtumiaji ionekane katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwaSivyo ama imeachwa bila kuwekwa, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi huanza kutekeleza mara tu kipindi kinapoanza.
This policy controls multiple settings for the power management strategy when the user becomes idle.
There are four types of action: * The screen will be dimmed if the user remains idle for the time specified by |ScreenDim|. * The screen will be turned off if the user remains idle for the time specified by |ScreenOff|. * A warning dialog will be shown if the user remains idle for the time specified by |IdleWarning|, telling the user that the idle action is about to be taken. * The action specified by |IdleAction| will be taken if the user remains idle for the time specified by |Idle|.
For each of above actions, the delay should be specified in milliseconds, and needs to be set to a value greater than zero to trigger the corresponding action. In case the delay is set to zero, Google Chrome OS will not take the corresponding action.
For each of the above delays, when the length of time is unset, a default value will be used.
Note that |ScreenDim| values will be clamped to be less than or equal to |ScreenOff|, |ScreenOff| and |IdleWarning| will be clamped to be less than or equal to |Idle|.
|IdleAction| can be one of four possible actions: * |Suspend| * |Logout| * |Shutdown| * |DoNothing|
When the |IdleAction| is unset, the default action is taken, which is suspend.
There are also separate settings for AC power and battery.
Hubainisha urefu wa muda bila ingizo la mtumiaji ambapo baada ya hapo skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC au betri.
Urefu wa muda unapowekwa thamani kubwa kuliko sifuri, inawakilisha urefu wa muda ambao mtumiaji lazima abaki akiwa hafanyi kitu kabla Google Chrome OS skrini kufunga.
Urefu wa muda unapowekwa kuwa sifuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu.
Urefu wa muda unapoondolewa, urefu wa muda chaguomsingi hutumika.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini ambayo haifanyi kazi ni kuwasha kufunga skrini kwenye kusimamisha na Google Chrome OS kusimamisha baada ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu. Sera hii lazima itumike wakati kufunga skrini kunatokea muda kiasi kikubwa kuliko kusimamisha au wakati kusimamisha wakati haifanyi kitu hakutakikani kabisa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika milisekunde. Thamani huwekwa pamoja kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu.
Hubainisha ikiwa muundo mahari wa kufifiliza mwangaza unaruhusiwa kupitisha muda hadi wakati mwangaza wa skrini utakuwa hafifu.
Wakati mwangaza wa skrini uko karibu kuwa hafifu, muundo mahiri wa kufifiliza hutathmini ikiwa inafaa kuongeza muda wa kufifiliza mwangaza wa skrini. Ikiwa kipengele mahiri cha kufifiliza mwangaza kinaacha kufifiliza mwangaza wa skrini, kitaongeza muda hadi wakati skrini itafifilizwa. Katika hali hii, kipengele cha kuzima skrini, cha kufunga skrini na cha kuchelewesha kuweka skrini tuli, kitarekebishwa ili kudumisha kipindi sawa kuanzia ucheleweshaji wa kufifilizwa kwa mwangaza wa skrini jinsi ilivyopangwa hapo awali.
Ikiwa sera hii imewekwa kuwa Ndivyo au haijawekwa, kipengele cha muundo mahiri wa kufifiliza mwangaza kitawashwa na kuruhusiwa kupitisha muda hadi wakati mwangaza wa skrini itafifilizwa. Ikiwa sera hii inawekwa kuwa Sivyo, kipengele cha muundo mahiri wa kufifiliza skrini hakitaathiri ufifilizaji wa skrini.
Hubainisha asilimia ya ung'avu wa skrini. Iwapo sera hii imewekwa, ung'avu wa skrini ya mwanzo unabadilishwa uwe thamani ya sera, lakini mtumiaji anaweza kuubadilisha baadaye. Vipengele vya ung'avu wa kiotomatiki huzimwa. Iwapo sera hii haijawekwa, vidhibiti vya skrini ya mtumiaji na vipengele vya ung'avu wa kiotomatiki haviathiriwi. Thamani za sera zinapaswa kubainishwa katika asilimia kati ya 0 na 100.
Ikiwa ndivyo, ushuhuda wa mbali huruhusiwa kwa ajili ya kifaa na cheti kitazalishwa kiotomatiki na kupakiwa kwenye Seva ya Udhibiti wa Kifaa.
Ikiwa imewekwa kuwa sivyo, au haijawekwa, hakuna cheti kitakachozalishwa na simu kwa API ya kiendelezi cha enterprise.platformKeys zitashindwa.
Ikiwekwa kuwa ndivyo, mtumiaji anaweza kutumia maunzi kwenye vifaa vya Chrome ili kudhibiti kwa umbali utambulisho wake katika CA ya faragha kupitia Enterprise Platform Keys API akitumia chrome.enterprise.platformKeys.challengeUserKey().
Ikiwekwa kuwa sivyo, au isipowekwa, majaribio ya kuwasiliana na API hayatafanikiwa na kutakuwa na msimbo wa hitilafu.
Sera hii hubainisha viendelezi vinavyoruhusiwa kutumia utendaji wa Enterprise Platform Keys API chrome.enterprise.platformKeys.challengeUserKey() kwa uthibitishaji wa mbali. Lazima viendelezi viongezwe kwenye orodha hii ili kutumia API.
Ikiwa kiendelezi hakiko kwenye orodha, au orodha haijawekwa, mawasiliano na API hayatafanikiwa na kutakuwa na msimbo wa hitilafu.
Vifaa vyenye Chrome OS vinaweza kutumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali (Ufikiaji Uliothibitishwa) kupata cheti kilichotolewa na Chrome OS CA kinachothibitisha kuwa kifaa kimekubaliwa kucheza maudhui yanayolindwa. Utaratibu huu unahusisha kutumia Chrome OS CA maelezo maalum ya kuthibitisha maunzi yanayokitambua kifaa husika.
Kama mipangilio hii si ya kweli, kifaa hakitatumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali kulinda maudhui na huenda kifaa hakitaweza kucheza maudhui yanayolindwa.
Kama mipangilio hii ni ya kweli, au kama haitawekwa, huenda uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali utatumika kulinda maudhui.
Hukuruhusu kubainisha viendelezi ambavyo watumiaji HAWAWEZI kusakinisha. Tutazima viendelezi ambavyo tayari vimesakinishwa ikiwa havijaidhinishwa. Hatutampa mtumiaji uwezo wa kuviwasha. Tutawasha kiotomatiki kiendelezi ambacho kimeidhinishwa ikiwa kilikuwa kimezimwa awali kwa kukosa idhini.
Thamani ya kukosa idhini ya '*' inamaanisha kwamba viendelezi vyote havijaidhinishwa isipokuwa viwe vimebainishwa kwa njia dhahiri kwenye orodha ya viendelezi vilivyoidhinishwa.
Sera hii isipowekwa, mtumiaji bado anaweza kusakinisha kiendelezi chochote katika Google Chrome.
Inakuruhusu kubainisha ni viendelezi gani havihusuiani na orodha kuondoa idhini.
Thamani ya orodha ya kuondoa idhini ya * inamaanisha viendelezi vyote vimeondolewa idhini na watumiaji wanaweza tu kusakinisha viendelezi vilivyoorodheshwa katika orodha ya kutoa idhini.
Kwa chaguomsingi, viendelezi vyote vinatolewa idhini, lakini ikiwa viendelezi vyote vimeondolewa idhini kwa sera, orodha ya kutoa idhini inaweza kutumiwa kuifuta sera hiyo.
Hubainisha orodha ya programu na viendelezi vinavyosakinishwa chinichini, bila kumhusisha mtumiaji na ambavyo haviwezi kuondolewa au kuzimwa na mtumiaji. Ruhusa zote zinazoombwa na programu au viendelezi zitatolewa kwa njia fiche, bila mtumiaji kuhusishwa, ikijumuisha ruhusa zozote za ziada zinazoombwa na matoleo ya baadaye ya programu au kiendelezi. Zaidi ya hayo, ruhusa za API za viendelezi vya enterprise.deviceAttributes na enterprise.platformKeys extension zinatolewa. (API hizi mbili zinapatikana kwenye programu au viendelezi ambavyo havisakinishwi kwa lazima.)
Sera hii inapewa kipaumbele ikiwa kuna sera inayoweza kukinzana ya ExtensionInstallBlacklist. Ikiwa programu au kiendelezi kilichosakinishwa hapo awali kwa lazima kitaondolewa kwenye orodha hii, kitaondolewa kiotomatiki na Google Chrome.
Katika matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®, usakinishaji wa lazima unatumiwa tu na programu na viendelezi vilivyoorodheshwa katika Duka la Chrome kwenye Wavuti.
Kumbuka kuwa msimbo wa kiendelezi chochote unaweza kubadilishwa na mtumiaji kupitia Zana za Wasanidi Programu (hali hii inaweza kuzuia kiendelezi kufanya kazi vizuri). Ikiwa jambo hili litatokea, sera ya DeveloperToolsDisabled inapaswa kuwekwa.
Kila kipengee cha orodha ya sera ni kifungu ambacho kinajumuisha kitambulisho cha kiendelezi na URL ya "sasisho" isiyo ya lazima inayotenganishwa kwa nukta mkato (;). Kitambulisho cha kiendelezi ni kifungu cha herufi 32 kinachopatikana (kwa mfano kwenye chrome://extensions ikiwa katika hali ya msanidi programu. URL ya "sasisho" (kama imebainishwa) inapaswa kuashiria hati ya XML ya faili ya Maelezo ya Sasisho kama ilivyofafanuliwa katika https://developer.chrome.com/extensions/autoupdate. Kwa chaguomsingi, URL ya sasisho ya Duka la Chrome kwenye Wavuti inatumika (kwa sasa ni "https://clients2.google.com/service/update2/crx"). Kumbuka kuwa URL ya "sasisho" iliyowekwa kwenye sera hii itatumiwa tu kwenye usanikishaji wa mwanzo; masasisho yanayofuata ya kiendelezi yatatumia URL ya sasisho inayoonyeshwa katika faili ya maelezo ya kiendelezi. Kumbuka pia kubainisha URL ya "sasisho" bayana ni lazima katika matoleo ya Google Chrome na mapya zaidi ikiwa ni pamoja na la 67.
Kwa mfano, gbchcmhmhahfdphkhkmpfmihenigjmpp;https://clients2.google.com/service/update2/crx inasakinisha programu ya Chrome Remote Desktop kutoka URL ya "sasisho" la kawaida la Duka la Chrome kwenye Wavuti. Kwa maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kupangisha viendelezi, angalia: https://developer.chrome.com/extensions/hosting.
Ikiwa sera hii haijawekwa, hakuna programu au viendelezi vitakavyosakinishwa kiotomatiki na mtumiaji anaweza kuondoa programu au kiendelezi chochote katika Google Chrome.
Kumbuka kwamba sera hii haitumiki katika hali fiche.
Programu za Android zinaweza kusakinishwa kwa lazima kutoka kwenye Google Admin console kwa kutumia Google Play. Hazitumii sera hii.
Allows you to specify which URLs are allowed to install extensions, apps, and themes.
Starting in Google Chrome 21, it is more difficult to install extensions, apps, and user scripts from outside the Chrome Web Store. Previously, users could click on a link to a *.crx file, and Google Chrome would offer to install the file after a few warnings. After Google Chrome 21, such files must be downloaded and dragged onto the Google Chrome settings page. This setting allows specific URLs to have the old, easier installation flow.
Each item in this list is an extension-style match pattern (see https://developer.chrome.com/extensions/match_patterns). Users will be able to easily install items from any URL that matches an item in this list. Both the location of the *.crx file and the page where the download is started from (i.e. the referrer) must be allowed by these patterns.
ExtensionInstallBlacklist takes precedence over this policy. That is, an extension on the blacklist won't be installed, even if it happens from a site on this list.
Hudhibiti aina za programu/viendelezi vinavyoruhusiwa kusakinishwa na huweka vikwazo vya ufikiaji wa programu inapotumika.
Mipanglio huidhinisha aina zinazoruhusiwa za viendelezi/programu zinazoweza kusakinishwa katika Google Chrome na seva pangishi ambazo zinaweza kuwasiliana nazo. Thamani ni orodha ya mifuatano ambayo kila moja inapaswa kuwa mojawapo ya ifuatayo: "extension", "theme", "user_script", "hosted_app", "legacy_packaged_app", "platform_app". Angalia hati za viendelezi vya Google Chrome upate maelezo zaidi kuhusu aina hizi.
Kumbuka kuwa sera pia hii huathiri viendelezi na programu zitakazolazimishwa kusakinishwa kupitia ExtensionInstallForcelist.
Ikiwa mipangilio hii imewekwa, viendelezi/programu ambazo zina aina isiyo kwenye orodha hazitasakinishwa.
Ikiwa mipangilio hii itaachwa bila kuwekwa, hakuna vikwazo vya aina za viendelezi/programu zinazokubalika zitatekelezwa.
Husanidi mipangilio ya udhibiti wa viendelezi vya Google Chrome.
Sera hii hudhibiti mipangilio mingi, ikiwa ni pamoja na mipangilio inayodhibitiwa na sera zozote zilizopo zinazohusiana na viendelezi. Sera hii itabatilisha sera zozote zilizopitwa na wakati ikiwa zote zimewekwa.
Sera hii inalinganisha kitambulisho cha kiendelezo au URL ya sasisho na mipangilio yake. Ikiwa na kitambulisho cha kiendelezi, mipangilio itatekelezwa kwenye kiendelezi kilichobainishwa pekee. Mipagilio chaguomsingi inaweza kuwekwa kwa kitambulisho maalum cha "*", ambacho kitatekelezwa kwenye viendelezi vyote visisvyokuwa na mipangilio maalum iliyowekwa kwenye sera hii. Ikiwa na URL ya sasisho, mipangilio itatekelezwa kwenye viendelezi vyote vikiwa na URL mahususi imebainishwa katika faili ya maelezo ya kiendelezi hiki, kama ilivyoelezwa katika https://developer.chrome.com/extensions/autoupdate.
Kwa maelezo kamili ya mipangilio inayoweza kutumika na muundo wa sera hii tafadhali tembelea https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/extension-settings-full
Hukuruhusu kuweka iwapo tovuti zilizo na matumizi yanayopotosha zinapaswa kuzuiwa zisifungue madirisha au vichupo vipya.
Sera hii ikiwekwa kuwa Ndivyo, tovuti zilizo na matumizi yanayopotosha zitazuiwa zisifungue madirisha au vichupo vipya. Hata hivyo, hali hii haitatekelezwa iwapo sera ya SafeBrowsingEnabled imewekwa kuwa Sivyo. Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, tovuti zilizo na matumizi mabaya zitaruhusiwa kufungua madirisha na vichupo vipya. Sera hii isipowekwa, mipangilio ya Ndivyo itatumika.
Inakuruhusu kubaini ikiwa matangazo yanapaswa kuzuiliwa kwenye tovuti zilizo na matangazo yanayokatiza matumizi. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa 2, matangazo yatazuiliwa kwenye tovuti zilizo na matangazo yanayozuia matumizi. Hata hivyo, utendaji huu hautafanyika ikiwa sera ya SafeBrowsingEnabled imewekwa kuwa Sivyo. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa 1, matangazo hayatazuiliwa kwenye tovuti zilizo na matangazo yanayokatiza matumizi. Ikiwa sera hii haijawekwa, thamani ya 2 itatumika.
Huwasha ufutaji wa historia ya kivinjari na historia ya upakuaji katika Google Chrome na huzuia watumiaji wasibadilishe mpangilio huu.
Kumbuka kuwa hata na sera hii kuzimwa, historia ya kuvinjari na upakuaji haina uhakika wa kubakishwa: watumiaji wanaweza kubadilisha au kufuta faili za hifadhidata ya historia moja kwa moja, na kivinjari chenyewe kinaweza kupitwa na wakati au kiweke vipengee vyote vya historia kwenye kumbukumbu wakati wowote.
Endapo mpangilio huu utawashwa au usiwekwe, historia ya kuvinjari na upakuaji inaweza kufutwa.
Mpangilio huu ukizimwa, historia ya kuvinjari na upakuaji hauwezi kufutwa.
Ruruhusu watumiaji wacheze mchezo fiche wa dinosau kifaa kinapokuwa nje ya mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, watumiaji hawataweza kucheza mchezo mchezo fiche wa dinosau kifaa kinapokuwa nje ya mtandao. Mipangilio hii ikiwekwa kuwa Ndivyo, watumiaji wanaruhusiwa kucheza mchezo wa dinosau. Sera hii isipowekwa, watumiaji hawaruhusiwi kucheza mchezo fiche wa dinosau kwenye Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome uliosajiliwa, lakini wanaruhusiwa kuucheza chini ya hali nyingine.
Huruhusu faili zilizo kwenye mashine kufikiwa kwa kuruhusu Google Chrome kuonyesha vidadisi vya uteuzi vya faili.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji wanaweza kufungua vidadisi vya uteuzi vya faili kama kawaida.
Ukizima mpangilio huu, wakati wowote mtumiaji anapotekeleza kitendo ambacho kinaweza kufanya kidadisi cha uteuzi faili kionyeshwe (kama kuingiza alamisho, kupakia faili, kuhifadhi viungo, n.k.) ujumbe unaonyeshwa badala yake na mtumiaji anachukuliwa kwamba amebofya Ghairi kwenye kidadisi cha uteuzi wa faili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, watumiaji wanaweza kufungua kidadisi cha uteuzi faili kama kawaida.
Ikiwa utaruhusu programu inayotumia skrini nzima kufunguka kiotomatiki bila kuchelewa ili kudhibiti toleo la Google Chrome OS.
Sera hii hudhibiti ikiwa utaruhusu programu inayotumia skrini nzima kufunguka kiotomatiki bila kuchelewa ili kudhibiti toleo la Google Chrome OS kwa kutaja required_platform_version katika faili yake ya maelezo na kuitumia kama kiambishi awali cha toleo la kusasisha kiotomatiki.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, thamani ya ufunguo wa faili ya maelezo ya required_platform_version ya programu inayotumia skrini nzima kufunguka kiotomatiki bila kuchelewa itatumiwa kama kiambishi awali cha toleo la kusasisha kiotomatiki.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa sivyo, ufunguo wa faili ya maelezo ya required_platform_version utapuuzwa na kipengele cha kusasisha kiotomatiki kuendelea kama kawaida.
Onyo: Unashauriwa kutohawilisha udhibiti wa toleo la Google Chrome OS kwenye programu ya skrini nzima kwa sababu inaweza kuzuia kifaa kupokea masasisho ya programu na marekebisho muhimu ya usalama. Kuhawilisha udhibiti wa toleo la Google Chrome OS kunaweza kuhatarisha hali ya watumiaji.
Ikiwa programu inayotumia skrini nzima ni programu ya Android, haiwezi kudhibiti toleo la Google Chrome OS, hata kama sera hii itawekwa kuwa True.
If you enable this setting, outdated plugins are used as normal plugins.
If you disable this setting, outdated plugins will not be used and users will not be asked for permission to run them.
If this setting is not set, users will be asked for permission to run outdated plugins.
If this policy is set to false, users will not be able to lock the screen (only signing out from the user session will be possible). If this setting is set to true or not set, users who authenticated with a password can lock the screen.
Huruhusu kipengele cha kuingia katika akaunti cha Google Chrome kinachodhibitiwa katika G Suite na kuzuia watumiaji wasibadilishe mipangilio hii.
Iwapo utabainisha mipangilio hii, watumiaji wataweza tu kufikia Programu za Google kupitia akaunti kutoka vikoa vilivyobainishwa (kumbuka kuwa ili kuruhusu akaunti za gmail.com/googlemail.com, unapaswa kuongeza "akaunti za watumiaji" (bila manukuu) kwenye orodha ya vikoa).
Mipangilio hii itamzuia mtumiaji asiingie katika akaunti, na asiongeze Akaunti Mbadala kwenye kifaa kinachodhibitiwa ambacho kinahitaji uthibitishaji wa Google, iwapo akaunti hiyo haijajumuishwa katika orodha iliyotajwa awali ya vikoa vinavyoruhusiwa.
Iwapo hutajaza mipangilio hii au hutaiweka, mtumiaji ataweza kufikia G Suite kwa kutumia akaunti yoyote.
Sera hii husababisha kichwa cha X-GoogApps-Allowed-Domains kiwekwe kwenye maombi yote ya HTTP na HTTPS katika vikoa vyote vya google.com, jinsi inavyobainishwa katika https://support.google.com/a/answer/1668854.
Watumiaji hawawezi kubadilisha wala kubatilisha mipangilio hii.
Huweka mipangilio ya miundo wa kibodi ambayo inaruhusiwa katika vipindi vya watumiaji wa Google Chrome OS.
Ikiwa sera hii imewekwa, mtumiaji anaweza tu kuchagua moja ya njia za kuweka data zilizobainishwa na sera hii. Ikiwa sera hii haijawekwa au imewekwa kwenye orodha isiyo na kitu, mtumiaji anaweza kuchagua njia zote zinazotumika za kuweka data. Iwapo njia ya sasa ya kuweka data hairuhusiwi na sera hii, njia hii ya kuweka data itabadilishwa ili kutumia muundo wa kibodi ya maunzi (ikiruhusiwa) au njia ya kwanza ya kuweka data inayoruhusiwa katika orodha hii. Haitazingatia njia zote za kuweka data ambazo hazitumiki au si sahihi, zilizo katika orodha hii.
Huweka mipangilio ya lugha zinazoweza kutumiwa kama lugha zinazopendelewa na Google Chrome OS.
Sera hii ikiwekwa, mtumiaji anaweza kuongeza lugha moja pekee kutoka lugha zilizoorodheshwa katika sera hii kwenye orodha ya lugha zinazopendelewa. Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa orodha isiyo na kitu, mtumiaji anaweza kubainisha lugha yoyote anayopendelea. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa orodha ya thamani zisizo sahihi, thamani zote zisizo sahihi hazitatumiwa. Kama mtumiaji aliweka lugha kadhaa hapo awali ambazo haziruhusiwi na sera hii kwenye orodha ya lugha zinazopendelewa, lugha hizo zitaondolewa. Ikiwa mtumiaji alikuwa ameweka mipangilio ya Google Chrome OS hapo awali ili ionekane katika mojawapo ya lugha ambazo haziruhusiwi na sera hii, lugha ya kuonyesha itabadilishwa iwe lugha inayoruhusiwa ya kiolesura wakati mtumiaji ataingia tena katika akaunti. Vinginevyo, Google Chrome OS itatumia thamani sahihi ya kwanza inayobainishwa na sera hii, au lugha chaguomsingi (kwa sasa ni kiingereza cha Marekani), ikiwa sera hii inajumuisha tu thamani zisizo sahihi.
Inawezesha matumizi ya kurasa mbadala za hitilafu zilizojengwa katika Google Chrome (kama vile 'ukurasa haukupatikana') na huzuia watumiaji kuubadilisha mpangilio huu.
Ukiwezesha mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu zinatumiwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu hazitumiwi kamwe.
Ukiwezesha au kuulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Huzima programu ya ndani ya kusoma PDF katika Google Chrome. Badala yake huichukulia kama kupakuliwa na huruhusu mtumiaji kufungua faili za PDF kwa kutumia programu chaguomsingi.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa au ikizimwa, programu jalizi ya PDF itatumiwa kufungua faili za PDF isipokuwa mtumiaji awe ameizima.
Inasanidi lugha ya programu katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha lugha.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome hutumia lugha iliyobainishwa. Ikiwa lugha iliyosanidiwa haijahimiliwa, 'en-US' inatumiwa badala yake.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au haujawekwa, Google Chrome hutumia lugha inayopendelewa iliyobainishwa na mtumiaji (ikiwa imesanidiwa), lugha ya mfumo au lugha mbadala 'en-US'.
Huruhusu kuripotiwa kwa matukio muhimu wakati wa kusakinisha programu ya Android kwenye Google. Matukio hurekodiwa tu kwa programu ambazo usakinishaji wake unatokana na sera.
Ikiwa sera imewekwa kuwa ndivyo, matukio yatarekodiwa. Ikiwa sera imewekwa kuwa sivyo au haijawekwa, matukio hayatarekodiwa.
Sera hii inadhibiti upatikanaji wa vipengele vya Android vya kuhifadhi nakala na kurejesha.
Wakati sera hii haijasanidiwa au imewekwa kuwa BackupAndRestoreDisabled, kipengele cha Android cha kuhifadhi nakala na kurejesha kitazimwa na mtumiaji hataweza kukiwasha.
Wakati sera hii haijasanidiwa wala kuwekwa kuwa BackupAndRestoreUnderUserControl, mtumiaji anaombwa achague iwapo atatumia kipengele cha Android cha kuhifadhi nakala na kurejesha. Ikiwa mtumiaji amewasha kipengele cha kuhifadhi nakala na kurejesha, data ya programu ya Android inapakiwa kwenye seva za kuhifadhi nakala za Android na kurejeshwa kutoka kwenye seva hizo baada ya kusakinishwa tena kwa programu zinazooana.
Ikiwekwa kuwa SyncDisabled au isiposanidiwa, vyeti vya Google Chrome OS havitakuwepo kwa ajili ya programu za ARC.
Ikiwekwa kuwa CopyCaCerts, vyeti vyote vya CA vilivyosakinishwa kwenye ONC vyenye Web TrustBit vitapatikana kwa ajili ya programu za ARC.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kipengee cha ARC kitawashiwa mtumiaji (kutegemea kanuni za mipangilio ya ziada ya sera - kipengee cha ARC bado hakitapatikana ikiwa kipindi cha matumizi ya muda au kipengee cha kuingia katika akaunti nyingi kitawashwa katika kipindi cha sasa cha mtumiaji).
Mipangilio hii ikizimwa au isiposanidiwa, basi watumiaji wa biashara hawawezi kutumia kipengee cha ARC.
Sera hii hudhibiti upatikanaji wa Huduma za Mahali za Google.
Wakati sera hii haijasanidiwa au mipangilio yake imewekwa kuwa GoogleLocationServicesDisabled, Huduma za mahali za Google huzimwa na haziwezi kuwashwa na mtumiaji.
Wakati sera hii imewekwa kuwa GoogleLocationServicesUnderUserControl, mtumiaji huombwa kuchagua iwapo atatumia huduma ya mahali ya Google. Hili litaruhusu programu za Android kutumia huduma za kuuliza mahali kifaa kipo na pia kuruhusu uwasilishaji wa data ya mahali kwa Google bila kujitambulisha.
Kumbuka kuwa sera hii imepuuzwa na huduma za mahali za Google hubaki zikiwa zimezimwa wakati sera ya DefaultGeolocationSetting imewekwa kuwa BlockGeolocation.
Hubainisha kikundi cha sera zitakazotolewa wakati ARC inatumika. Lazima thamani iwe JSON sahihi.
Sera hii inaweza kutumika kuweka mipangilio ya kubainisha programu za Android ambazo zinasakinishwa kiotomatiki kwenye kifaa:
{ "type": "object", "properties": { "applications": { "type": "array", "items": { "type": "object", "properties": { "packageName": { "description": "Android app identifier, e.g. "com.google.android.gm" for Gmail", "type": "string" }, "installType": { "description": "Specifies how an app is installed. OPTIONAL: The app is not installed automatically, but the user can install it. This is the default if this policy is not specified. PRELOAD: The app is installed automatically, but the user can uninstall it. FORCE_INSTALLED: The app is installed automatically and the user cannot uninstall it. BLOCKED: The app is blocked and cannot be installed. If the app was installed under a previous policy it will be uninstalled.", "type": "string", "enum": [ "OPTIONAL", "PRELOAD", "FORCE_INSTALLED", "BLOCKED" ] }, "defaultPermissionPolicy": { "description": "Policy for granting permission requests to apps. PERMISSION_POLICY_UNSPECIFIED: Policy not specified. If no policy is specified for a permission at any level, then the `PROMPT` behavior is used by default. PROMPT: Prompt the user to grant a permission. GRANT: Automatically grant a permission. DENY: Automatically deny a permission.", "type": "string", "enum": [ "PERMISSION_POLICY_UNSPECIFIED", "PROMPT", "GRANT", "DENY" ] }, "managedConfiguration": { "description": "App-specific JSON configuration object with a set of key-value pairs, e.g. '"managedConfiguration": { "key1": value1, "key2": value2 }'. The keys are defined in the app manifest.", "type": "object" } } } } } }
Ili kubandika programu kwenye kifungua programu, angalia PinnedLauncherApps.
If enabled or not configured (default), the user will be prompted for audio capture access except for URLs configured in the AudioCaptureAllowedUrls list which will be granted access without prompting.
When this policy is disabled, the user will never be prompted and audio capture only be available to URLs configured in AudioCaptureAllowedUrls.
This policy affects all types of audio inputs and not only the built-in microphone.
Kwa programu za Android, sera hii inaathiri maikrofoni pekee. Sera ikiwekwa kuwa ndivyo, maikrofoni huzimwa sauti kwa programu zote za Android, bila vighairi.
Ruwaza katika orodha hii zitalinganishwa dhidi ya asili ya usalama wa ombi la URL. Zikilingana, idhini ya kufikia vifaa vya kunasa sauti itatolewa bila ombi.
KUMBUKA: Kabla ya toleo la 45, sera hii ilitumika katika Skrini nzima pekee.
When this policy is set to false, audio output will not be available on the device while the user is logged in.
This policy affects all types of audio output and not only the built-in speakers. Audio accessibility features are also inhibited by this policy. Do not enable this policy if a screen reader is required for the user.
If this setting is set to true or not configured then users can use all supported audio outputs on their device.
Sera hii iliacha kuendesha huduma katika M70, badala yake, tafadhali tumia AutofillAddressEnabled na AutofillCreditCardEnabled.
Sera hii huwasha kipengele cha Google Chrome cha Kujaza Kiotomatiki na huruhusu watumiaji kujaza fomu za tovuti kwa kutumia maelezo yaliyohifadhiwa hapo awali kama vile anwani au maelezo ya kadi ya mikopo.
Ukizima mipangilio hii, watumiaji hawataweza kufikia kipengele cha Kujaza Kiotomatiki.
Ukiwasha mipangilo hii au usiweke thamani yoyote, kipengele cha Kujaza Kiotomatiki kitasalia chini ya udhibiti wa mtumiaji. Hali hii itaruhusu watumiaji kupanga wasifu wa kipengele cha Kujaza Kiotomatiki na kuwasha au kuzima kipengele cha Kujaza Kiotomatiki wakati wowote.
Huwasha kipengele cha Kujaza Kiotomatiki cha Google Chrome na kuruhusu watumiaji wajaze kiotomatiki maelezo ya anwani katika fomu za wavuti wakitumia maelezo waliyohifadhi awali.
Iwapo mipangilio hii imezimwa, kipengele cha Kujaza Kiotomatiki hakitawahi kupendekeza wala kujaza maelezo ya anwani. Pia hakitahifadhi maelezo ya ziada ya anwani ambayo huenda mtumiaji atawasilisha anapovinjari wavuti.
Iwapo mipangilio hii imewashwa au haina thamani yoyote, mtumiaji ataweza kudhibiti kipengele cha Kujaza Kiotomatiki kwa anwani kwenye kiolesura.
Huwasha kipengele cha Kujaza Kiotomatiki cha Google Chrome na kuruhusu watumiaji wajaze kiotomatiki maelezo ya kadi ya mikopo katika fomu za wavuti wakitumia maelezo waliyohifadhi awali.
Iwapo mipangilio hii imezimwa, kipengele cha Kujaza Kiotomatiki hakitawahi kupendekeza wala kujaza maelezo ya kadi ya mikopo. Pia hakitaweza kuhifadhi maelezo ya ziada ya kadi ya mikopo ambayo huenda mtumiaji atawasilisha atakapovinjari kwenye wavuti.
Iwapo mipangilio hii imewashwa au haina thamani yoyote, mtumiaji ataweza kudhibiti kipengele cha Kujaza Kiotomatiki katika kadi za mikopo kwenye kiolesura.
Hukuruhusu udhibiti ikiwa video zinaweza kucheza kiotomatiki (bila idhini ya mtumiaji) katika maudhui ya sauti kwenye Google Chrome.
Kama sera imewekwa kuwa Ndivyo, Google Chrome inaruhusiwa kucheza maudhui kiotomatiki. Kama sera imewekwa kuwa Sivyo, Google Chrome hairuhusiwi kucheza maudhui kiotomatiki. Sera ya Orodha Zilizoidhinishwa Kucheza Kiotomatiki inaweza kutumiwa kufuta hali hii katika ruwaza fulani za URL. Kwa chaguomsingi, Google Chrome hairuhusiwi kucheza maudhui kiotomatiki. Sera ya Orodha Zilizoidhinishwa Kucheza Kiotomatiki inaweza kutumiwa kufuta hali hii katika ruwaza fulani za URL.
Kumbuka kwamba kama Google Chrome inatumika na sera hii ibadilike, itatumika tu kwenye vichupo vinavyofunguliwa baada ya hatua hii. Kwa hivyo baadhi ya vichupo huenda vitatumia sera ya awali.
Hudhibiti ruwaza za URL zilizoidhinishwa ambako kipengele cha kucheza kiotomatiki kitawaka kila wakati.
Kama kipengele cha kucheza kiotomatiki kimewashwa basi video zinaweza kucheza kiotomatiki (bila idhini ya mtumiaji) katika maudhui ya sauti kwenye Google Chrome.
Ruwaza ya URL imeumbizwa kulingana na https://www.chromium.org/administrators/url-blacklist-filter-format.
Ikiwa sera ya Kucheza Kiotomatiki imewekwa kuwa Ndivyo, basi sera hii haina athari yoyote.
Ikiwa sera ya Kucheza Kiotomatiki imewekwa kuwa Sivyo, basi ruwaza yoyote ya URL iliyowekwa katika sera hii bado itaruhusiwa kucheza.
Kumbuka kuwa kama Google Chrome inafanya kazi na sera hii ibadilike, sera itatumika tu kwenye vichupo vinavyofunguliwa baada ya hatua hii. Kwa hivyo baadhi ya vichupo huenda vitatumia sera ya awali.
Huamua ikiwa machakato wa Google Chrome utaanza wakati wa kuingia katika Mfumo wa Uendeshaji na kuendelea kutekeleza dirisha la mwisho la kivinjari linapofungwa, hivyo kuruhusu programu za chini chini na kipindi cha kuvinjari cha sasa kuendelea, ikiwa ni pamoja na vidakuzi vya kipindi. Mchakato wa chini chini huonyesha aikoni katika treya ya mfumo na unaweza kufungwa kutoka huko wakati wowote.
Sera hii ikiwekwa kuwa Ndivyo, kipengee cha hali ya chinichini huwashwa na hakiwezi kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, kipengee cha hali ya chinichini huzimwa na hakiwezi kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, kipengee cha hali ya chinichini huzimwa kwanza na kinaweza kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Enabling this setting prevents cookies from being set by web page elements that are not from the domain that is in the browser's address bar.
Disabling this setting allows cookies to be set by web page elements that are not from the domain that is in the browser's address bar and prevents users from changing this setting.
If this policy is left not set, third party cookies will be enabled but the user will be able to change that.
If you enable this setting, Google Chrome will show a bookmark bar.
If you disable this setting, users will never see the bookmark bar.
If you enable or disable this setting, users cannot change or override it in Google Chrome.
If this setting is left not set the user can decide to use this function or not.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isipowekwa mipangilio, Google Chrome itaruhusu kipengee cha Ongeza Wasifu kutoka kwenye kidhibiti cha mtumiaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome haitaruhusu kuunda wasifu mpya kutoka kwenye kidhibiti cha mtumiaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isisanidiwe, Google Chrome itawasha kipengee cha wageni kuingia katika akaunti. Kuingia katika akaunti kwa wageni ni wasifu wa Google Chrome ambapo madirisha yote yako katika hali fiche.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome haitaruhusu wasifu wa wageni kuanzishwa.
Kuiweka sera hii kuwa sivyo kutasimamisha Google Chrome kutuma hoja mara kwa mara kwenye seva ya Google ili kurejesha muhuri sahihi wa muda. Hoja hizi zitawashwa iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo au haitawekwa.
Sera hii hudhibiti hali ya kuingia katika akaunti ya kivinjari. Inakusaidia kubainisha kama mtumiaji anaweza kuingia katika akaunti ya Google Chrome kwa kutumia akaunti yake na atumie huduma zinazohusiana kama Usawazishaji wa Chrome.
Ikiwa sera imewekwa kuwa "Zima kuingia katika akaunti ya kivinjari" basi mtumiaji hawezi kuingia katika akaunti ya kivinjari na atumie huduma zinazotegemea akaunti. Katika hali hii vipengele vya kiwango cha kivinjari kama vile Usawazishaji wa Chrome havitatumika na havitapatikana. Kama mtumiaji alikuwa ameingia katika akaunti na sera imewekwa kuwa "Imezimwa" ataondolewa kwenye akaunti wakati unaofuata atakapotekeleza Chrome lakini data yake ya wasifu kwenye kifaa kama vile alamisho, nenosiri n.k. itawekwa salama. Mtumiaji bado ataweza kuingia katika akaunti na atumie huduma za wavuti za Google kama Gmail.
Ikiwa sera imewekwa kuwa "Ruhusu kuingia katika akaunti ya kivinjari," basi mtumiaji anakubaliwa kuingia katika akaunti ya kivinjari na anaingia katika akaunti ya kivinjari kiotomatiki anapoingia katika akaunti ya huduma za wavuti za Google kama Gmail. Kuingia katika akaunti ya kivinjari kuna maana kuwa maelezo ya akaunti ya mtumiaji yatahifadhiwa na kivinjari. Hata hivyo, haina maana kuwa Usawazishaji wa Chrome utawashwa kwa chaguomsingi; lazima mtumiaji achague kuingia ili aweze kutumia kipengele hiki. Kuweka sera hii kutamzuia mtumiaji kuzima mipangilio inayoruhusu kuingia katika akaunti ya kivinjari. Ili kudhibiti upatikanaji wa usawazishaji wa Chrome, tumia sera ya "SyncDisabled".
Ikiwa sera imewekwa kuwa "Lazimisha kuingia katika akaunti ya kivinjari" kidirisha cha kuchagua akaunti huwasilishwa kwa mtumiaji na anapaswa kuchagua na aingie katika akaunti ili kutumia kivinjari. Hii inahakikisha kwamba sera zinazohusishwa na akaunti zinazosimamiwa zimetumika na kutekelezwa. Kwa chaguomsingi hii huwasha kipengele cha Usawazishaji wa Chrome kwenye akaunti, isipokuwa ambapo usawazishaji ulizimwa na msimamizi wa kikoa au kupitia sera ya "SyncDisabled". Thamani chaguomsingi ya BrowserGuestModeEnabled itawekwa kuwa sivyo. Kumbuka kwamba wasifu uliopo ambao haujatumiwa kuingia katika akaunti utafungwa na hautaweza kufikiwa baada ya kuwasha sera hii. Kwa maelezo zaidi, angalia makala ya kituo cha usaidizi: https://support.google.com/chrome/a/answer/7572556.
Ikiwa sera hii haijawekwa basi mtumiaji anaweza kuamua kama anataka kuwasha chaguo la kuingia katika akaunti ya kivinjari na kuitumia anavyopenda.
Hudhibiti iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani inatumika katika Google Chrome.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumiwa, iwapo itapatikana.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani haitawahi kutumiwa.
Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kubadilisha iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumika kwa kuhariri chrome://flags au kubainisha alama ya mstari wa amri.
This policy allows Google Chrome OS to bypass any proxy for captive portal authentication.
This policy only takes effect if a proxy is configured (for example through policy, by the user in chrome://settings, or by extensions).
If you enable this setting, any captive portal authentication pages (i.e. all web pages starting from captive portal signin page until Google Chrome detects successful internet connection) will be displayed in a separate window ignoring all policy settings and restrictions for the current user.
If you disable this setting or leave it unset, any captive portal authentication pages will be shown in a (regular) new browser tab, using the current user's proxy settings.
Huzima masharti ya kutumia Uwazi wa Vyeti katika orodha hashi za subjectPublicKeyInfo.
Sera hii huruhusu uzimaji wa masharti ya kufichua Uwazi wa Vyeti katika mfululizo wa vyeti vilivyo na vyeti vyenye hashi za subjectPublicKeyInfo. Hali hii inaruhusu vyeti ambavyo havingeaminika, kwa sababu havikufichuliwa kwa umma ipasavyo, viendelee kutumika kwenye Seva pangishi za Kampuni.
Ili kuzima kipengele cha utekelezaji wa Uwazi wa Vyeti wakati sera hii imewekwa, ni lazima mojawapo ya hali hizi zitimizwe: 1. Hashi iwe cheti cha seva cha subjectPublicKeyInfo. 2. Hashi iwe subjectPublicKeyInfo inayoonekana kwenye cheti cha CA katika mfululizo wa vyeti. Cheti hicho cha CA kinabanwa kupitia kiendelezi cha 0000X.509v3 nameConstraints, directoryName nameConstraints moja au zaidi pia zipo katika permittedSubtrees na directoryName ina sifa ya organizationName. 3. Hashi iwe subjectPublicKeyInfo inayoonekana kwenye cheti cha CA katika mfululizo wa vyeti, cheti cha CA kina sifa moja au zaidi ya organizationName kwenye mada ya cheti na cheti cha seva kina idadi sawa ya sifa za organizationName, katika mpangilio sawa na wenye thamani zinazofanana kwenye kila baiti.
Hashi ya subjectPublicKeyInfo inabainishwa kwa kuunganisha jina la algoriti ya hashi, herufi "/" na usimbaji wa Base64 wa algoriti ya hashi iliyotumika kwenye subjectPublicKeyInfo yenye usimbaji wa DER wa cheti kilichobainishwa. Usimbaji huu wa Base64 una muundo sawa na alama bainifu ya SPKI, kama ilivyoelezwa katika RFC 7469, Sehemu ya 2.4. Algoriti za hashi zisizotambulika hupuuzwa. Algoriti ya hashi inayotumika kwa sasa ni "sha256" pekee.
Sera hii isipowekwa, cheti chochote kinachohitaji kufichuliwa kupitia Uwazi wa Cheti kitashughulikiwa kama cheti kisichoaminika kisipofichuliwa kulinganana na sera ya Uwazi wa Cheti.
Huzima masharti yanayotekeleza Uwazi wa cheti katika orodha ya Mamlaka ya Vyeti vilivyopitwa na wakati.
Sera hii huruhusu uzimaji wa masharti ya ufumbuzi wa Uwazi wa Cheti kwa ajili ya misururu ya vyeti vilivyo na vyeti vilivyo na mojawapo ya alama reli iliyobainishwa ya subjectPublicKeyInfo. Hii huruhusu vyeti ambavyo huenda havingeaminika, kwa sababu havikufichuliwa kwa umma ipasavyo, ili viendelee kutumika kwenye seva pangishi za Kampuni.
Ili kuzima kipengele cha kutekeleza Uwazi wa Cheti wakati sera hii imewekwa, ni lazima hashi iwe ya subjectPublicKeyInfo inayoonekana kwenye cheti cha CA kinachotambulika kama Mamlaka ya Cheti Kilichopitwa na wakati (CA). CA iliyopitwa na wakati ni CA ambayo imeaminiwa hadharani kwa chaguomsingi na mfumo moja au zaidi ya uendeshaji unaotumika katika Google Chrome, lakini haiaminiki na Mradi wa Programu huria za Android au Google Chrome OS.
Hashi ya subjectPublicKeyInfo inabainishwa kwa kuunganisha jina la algoriti ya hashi, herufi "/" na programu ya kusimba ya Base64 ya algoriti ya hashi hiyo inayotumika kwenye subjectPublicKeyInfo yenye usimbaji wa DER wa cheti kilichobainishwa. Usimbaji huu wa Base64 una muundo sawa na Alama bainifu ya SPKI, kama ilivyoelezwa kwenye RFC 7469, Sehemu ya 2.4. Algoriti za hashi zisizotambulika zitapuuzwa. Algoriti ya hashi ya kipekee inayotumika kwa wakati huu ni "sha256".
Ikiwa sera hii haijawekwa, cheti chochote kinachotakiwa kufichuliwa kupitia Uwazi wa Cheti kitashughulikiwa kuwa kisichoaminika ikiwa hakitafichuliwa kulingana na sera ya Uwazi wa Cheti.
Huzima utekelezaji wa mahitaji ya Uwazi wa Cheti kwenye URL zilizoorodheshwa.
Sera hii huruhusu vyeti vya majina ya wapangishaji katika URL zilizobainishwa visifichuliwe kupitia Uwazi wa Cheti. Hii huruhusu vyeti visivyoaminika, kwa sababu havikufichuliwa hadharani ipasavyo, viendelee kutumiwa, lakini hufanya ugunduzi wa vyeti vilivyotumiwa vibaya kuwa mgumu kwa wapangishaji hao.
Ruwaza ya URL huundwa kulingana na https://www.chromium.org/administrators/url-blacklist-filter-format. Hata hivyo, kwa sababu vyeti ni sahihi kwa jina maalum la mpangishaji ambayo haitegemei utaratibu, mlango, au njia, ni sehemu ya jina la mpangishaji wa URL ambayo hutumika pekee. Wapangishaji wa herufi wakilishi hawatumiki.
Sera hii isipowekwa, cheti chochote kinachopaswa kuonyeshwa kupitia Uwazi wa Cheti kitachukuliwa kuwa kisichoaminika kama hakitaonyeshwa kulingana na sera ya Uwazi wa Cheti.
Ikiwa sera imezimwa, itazuia Kipengele cha Kusafisha Chrome kisichanganue mfumo kubaini programu zisizotakikana na kuziondoa. Uwezo wa kuanzisha Kipengele cha Kusafisha Chrome kutoka chrome://settings/cleanup umezimwa.
Ikiwa sera imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, Kipengele cha Kusafisha Chrome kitakagua mfumo mara kwa mara ili kubaini programu zisizotakikana. Ikiwa programu yoyote itapatikana, kitamwuliza mtumiaji iwapo angependa kuiondoa. Uwezo wa kuanzisha Kipengele cha Kusafisha Chrome kutoka chrome://settings umewashwa.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Iwapo sera haijawekwa na Kipengele cha Kusafisha Chrome kitambue programu isiyotakikana, kinaweza kuripoti metadata kuhusu uchanganuzi kwa Google kulingana na sera zilizowekwa na SafeBrowsingExtendedReportingEnabled. Kisha, Kipengele cha Kusafisha Chrome kitamwuliza mtumiaji iwapo angependa kuondoa programu isiyotakikana. Mtumiaji anaweza kuchagua kushiriki matokeo ya uondoaji na Google ili kusaidia utambuzi wa programu zisizotakikana baadaye. Matokeo haya yana metadata ya faili, viendelezi vilivyosakinishwa kiotomatiki na funguo za sajili kama ilivyobainishwa na Nakala ya Faragha ya Chrome.
Iwapo sera imezimwa na Kipengee cha Kusafisha Chrome kitambue programu isiyotakikana, hakitaripoti metadata inayohusu uchanguzi kwa Google, hali itakayobatilisha sera zozote zilizowekwa na SafeBrowsingExtendedReportingEnabled. Kipengele cha Kusafisha Chrome kitamwuliza mtumiaji iwapo angependa kuondoa programu isiyotakikana. Matokeo ya uondoaji hayataripotiwa kwa Google na mtumiaji hatakuwa na chaguo la kufanya hivyo.
Iwapo sera imewashwa na Kipengele cha Kusafisha Chrome kitambue programu isiyotakikana, kinaweza kuripoti metadata kuhusu uchanganuzi kwa Google kulingana na sera zilizowekwa na SafeBrowsingExtendedReportingEnabled. Kipengele cha Kusafisha Chrome kitamwuliza mtumiaji iwapo angependa kuondoa programu isiyotakikana. Matokeo ya uondoaji yataripotiwa kwa Google na mtumiaji hatakuwa na chaguo la kuzuia hali hii.
Sera hii haipatikani katika matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Microsoft® Active Directory®.
Washa kipengele cha kufunga wakati vifaa vya Google Chrome OS havifanyi kitu au vikisimamishwa.
Ukiwasha mipangilio hii, watumiaji wataombwa nenosiri ili kufungua kifaa ambacho hakitumiki.
Ukizima mipangilio hii, watumiaji hawataombwa nenosiri ili kufungua kifaa ambacho hakitumiki.
Ukiwasha au kuzima mipangilio hii, watumiaji hawawezi kukibadilisha au kukifuta.
Ikiwa sera hii haitawekwa, mtumiaji anaweza kuchagua kama angependa kuombwa nenosiri ili afungue kifaa au la.
Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha multiprofile kwenye vifaa vya Google Chrome OS.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza au wa pili katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza pekee katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorNotAllowed', mtumiaji hawezi kushiriki kipindi cha multiprofile.
Ukiweka mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta.
Ikiwa mpangilio utabadilishwa mtumiaji akiwa ameingia katika kipindi cha multiprofile, watumiaji wote katika kipindi watateuliwa dhidi ya mipangilio yao sambamba. Kipindi kitafungwa ikiwa yeyote kati ya watumiaji haruhusiwi kuwa katika kipindi.
Ikiwa sera itaachwa bila kuwekwa, thamani ya chaguomsingi 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary' inatumika kwa watumiaji wanaosimamiwa kibiashara na 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted' itatumiwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Watumiaji wengi wanapoingia katika akaunti, ni mtumiaji wa kwanza pekee anayeweza kutumia programu za Android.
Hubainisha kituo cha kutoa ambacho kifaa hiki kinastahili kufungiwa kwacho.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ndivyo na sera ya ChromeOsReleaseChannel haijabainishwa basi watumiaji wa kikoa cha uandikishaji kitaruhusiwa kubadilisha kituo cha kutoa cha kifaa. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa siyo Ndivyo kifaa kitafungwa katika kituo chochote ambapo kilikuwa kimewekwa mwisho.
Kituo kilichoteuliwa na mtumiaji kitafutwa kwa sera ya ChromeOsReleaseChannel, lakini ikiwa kituo cha sera ni thabiti zaidi kuliko kile ambacho kilikuwa kimesakinishwa kwenye kifaa, hivyo basi kituo kitabadili tu baada ya toleo la kituo thabiti zaidi kinachofikia idadi ya juu zaidi ya toleo kuliko lililosakinishwa kwenye kifaa.
Huwezesha Google Chrome kufanya kazi kama proksi kati ya Google Cloud Print na printa zilizotangulia zilizounganishwa kwenye mashine.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hutasanidiwa, watumiaji wanaweza kutumia proksi ya kuchipisha ya wingu ili kuthibitisha akaunti ya Google.
Iwapo mpangilio huu utafungwa, watumiaji hawawezi kuwasha proksi, na mashine haitaruhusiwa kushiriki printa zake na Google Cloud Print.
Inawezesha Google Chrome kuwasilisha nyaraka kwenye Google Cloud Print ili kuchapishwa. KUMBUKA: Hii inaathiri tu msaada wa Google Cloud Print katika Google Chrome. Haizuii watumiaji kuwasilisha kazi zilizochapishwa kwenye tovuti.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa, watumiaji hawawezi kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha
Ikiwa haijawekwa au imewekwa kuwa Ndivyo, masasisho ya vipengele vyote katika Google Chrome huwashwa.
Ikiwekwa kuwa Sivyo, masasisho ya vipengele yatazimwa. Hata hivyo, baadhi ya vipengele havizingatii sera hii: haitazima masasisho ya kipengele chochote ambacho hakina msimbo wa kutekelezwa, au ambacho hakibadilishi zaidi jinsi kivinjari kinavyofanya kazi, au ni muhimu kwa usalama wake. Mifano ya vipengele kama hivyo ni orodha za vyeti vilivyobatilishwa na data ya Kuvinjari Salama. Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari Salama.
Huwasha kipengele cha Gusa ili Utafute katika mwonekano wa maudhui ya Google Chrome.
Ukiwasha mipangilio hii, kipengele cha Gusa ili Utafute kitapatikana kwa mtumiaji na anaweza kuamua kukiwasha au kukizima.
Ukizima mipangilio hii, kipengele cha Gusa ili Utafute kitazimwa kabisa.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, ni sawa na kuwashwa, angalia maelezo yaliyo hapo juu.
Iwapo mipangilio imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, Google Chrome itapendekeza kurasa zinazohusiana na ukurasa huu. Mapendekezo haya yanatafutwa kwa mbali kutoka seva za Google.
Ikiwa mipangilio hii imewekwa kuwa sivyo, haitatafuta wala kuonyesha mapendekezo.
Washa ili mtumiaji huyu atumie Crostini.
Ikiwa sera imewekwa kuwa sivyo, Crostini haijawashwa ili itumiwe na mtumiaji. Ikiwa sera imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, Crostini inawashwa ili itumiwe na mtumiaji kama mipangilio mingine inairuhusu. Sera hizi tatu, VirtualMachinesAllowed, CrostiniAllowed na DeviceUnaffiliatedCrostiniAllowed zinahitaji kuwekwa kuwa ndivyo wakati zinaomba Crostini iruhusiwe kutumika. Sera hii ikibadilishwa kuwa sivyo, inatumika kwa metadata mpya inayooanza ya Crostini lakini haizimi metadata ambayo tayari inatumika.
Washa au zima proksi ya kupunguza data na inazuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha au kuzima mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha ama kupuuza mpangilio huu.
Kama sera hii imeachwa bila kuwekwa, kipengee cha proksi ya kupunguza data kitapatikana ili mtumiaji achague kama atakitumia au la.
Inaweka mipangilio ya ukaguzi wa kivinjari chaguomsingi kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kuibadilisha.
Ukiwasha mipangilio hii, Google Chrome itakagua kila wakati itakapoanza kuwaka iwapo ni kivinjari chaguomsingi na kujisajili binafsi kiotomatiki ikiwezekana.
Ukizima mipangilio hii, Google Chrome haitawahi kukagua ikiwa ni kivinjari chaguomsingi na itazima vidhibiti vya mtumiaji vya kuweka mipangilio ya chaguo hili.
Ikiwa mipangilio hii haijawekwa, Google Chrome itaruhusu mtumiaji kudhibiti iwapo ni kivinjari chaguomsingi na iwapo arifa za mtumiaji zitaonyeshwa ikiwa si kivinjari chaguomsingi.
Kumbusho kwa wasimamizi wa Microsoft® Windows: Kitendo cha kuwasha mipangilio hii kitafanya kazi katika mashine zinazotumia Windows 7 pekee. Kwa matoleo ya Windows kuanzia Windows 8, ni sharti utumie faili ya "default application associations" ambayo hufanya Google Chrome kuwa kidhibiti cha itifaki za https na http (na ukipenda, itifaki ya ftp na aina za faili kama vile .html, .htm, .pdf, .svg, .webp, n.k...). Angalia https://support.google.com/chrome?p=make_chrome_default_win ili upate maelezo zaidi.
Husanidi saraka chaguomsingi ambayo Google Chrome itatumia kupakua faili.
Ikiwa utaweka sera hii, itabadilisha saraka chaguomsingi ambayo Google Chrome hupakulia faili. Sera hii si ya lazima, kwa hivyo, mtumiaji ataweza kubadilisha saraka hiyo.
Kama hutaweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka chaguomsingi ya kawaida (inayolenga mfumo mahususi).
Ili kupata orodha ya vigezo vinavyoweza kutumika, angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables.
Hubatilisha mipangilio ya uteuzi wa printa chaguomsingi ya Google Chrome.
Sera hii hubaini masharti ya kuchagua printa chaguomsingi katika Google Chrome, tendo ambalo hufanyika mara ya kwanza ambapo kipengele cha printa kinatumika katika wasifu.
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome itajaribu kutafuta printa inayolingana na sifa zote zilizobainishwa na kuichagua ili iwe printa chaguomsingi. Itachagua printa ya kwanza itakayopata ambayo italingana na sera. Iwapo kuna ulinganifu usio maalum, inaweza kuchagua printa yoyote inayolingana. Hali hii itategemea utaratibu ambao printa zinatambuliwa.
Ikiwa sera hii haijawekwa au haipati printa inayolingana katika muda uliyowekwa, itatumia printa ya PDF iliyotengenezewa ndani ya mfumo kwa chaguomsingi au haitachagua printa yoyote iwapo printa ya PDF haitapatikana.
Thamani inachanganuliwa kama kipengee cha JSON, kwa kutii utaratibu ufuatao: { "type": "object", "properties": { "kind": { "description": "Whether to limit the search of the matching printer to a specific set of printers.", "type": "string", "enum": [ "local", "cloud" ] }, "idPattern": { "description": "Regular expression to match printer id.", "type": "string" }, "namePattern": { "description": "Regular expression to match printer display name.", "type": "string" } } }
Printa zilizounganishwa kwenye Google Cloud Print zinachukuliwa kuwa "cloud", na printa nyinginezo zinaainishwa kama "local". Hatua ya kuacha sehemu inamaanisha kuwa thamani zote zinalingana, kwa mfano, kutobainisha uunganishaji kutasababisha Onyesho la Kuchungulia Printa lianzishe utambuzi wa aina zote za printa za mfumo na za wingu. Ni lazima miundo ya maonyesho ya kawaida ifuate sintaksia ya JavaScript RegExp na viwango vinavyolingana huathiriwa na ukubwa au udogo wa fonti.
Sera hii haiathiri programu za Android.
Inakuruhusu udhibiti sehemu ambapo Zana za Wasanidi Programu zinaweza kutumika.
Ikiwa mipangilio ya sera hii imewekwa kuwa 'DeveloperToolsDisallowedForForceInstalledExtensions' (thamani ya 0, ambayo ni thamani chaguomsingi), Zana za Wasanidi Programu na kidhibiti JavaScript, zinaweza kufikiwa kwa jumla, lakini haziwezi kufikiwa katika muktadha wa viendelezi vinavyosakinishwa na sera ya biashara. Ikiwa mipangilio ya sera hii imewekwa kuwa 'DeveloperToolsAllowed' (thamani ya 1), Zana za Wasanidi Programu na kidhibiti JavaScript, zinaweza kufikiwa na kutumiwa katika miktadha yote, ikijumuisha muktadha wa viendelezi vinavyosakinishwa na sera ya biashara. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa 'DeveloperToolsDisallowed' (thamani ya 2), Zana za Wasanidi Programu haziwezi kufikiwa na vipengele vya wavuti havitaweza kuchunguzwa tena. Hali hii itazima mikato yoyote ya kibodi na menyu zozote au data ya menyu ya kufungua Zana za Wasanidi Programu au Kidhibiti JavaScript.
Sera hii pia inadhibiti idhini ya kufikia Chaguo za Wasanidi Programu wa Android. Ukiweka sera hii kuwa DeveloperToolsDisallowed' (thamani ya 2), watumiaji hawawezi kufikia Chaguo za Wasanidi Programu. Ukiweka sera hii kuwa thamani nyingine au uiache bila kuiweka, watumiaji wataweza kufikia Chaguo za Wasanidi Programu kwa kugusa mara saba nambari ya muundo katika programu ya mipangilio ya Android.
Sera hii iliacha kutumiwa katika toleo la M68, tafadhali tumia DeveloperToolsAvailability badala yake.
Huzima Zana za Wasanidi Programu na kidhibiti JavaScript.
Ukiwasha mipangilio hii, Zana za Wasanidi Programu haziwezi kufikiwa na vipengele vya tovuti haviwezi kuchunguzwa tena. Njia zozote za mikato ya kibodi na menyu yoyote au ingizo za menyu ya muktadha za kufungua Zana za Wasanidi programu au Kidhibiti JavaScript zitazimwa.
Kuweka chaguo hii ili kuzima au kuliacha bila kuweka huruhusu mtumiaji kutumia Zana za Wasanidi Programu na kidhibiti JavaScript.
Ikiwa kipengele cha DeveloperToolsAvailability kimewashwa, thamani ya sera ya DeveloperToolsDisabled itapuuzwa.
Sera hii pia inadhibiti idhini ya kufikia Chaguo za Wasanidi Programu wa Android. Ukiweka sera hii kuwa ndivyo, watumiaji hawataweza kufikia Chaguo za Wasanidi Programu. Ukiweka sera hii kuwa sivyo au uiache bila kuiweka, watumiaji wataweza kufikia Chaguo za Wasanidi Programu kwa kugonga mara saba kwenye nambari ya muundo katika programu ya mipangilio ya Android.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome OS itazima Bluetooth na mtumiaji hawezi kuiwasha tena.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isipowekwa, mtumiaji ataweza kuwasha au kuzima Bluetooth apendavyo.
Sera hii ikiwekwa, mtumiaji hawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Baada ya kuwasha Bluetooth, lazima mtumiaji aondoke kisha aingie katika akaunti ili mabadiliko yatekelezwe (hakuna haja ya kufanya hivi wakati wa kuzima Bluetooth).
Controls whether Google Chrome OS allows new user accounts to be created. If this policy is set to false, users that do not have an account already will not be able to login.
If this policy is set to true or not configured, new user accounts will be allowed to be created provided that DeviceUserWhitelist does not prevent the user from logging in.
This policy controls whether new users can be added to Google Chrome OS. It does not prevent users from signing in to additional Google accounts within Android. If you want to prevent this, configure the Android-specific accountTypesWithManagementDisabled policy as part of ArcPolicy.
Usimamizi wa IT kwa vifaa vya biashara unaweza kutumia alama hii kudhibiti iwapo itaruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo au kuachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, mtumiaji hataweza kukomboa matoleo.
Huzima masasisho ya kiotomatiki yanapowekwa kuwa Ndivyo.
Vifaa vya Google Chrome OS hutafuta masasisho kiotomatiki ikiwa mipangilio hii haijawekwa au kuwekwa kuwa Sivyo.
Onyo: Unashauriwa kuwasha kipengele cha masasisho ya kiotomatiki ili watumiaji wapokee masasisho ya programu na marekebisho muhimu. Kuzima kipengele cha masasisho ya kiotomatiki kunaweza kuhatarisha hali ya watumiaji.
Hubainisha iwapo p2p itatumika kwa sasisho za data ya OS. Kama imewekwa kuwa Kweli, vifaa vitashiriki na kujaribu kusasisha data kwenye LAN, hivyo kuna uwezekano wa kupunguza matumizi ya kipimo data cha intaneti na msongamano. Kama sasisho ya data haipo kwenye LAN, kifaa kitarudia kupakua kutoka kwenye seva ya sasisho. Kama imewekwa kuwa Uongo ama haijasanidiwa, p2p haitatumika.
Sera hii hudhibiti vipindi ambapo kifaa cha Google Chrome OS kinaruhusiwa kukagua masasisho kiotomatiki. Iwapo sera hii imewekwa kuwa orodha yenye vipindi fulani vya muda: Vifaa havitaweza kuangalia masasisho kiotomatiki katika kipindi kilichobainishwa. Vifaa ambavyo vinahitaji matoleo ya zamani au viko chini ya toleo la Google Chrome OS havitaathiriwa na sera hii kutokana na matatizo ya usalama yanayoweza kutokea. Zaidi ya hayo, sera hii haitazuia ukaguzi wa masasisho uliyoombwa na watumiaji au wasimamizi. Iwapo sera hii haijawekwa au haina kipindi chochote cha muda: Hamna ukaguzi wa masasisho ya kiotomatiki utakaozuiliwa na sera hii, lakini unaweza kuzuiliwa na sera zingine.
Zuia hali ya wasanidi programu.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ukweli, Google Chrome OS itazuia kifaa kuwaka katika hali ya wasanidi programu. Mfumo utakataa kuwaka na kuonyesha skrini ya hitilafu swichi ya wasanidi programu itakapowashwa.
Ikiwa sera haitawekwa au itawekwa kuwa Uongo, hali ya wasanidi programu itaendelea kupatikana kwa kifaa.
This policy controls Google Chrome OS developer mode only. If you want to prevent access to Android Developer Options, you need to set the DeveloperToolsDisabled policy.
Inathibitisha iwapo utumiaji wa data nje ya mtandao wako unapaswa kuwezeshwa kwa kifaa. Ikiwa itawekwa kuwa Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako unawezeshwa. Ikiwa hautasanidiwa au kuwekwa kuwa siyo Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako hautapatikana.
Inathibitisha iwapo Google Chrome OS inaweka data ya akaunti ya karibu baada ya kuondoka. Ikiwa imewekwa kwenye ndivyo, hakuna akaunti za kudumu zinazowekwa kwa Google Chrome OS na data yote kutoka kwenye kipindi cha mtumiaji itatupwa baada ya kuondoka. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa sivyo au haijasanidiwa, kifaa kinaweza kuweka data ya mtumiaji wa karibu (iliyosimbwa fiche).
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Ndivyo au haitasanidiwa, Google Chrome OS haitawezesha uingiaji wa mgeni. Uingiaji wa mgeni ni vipindi visivyojulikana vya mtumiaji na havihitaji nenosiri..
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Sivyo, Google Chrome OS haitaruhusu vipindi vya mgeni kuanzishwa.
Hubainisha jina la mpangishaji wa kifaa kinachotumika katika maombi ya DHCP.
Kama sera hii imewekwa kuwa mfuatano ulio na herufi au nambari yoyote, mfuatano huo utatumika kama jina la mpangishaji wa kifaa wakati wa ombi la DHCP.
Mfuatano huu unaweza kujumuisha vigezo ${ASSET_ID}, ${SERIAL_NUM}, ${MAC_ADDR}, ${MACHINE_NAME} ambavyo vinaweza kubadilishwa na thamani kwenye kifaa kabla ya kuvitumia kama jina la mpangishaji. Matokeo ya ubadilishaji sharti yawe na jina sahihi la mpangishaji (kulingana na RFC 1035, sehemu ya 3.1).
Kama sera hii haijawekwa au thamani ya baada ya ubadilishaji si jina sahihi la mpangishaji, jina la mpangishaji halitawekwa katika ombi la DHCP.
Huweka aina za usimbaji ambazo zinaruhusiwa wakati wa kuomba tiketi za Kerberos kutoka seva ya Microsoft® Active Directory®.
Kama sera imewekwa kuwa 'Zote', aina ya usimbaji wa AES 'aes256-cts-hmac-sha1-96' na' aes128-cts-hmac-sha1-96' na pia aina ya usimbaji wa RC4 wa 'rc4-hmac' zitaruhusiwa. Usimbaji wa AES hupendelewa zaidi ikiwa seva inatumia aina zote mbili za usimbaji. Kumbuka kuwa RC4 si salama na ni sharti seva iwekewe mipangilio upya ikiwezekana ili itumie usimbaji wa AES.
Kama sera imewekwa kuwa 'Thabiti' au haijawekwa, aina za usimbaji wa AES ndizo zitaruhusiwa.
Kama sera imewekwa kuwa 'Iliyopitwa na Wakati', aina ya usimbaji wa RC4 ndio unaruhusiwa pekee. Chaguo hili si salama na linahitajika katika hali maalum pekee.
Pia angalia https://wiki.samba.org/index.php/Samba_4.6_Features_added/changed#Kerberos_client_encryption_types.
Washa njia mkato ya kibodi ya usaidizi wa uingiaji otomatiki.
Iwapo sera hii haijawekwa au imewekwa kwenye Ruhusu na akaunti ya ndani ya kifaa imesanidiwa kwa kutochelewa wakati wa kuingia otomatiki, Google Chrome OS itaheshimu njia mkato ya kibodi ya Ctrl+Alt+S kwa kukwepa kuingia otomatiki na kuonyesha skrini ya kuingia.
Iwapo sera hii imewekwa kwenye Uongo, kuingia bila kuchelewa (iwapo kumesanidiwa) hakuwezi kukwepwa.
Ucheleweshaji wa kuingia kiotomatiki katika akaunti ya kifaa.
Ikiwa sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId| haijawekwa, sera hii haina athari yoyote. Vinginevyo:
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kiasi cha muda ambacho kinaweza kupita bila shughuli ya mtumiaji kabla kuingia kiotomatiki katika akaunti ya kifaa inayobainishwa na sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId|.
Ikiwa sera haitawekwa, muda utakwisha baada ya milisekunde 0.
Sera hii inabainishwa kwa milisekunde.
Kuingia kiotomatiki katika akaunti iliyo kwenye kifaa baada ya ucheleweshaji.
Ikiwa sera imewekwa, itaingia kiotomatiki kwenye akaunti katika kipindi kilichobainishwa baada ya kipindi cha muda kupita katika skrini ya kuingia bila mtumiaji kuchukua hatua yoyote. Mipangilio ya akaunti iliyo kwenye kifaa lazima iwe imewekwa tayari (angalia|DeviceLocalAccounts|).
Ikiwa sera hii haijawekwa, haitaingia katika akaunti kiotomatiki.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kipindi cha mgeni kinachodhibitiwa kitatumika kama ilivyowekwa katika https://support.google.com/chrome/a/answer/3017014 - "Kipindi cha Umma" cha kawaida.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isipowekwa, kipindi cha mgeni kinachodhibitiwa kitachukua sifa ya "Kipindi Kinachodhibitiwa" hali ambayo huondoa masharti mengi yanayowekwa katika "Vipindi vya Umma" vya kawaida.
Sera hii ikiwekwa, mtumiaji hawezi kuibadilisha wala kuibatilisha.
Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo na akaunti ya kifaa ya karibu isanidiwe kwa kuingia kiotomatiki pasipo kuchelewa na kifaa kiwe hakina ufikiaji kwa Intaneti, Google Chrome OS itaonyesha ombi la kusanidi mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, ujumbe wa hitilafu utaonyeshwa badala ya ombi la kusanidi mtandao.
Hubainisha akaunti za kifaa cha karibu nawe cha kuonyeshwa kwenye skrini ya kuingia.
Kila ingizo la orodha hubainisha kitambulishi, kinachotumiwa ndani kutambua akaunti tofauti za kifaa cha karibu nawe zilizo mbali.
Specifies a list of apps that are installed silently on the login screen, without user interaction, and which cannot be uninstalled. All permissions requested by the apps are granted implicitly, without user interaction, including any additional permissions requested by future versions of the app.
Note that, for security and privacy reasons, extensions are not allowed to be installed using this policy. Moreover, the devices on the Stable channel will only install the apps that belong to the whitelist bundled into Google Chrome. Any items that don't conform to these conditions will be ignored.
If an app that previously had been force-installed is removed from this list, it is automatically uninstalled by Google Chrome.
Each list item of the policy is a string that contains an extension ID and an "update" URL separated by a semicolon (;). The extension ID is the 32-letter string found e.g. on chrome://extensions when in developer mode. The "update" URL should point to an Update Manifest XML document as described at https://developer.chrome.com/extensions/autoupdate. Note that the "update" URL set in this policy is only used for the initial installation; subsequent updates of the extension employ the update URL indicated in the extension's manifest.
For example, gbchcmhmhahfdphkhkmpfmihenigjmpp;https://clients2.google.com/service/update2/crx installs the Chrome Remote Desktop app from the standard Chrome Web Store "update" URL. For more information about hosting extensions, see: https://developer.chrome.com/extensions/hosting.
Inakuruhusu kubainisha orodha ya michoro ya url inayobainsha tovuti ambazo cheti cha mteja kinachaguliwa kiotomatiki kwenye skrini ya kuingia katika akaunti katika fremu inayopangisha mtiririko wa SAML, tovuti ikiomba cheti. Mfano wa matumizi ni kusanidi cheti cha matumizi pana ya kifaa kitakachowasilishwa kwenye SAML IdP.
Thamani lazima iwe mfululizo wa mifuatano ya kamusi za JSON. Kila kamusi lazima iwe na muundo wa { "pattern": "$URL_PATTERN", "filter" : $FILTER }, ambapo $URL_PATTERN ni mfuatano wa mchoro wa mipangilio ya maudhui. $FILTER inadhibiti cheti cha mteja ambacho kivinjari kitachagua kiotomatiki. Haitumii kichujio, ni vyeti ambavyo vinalingana na ombi la cheti cha seva ndivyo vitakavyochaguliwa pekee. Kama $FILTER ina muundo wa { "ISSUER": { "CN": "$ISSUER_CN" } }, vyeti zaidi vya mteja pekee vinavyochaguliwa ndivyo vinapewa cheti chenye jina la kawaida la CommonName $ISSUER_CN. Kama $FILTER kina kamusi tupu{}, uteuzi wa vyeti vya mteja haudhibitiwi zaidi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, hakuna uteuzi kiotomatiki utakaofanyika kwa tovuti yoyote.
Sera hii ikiwekwa kuwa mfuatano mtupu au isipowekwa, Google Chrome OS haitaonyesha chaguo la kukamilisha kiotomatiki wakati wa mtiririko wa mtumiaji kuingia katika akaunti. Sera hii ikiwekwa kuwa mfuatano unaowakilisha jina la kikoa, Google Chrome OS itaonyesha chaguo la kukamilisha kiotomatiki wakati wa mtumiaji kuingia katika akaunti hivyo kumruhusu kuandika jina lake la mtumiaji pekee bila kiendelezi cha jina la kikoa. Mtumiaji ataweza kufuta jina la kiendelezi cha kikoa hiki.
Huweka mipangilio ya miundo ya kibodi inayoruhusiwa kwenye skrini ya kuingia katika kifaa cha Google Chrome OS.
Sera hii ikiweka kuwa orodha ya vitambulishi vya mbinu ya kuingiza data, mbinu husika za kuingiza data zitapatikana kwenye skrini ya kuingia katika kifaa. Mbinu ya kwanza ya kuingiza data itachaguliwa. Wakati podi ya mtumiaji inapolenga skrini ya kuingia katika kifaa, mbinu ya kuingiza data ya mtumiaji iliyotumiwa mara chache zaidi hivi majuzi itapatikana kando na mbinu za kuingiza data zilizotolewa na sera hiii. Sera hii isipowekwa, mbinu za kuingiza data zilizo kwenye skrini ya kuingia katika kifaa zitatolewa kwenye lugha ambayo imetumiwa kuonyesha skrini ya kuingia katika kifaa. Thamani ambazo si vitambulisho sahihi vya mbinu za kuingiza data zitapuuzwa.
Sera hii inatumika kwenye skrini unayotumia kuingia katika akaunti. Tafadhali angalia pia sera ya IsolateOrigins ambayo inatumiwa katika kipindi cha mtumiaji. Tunapendekeza uweke sera zote kuwa thamani sawa. Kama thamani hazilingani, ucheleweshaji huenda ukatokea wakati kipindi cha mtumiaji kinawekwa huku thamani inayobainishwa na sera ya mtumiaji ikitumika. Ikiwa sera imewashwa, kila chanzo ulichotaja katika orodha inayotenganishwa kwa koma kitatumia mchakato wake. Hii pia itatenga vyanzo vilivyotajwa kulingana na vikoa vidogo; kwa mfano, kubainisha https://example.com/ kutasababisha pia https://foo.example.com/ kutengwa kama sehemu ya tovuti ya https://example.com/. Ikiwa sera hii imezimwa, hakuna Utengaji kwa kila Tovuti utaokaotokea waziwazi na majaribio ya IsolateOrigins na SitePerProcess yatazimwa. Watumiaji bado wataweza kuwasha IsolateOrigins wenyewe. Ikiwa mipangilio ya sera haijawekwa, mipangilio chaguomsingi ya jukwaa la Utengaji wa Tovuti itatumika kama skrini ya kuingia kwenye akaunti.
Huweka mipangilio ya lugha ambayo inatekelezwa kwenye skrini ya kuingia katika kifaa ya Google Chrome OS.
Sera hii ikiwekwa, skrini ya kuingia katika kifaa itaonyeshwa kila mara kwa lugha iliyowekwa katika thamani ya kwanza (sera imebainishwa kuwa orodha ya uoanifu wa kusambaza). Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kwenye orodha tupu, skrini ya kuingia katika kifaa itaonyeshwa kwa lugha ya kipindi cha mtumiaji wa mwisho. Sura hii ikiwekwa kuwa thamani ambayo si lugha sahihi, skrini ya kuingia katika kifaa itaonyeshwa kwa lugha chaguomsingi (ambayo kwa sasa ni Kiingereza cha Marekani).
Sanidi usimamizi wa nishati kwenye skrini ya kuingia katika akaunti ya Google Chrome OS.
Sera hii hukuruhusu kusanidi jinsi Google Chrome OS hufanya kazi kunapokuwa hakuna shughuli ya mtumiaji kwa muda huku skrini ya kuingia katika akaunti ikiwa inaonyeshwa. Sera hii hudhibiti mipangilio mingi. Kwa vigezo maalum na mfululizo wa thamani, tazama sera zinazolingana ambazo hudhibiti usimamizi wa nishati wakati wa kipindi. Tofauti za pekee zilizoko kwenye sera hizi ni: * Vitendo vya kuchukua wakati haifanyi kitu au kifuniko kimefunikwa haviwezi kuwa kumaliza kipindi * Kitendo chaguomsingi cha kuchukua wakati kifaa hakifanyi kitu kinapoendeshwa kutumia nishati ya AC ni kuzima.
Kama mpangilio usipobainishwa, thamani chaguomsingi inatumika.
Sera hii ikiondolewa, chaguomsingi zitatumika kwa mipangilio yote.
Sera hii inatumika kwenye skrini unayotumia kuingia katika akaunti. Tafadhali angalia pia sera ya SitePerProcess ambayo inatumiwa katika kipindi cha mtumiaji. Tunapendekeza uweke sera zote ziwe thamani sawa. Kama thamani hazilingani, ucheleweshaji unaweza kutokea wakati wa kuweka kipindi cha mtumiaji huku thamani iliyobainshwa na sera ya mtumiaji ikitumika. Angalia mipangilio ya sera ya IsolateOrigins ili upate sehemu bora kati ya hizi mbili, utengaji na athari chache kwa watumiaji, kwa kutumia IsolateOrigins katika orodha ya tovuti ambazo ungependa kutenga. Mipangilio hii, SitePerProcess, hutenga tovuti zote. Ikiwa sera imewashwa, kila tovuti itatumia mchakato wake. Ikiwa sera imezimwa, hakuna Utengaji kwa kila Tovuti uliobainishwa wazi utakaotokea na majaribio ya sehemu za IsolateOrigins na SitePerProcess yatazimwa. Watumaji bado wataweza kuwasha SitePerProcess wenyewe. Ikiwa mipangilio ya sera haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii.
Hubainisha muda (katika siku) ambayo mteja huchukua ili kubadilisha nenosiri la akaunti ya mashine. Nenosiri huzalishwa bila mpangilio wowote na mteja na halionekani kwa mtumiaji.
Kama ilivyo katika manenosiri ya mtumiaji, ni sharti manenosiri ya mashine yabadilishwe mara kwa mara. Kuzima sera hii au kuweka idadi nyingi ya siku kunaweza kuwa na athari mbaya kwa usalama kwa sababu hali hii huwapa wavamizi wa akaunti muda zaidi wa kupata na kutumia nenosiri la akaunti ya mashine.
Ikiwa sera hii haijawekwa, nenosiri la akaunti ya mashine litabadilishwa baada ya kila siku 30.
Kama sera hii imewekwa kuwa 0, kipengele cha kubadilisha nenosiri la akaunti ya mashine itazimwa.
Kumbuka kwamba manenosiri huenda yakawa ya zamani zaidi kuliko siku zilizobainishwa ikiwa mteja amekuwa nje ya mtandao kwa muda mrefu zaidi.
Hubainisha ikiwa vipimo vya matumizi na data ya uchunguzi pamoja na ripoti za kuacha kufanya kazi, zitaripotiwa kwa Google.
Ukiweka kuwa ndivyo, Google Chrome OS itaripoti vipimo vya matumizi na data ya uchunguzi.
Ukiweka kuwa sivyo, kipengele cha kuripoti data ya vipimo na uchunguzi kitazimwa.
Kama hujaweka mipangilio ya sera hii, kipengele cha kuripoti vipimo na data ya uchunguzi kitazimwa kwenye vifaa visivyodhibitiwa na kuwashwa kwenye vifaa vinavyodhibitiwa.
Sera hii pia inadhibiti matumizi ya Android na ukusanyaji data ya utatuzi.
Hutoa mipangilio ya printa za biashara zilizooanishwa kwenye vifaa.
Sera hii hukuruhusu kuweka mipangilio ya printa kwenye vifaa vya Google Chrome OS. Muundo huu ni sawa na ule wa kamusi ya NativePrinters, unaohitaji sehemu ya ziada ya "kitambulisho" au "mwongozo" kwa kila printa kwa ajili ya kutoa idhini au kunyima idhini.
Ukubwa wa faili haupaswi kuzidi MB 5 na ni lazima iwe imesimbwa katika JSON. Inakadiriwa kuwa faili iliyo na takribani printa 21,000 itasimbwa kuwa faili ya MB 5. Hashi ya kriptografia itatumika kuthibitisha hadhi ya upakuaji.
Faili hupakuliwa na kuwekwa katika akiba. Itapakuliwa tena wakati hashi au URL itabadilishwa.
Ikiwa sera imewekwa, Google Chrome OS itapakua faili kwa ajili ya mipangilio ya printa na kufanya printa zipatikane kulingana na sera za DeviceNativePrintersAccessMode, DeviceNativePrintersWhitelist na DeviceNativePrintersBlacklist.
Sera hii haina athari yoyote iwapo watumiaji wanaweka mipangilio ya printa kwenye vifaa mahususi. Imewekwa iwe mbinu ya ziada ya kuweka mipangilio ya printa inayotumiwa na watumiaji mahususi. Sera hii ni nyongeza ya NativePrintersBulkConfiguration.
Ikiwa sera hii haijawekwa, hakutakuwa na printa za vifaa na sera zingine DeviceNativePrinter* hazitafuatwa.
Hudhibiti aina za printa kutoka DeviceNativePrinters zinazopatikana kwa watumiaji.
Hubainisha sera ya ufikiaji inayotumiwa katika mipangilio ya kina ya printa. Kama AllowAll imechaguliwa, printa zote zitaonyeshwa. Kama BlacklistRestriction imechaguliwa, DeviceNativePrintersBlacklist itatumika kudhibiti uwezo wa kufikia printa zilizobainishwa. Ikiwa WhitelistPrintersOnly imechaguliwa, DeviceNativePrintersWhitelist itabainisha tu printa ambazo zinaweza kuchaguliwa.
Ikiwa sera haijawekwa, AllowAll itaendelea kutumika.
Hubainisha printa ambazo mtumiaji hawezi kutumia.
Sera hii hutumika tu ikiwa mipangilio ya BlacklistRestriction imechaguliwa katika DeviceNativePrintersAccessMode.
Ikiwa sera hii inatumiwa, printa zote hutolewa kwa mtumiaji isipokuwa vitambulisho vilivyoorodheshwa katika sera hii. Ni lazima vitambulisho vilingane na sehemu za "kitambulisho" au "mwongozo" kwenye faili iliyobainishwa katika DeviceNativePrinters.
Hubainisha printa ambazo mtumiaji anaweza kutumia.
Sera hii hutumika tu ikiwa mipangilio ya WhitelistPrintersOnly imechaguliwa katika DeviceNativePrintersAccessMode
Ikiwa sera hii inatumiwa, printa zenye vitambulisho vinavyolingana na thamani iliyo katika sera ndizo pekee zitakazopatikana kwa watumiaji. Ni lazima vitambulisho vilingane na sehemu za "kitambulisho" au "mwongozo" kwenye faili iliyobainishwa katika DeviceNativePrinters.
Ikiwa sera ya "OffHours" imewekwa, basi sera za kifaa zilizobainishwa hazitatumika (tumia mipangilio chaguomsingi ya sera hizi) katika vipindi vilivyotajwa. Sera za kifaa huwekwa tena na Chrome kwa kila tukio wakati kipindi cha "OffHours" kinaanza au kukamilika. Watumiaji wataarifiwa na kulazimishwa kuondoka katika akaunti wakati muda wa "OffHours" unakamilika na mipangilio ya kifaa inabadilishwa (kwa mfano, wakati mtumiaji ameingia katika akaunti akitumia akaunti ambayo hairuhusiwi).
Inaruhusu kusukuma usanidi wa mtandao ili kutumika kwa watumiaji wote wa kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo wa JSON ulioumbizwa kama ilivyofafanuliwa na umbizo la Usanidi Huru wa Mtandao ulioelezwa kwenye https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Programu za Android zinaweza kutumia usanidi wa mtandao na vyeti vya CA vilivyowekwa kupitia sera hii, lakini hazina idhini ya kufikia chaguo za kuweka mipangilio.
Hubainisha muda kwa kipimo cha milisekunde ambacho huduma ya kudhibiti kifaa ambao huulizwa maelezo ya sera ya kifaa.
Kuweka sera hii kutafuta thamani chaguomsingi ya saa 3. Thamani sahihi za sera hii ziko kuanzia 1800000 (dakika 30) hadi 86400000 (siku 1). Thamani zozote ambazo haziko katika masafa haya zitawekwa katika mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome OS itumie thamani chaguomsingi ya saa 3.
Kumbuka kwamba ikiwa mfumo unatumia arifa za sera, ucheleweshwaji wa kuonyesha upya utawekwa kuwa saa 24 (ukipuuza chaguomsingi zote na thamani ya sera hii) kwa sababu inatarajiwa kwamba arifa za sera zitalazimisha kuonyesha upya kiotomatiki wakati wowote ambao sera itabadilika, hivyo kuondoa haja ya kuonyesha upya mara kwa mara.
The Quirks Server provides hardware-specific configuration files, like ICC display profiles to adjust monitor calibration.
When this policy is set to false, the device will not attempt to contact the Quirks Server to download configuration files.
If this policy is true or not configured then Google Chrome OS will automatically contact the Quirks Server and download configuration files, if available, and store them on the device. Such files might, for example, be used to improve display quality of attached monitors.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isisanidiwe, Google Chrome OS itamruhusu mtumiaji kuzima kifaa. Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itaanzisha kuwasha tena mtumiaji anapozima kifaa. Google Chrome OS huchukua nafasi ya matukio yote ya vitufe vya kuzima katika kiolesura kwa kutumia vitufe vya kuzima. Mtumiaji akizima kifaa akitumia kitufe cha kuwasha/kuzima, hakitawasha tena kiotomatiki, hata kama sera imewashwa.
Hubainisha idadi ya chini zaidi ya matukio ya urejesheji wa Google Chrome OS ambayo yanapaswa kuruhusiwa kuanzia kwenye toleo thabiti wakati wowote.
Thamani chaguomsingi ya mteja huwa ni 0 na 4 (kwa takribani nusu ya mwaka) kwa vifaa vilivyojumuishwa katika biashara.
Kuweka sera hiii kunazuia ulinzi wa urejeshaji wa toleo kutumika katika angalau idadi hii ya matukio.
Kuweka sera hii katika thamani ya chini kuna athari ya kudumu kabisa: HUENDA kifaa hakitaweza kutumia tena matoleo ya awali hata baada ya sera kuwekwa upya katika thamani kubwa.
Uwezekano wa urejeshaji halisi huenda ukategemea marekebisho yenye athari kubwa na bodi.
Hubainisha ikiwa kifaa kitarejeshwa kwenye toleo lililowekwa na DeviceTargetVersionPrefix ikiwa tayari kinatumia toleo la sasa.
Chaguomsingi ni RollbackDisabled
Hubainisha jinsi maunzi salama unayotumia yanaweza kutoa uthibitishaji wa hatua mbili ikiwa yanaweza kukitumia kipengele hiki. Kitufe cha kuwasha/kuzima mashine kinatumika kutambua kuwepo kwa mtumiaji mwenyewe.
Ukichagua 'Imezimwa', hamna uthibitishaji wa hatua mbili utakaotolewa.
Ukichagua 'U2F', uthibitishaji wa hatua mbili uliowekwa utafanya kazi kulingana na kibainishi cha FIDO U2F.
Ukichagua 'U2F_EXTENDED', uthibitishaji wa hatua mbili uliowekwa utatoa utendakazi wa U2F pamoja na baadhi ya viendelezi vya uthibitishaji wa mtu binafsi.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au mipangilio isipowekwa, Google Chrome OS itaonyesha watumiaji waliopo kwenye skrini ya kuingia katika akaunti na kukuruhusu uteue mmoja.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome OS haitaonyesha watumiaji waliopo kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Skrini ya kawaida ya kuingia katika akaunti (inayomdokezea mtumiaji kuweka anwani yake ya barua pepe na nenosiri au simu) au skrini ya ukurasa wenye maelezo yanayomwelekeza mtumiaji kuendelea na uthibitishaji kupitia SAML (kama imewashwa kupitia sera ya LoginAuthenticationBehavior) itaonyeshwa, isipokuwa katika hali ambapo mipangilio ya Kipindi Kilichodhibitiwa imewashwa. Wakati mipangllio ya Kipindi kilichodhibitiwa imewekwa, ni akaunti za kipindi kilichodhibitiwa pekee zitakazoonyeshwa, hali inayokuruhusu kuteua moja. Kumbuka kwamba sera hii haizingatii ikiwa kifaa kinahifadhi au kuondoa data ya ndani ya mtumiaji.
Inawezesha toleo lengwa kupokea Masasisho ya Kiotomatiki.
Inabainisha kiambishi awali ambako toleo lengwa la Google Chrome OS linafaa kusasishwa. Ikiwa kifaa kinatumia toleo ambalo ni la kabla ya kiambishi awali kilichobainishwa, kitajisasisha kuwa toleo la sasa lenye kiambishi awali husika. Ikiwa kifaa tayari kipo katika toleo la sasa, athari zinategemea thamani ya DeviceRollbackToTargetVersion. Muundo wa kiambishi awali unafanya kazi kama kijenzi jinsi inavyoonyeshwa katika mifano ifuatayo:
"" (au haijawekwa): sasisha iwe toleo la sasa linalopatikana. "1412.": sasisha iwe toleo lolote dogo la 1412 (kwa mfano. 1412.24.34 au 1412.60.2) "1412.2.": sasisha iwe toleo lolote dogo la 1412.2 (kwa mfano 1412.2.34 au 1412.2.2) "1412.24.34": sasisha iwe toleo hili maalum pekee.
Ilani: Hatupendekezi uweke vikwazo vya toleo kwa kuwa huenda vikazuia watumiaji kupokea masasisho ya programu na kurekebisha hitilafu muhimu za usalama. Huenda hatua ya kudhibiti masasisho katika toleo la kiambishi maalum ikawasababishia watumiaji hatari.
Hubainisha iwapo vidakuzi vya kuthibitisha vilivyowekwa na SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti vinapaswa kuhamishiwa kwenye wasifu wa mtumiaji.
Mtumiaji anapothibitisha kupitia SAML IdP anapoingia katika akaunti, vidakuzi vilivyowekwa na IdP kwanza huandikwa kwenye wasifu wa muda mfupi. Vidakuzi hivi vinaweza kuhamishiwa kwenye wasifu wa mtumiaji ili kuendelea na hali ya uthibitishaji.
Sera ikiwekwa kuwa ndivyo, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huhamishiwa kwenye wasifu wa mtumiajia kila vinapothibitisha dhidi ya SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huhamishiwa kwenye wasifu wa mtumiaji anapoingia katika kifaa kwa mara ya kwanza pekee.
Sera hii inaathiri watumiaji ambao vikoa vyao vinalingana na kikoa cha usajili wa kifaa pekee. Kwa watumiaji wengine wote, vidakuzi vinavyowekwa na IdP huhamishiwa kwenye wasifu wa mtumiaji anapoingia kwa mara ya kwanza kwenye kifaa chake pekee.
Vidakuzi vilivyohamishiwa kwenye wasifu wa mtumiaji haviwezi kufikiwa na programu za Android.
Ikiwa sera imewekwa kuwa sivyo, watumiaji wasiohusishwa hawataruhusiwa kutumia Crostini.
Ikiwa sera hii haijawekwa au imewekwa kuwa ndivyo, watumiaji wote wanaruhusiwa kutumia Crostini kama mipangilio mingine pia inairuhusu. Sera zote tatu, VirtualMachinesAllowed, CrostiniAllowed, na DeviceUnaffiliatedCrostiniAllowed zinahitaji kuwekwa kuwa ndivyo wakati zinaomba Crostini iruhusiwe kutumika. Sera hii ikibadilishwa kuwa sivyo, inatumika kwa metadata mpya inayoanza ya Crostini lakini haizimi metadata ambayo tayari inatumika.
Aina za miunganisho zinazoruhusiwa kutumia sasisho za Mfumo wa Uendeshaji. Sasisho za Mfumo wa Uendeshaji zinaweza kuweka vichujo vizito kwenye muunganisho kwa sababu ya ukubwa wavyo na huenda vikasababisha gharama ya ziada. Kwa hivyo, haviwashwi kwa chaguomsingi kwa aina za miunganisho zinazoonekana kuwa ghali, zinazojumuisha WiMax, Bluetooth na Simu ya Mkononi kwa wakati huu.
Vitambulisho vinavyotambuliwa vya aina vya muunganisho ni "ethaneti", "wifi", "wimax", "bluetooth" na "simu ya mkononi".
Sasisho za data kiotomatiki kwenye Google Chrome OS zinaweza kupakuliwa kupitia HTTP badala ya HTTPS. Hii huruhusu uakibishaji wa HTTP wazi wa vipakuliwa vya HTTP.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itajaribu kupakua sasisho za data kiotomatiki kupitia HTTP. Sera ikiwekwa kuwa sivyo ama isiwekwe, HTTPS itatumika kupakua sasisho za data kiotomatiki.
Inabainisha idadi ya sekunde ambazo kifaa kinaweza kuamua kuchelewesha upakuaji wake wa sasisho kutoka wakati ambapo usasishaji ulisukumwa kwanza nje katika seva. Kifaa kinaweza kusubiri kijisehemu cha muda huu kwa hali ya muda wa saa na kijisehemu kinachosalia katika hali ya idadi ya ukaguzi wa visasisho. Katika hali yoyote, utawanyishaji umekitwa katika kiwango cha kudumu cha muda ili kifaa kisikwame tena kikisubiri kupakua sasisho kwa muda mrefu.
Sera hii hufafanua orodha ya asilimia ambazo zitabaini sehemu ya vifaa vya Google Chrome OS katika OU vitakavyosasishwa kila siku kuanzia siku ambapo sasisho limegunduliwa. Wakati wa kugundua ni wa baadaye ikilinganishwa na wakati ambao sasisho limechapishwa, kwa kuwa inaweza kuwa muda mfupi uliopita baada ya kuchapisha sasisho hadi wakati kifaa kitakapokagua masasisho.
Kila jozi (siku, asilimia) linajumuisha kiasi cha asilimia ya kikundi ambacho kimesasishwa kufikia idadi fulani ya siku kuanzia wakati sasisho limegunduliwa. Kwa mfano, iwapo tuna majozi ya [(4, 40), (10, 70), (15, 100)], inaamanisha kuwa 40% ya kundi inapaswa kuwa imesasishwa siku 4 baada ya kuona sasisho. 70% inapaswa kusasishwa baada ya siku 10 na kadhalika.
Iwapo kuna thamani inayobainishwa katika sera hii, masasisho hayatazingatia sera ya DeviceUpdateScatterFactor na yatafuata sera hii badala yake.
Iwapo orodha hii haina maudhui, mchakato hautaanzishwa na masasisho yatatumika kulingana na sera za vifaa vingine.
Sera hii haitumiki katika swichi za vituo.
Hubainisha uwezekano na utaratibu wa kuchakata sera ya mtumiaji kutoka kompyuta ya GPO.
Kama sera imewekwa kuwa 'Chaguomsingi' au kama haijawekwa, sera ya mtumiaji inasomwa tu kutoka GPO ya mtumiaji (GPO za kompyuta hazizingatiwi).
Kama sera imewekwa kuwa 'Unganisha', sera ya mtumiaji katika GPO za mtumiaji zitaunganishwa na sera ya mtumiaji katika GPO za kompyuta (GPO za kompyuta hupendelewa).
Kama sera imewekwa kuwa 'Badilisha', sera ya mtumiaji katika GPO za mtumiaji inabadilishwa na sera ya mtumiaji katika GPO za kompyuta (GPO za mtumiaji hazizingatiwi).
Defines the list of users that are allowed to login to the device. Entries are of the form user@domain, such as madmax@managedchrome.com. To allow arbitrary users on a domain, use entries of the form *@domain.
If this policy is not configured, there are no restrictions on which users are allowed to sign in. Note that creating new users still requires the DeviceAllowNewUsers policy to be configured appropriately.
This policy controls who may start a Google Chrome OS session. It does not prevent users from signing in to additional Google accounts within Android. If you want to prevent this, configure the Android-specific accountTypesWithManagementDisabled policy as part of ArcPolicy.
Weka mipangilio ya picha ya mandhari ya kiwango cha kifaa ambayo inaonyeshwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti ikiwa hakuna mtumiaji aliyeingia katika kifaa. Sera inawekwa kwa kubainisha URL ambayo kifaa cha Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome kinaweza kupakua picha ya mandhari na hash ya kriptografia inayotumiwa kuthibitisha kwamba kipakuliwa hakina virusi. Lazima picha iwe ya aina ya faili ya JPEG, ukubwa wake usizidi MB 16. Lazima URL ifikiwe bila uthibitishaji wowote. Picha ya mandhari hupakuliwa na kuakibishwa. Itapakuliwa tena wakati URL au hash inabadilika.
Sera inapaswa kubainishwa kama mfuatano unaoeleza URL na hash katika aina ya faili ya JSON, kwa mfano, { "url": "https://example.com/device_wallpaper.jpg", "hash": "examplewallpaperhash" }
Ikiwa sera ya mandhari ya kifaa itawekwa, kifaa cha Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome kitapakua na kutumia picha ya mandhari kwenye skrini ya kuingia katika akaunti ikiwa hakuna mtumiaji ambaye ameingia katika kifaa. Pindi tu mtumiaji anapoingia katika akaunti, sera ya mandhari ya mtumiaji itaanza kutumika.
Ikiwa sera ya mandhari ya kifaa itaachwa bila kuwekwa, ni sera ya mandhari ya mtumiaji itakayoamua kitu cha kuonyesha ikiwa sera ya mandhari ya mtumiaji itawekwa.
Enabling this setting prevents web pages from accessing the graphics processing unit (GPU). Specifically, web pages can not access the WebGL API and plugins can not use the Pepper 3D API.
Disabling this setting or leaving it not set potentially allows web pages to use the WebGL API and plugins to use the Pepper 3D API. The default settings of the browser may still require command line arguments to be passed in order to use these APIs.
If HardwareAccelerationModeEnabled is set to false, Disable3DAPIs is ignored and it is equivalent to Disable3DAPIs being set to true.
Onyesha mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha.
Mpangilio huu unapowashwa, Google Chrome itafungua mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha wa kijenzi cha ndani mtumiaji anapoomba ukurasa kuchapishwa.
Iwapo sera hii haitawekwamu itawekwa kuwa uongo, amri za kuchapisha zitachochea skrini ya ukakiki ya kuchapisha.
Huduma ya Kuvinjari Salama huonyesha ukurasa wenye onyo wakati watumiaji wanavinjari tovuti ambazo zimeripotiwa kuwa zinaweza kuwa hasidi. Kuwasha mipangilio hii kunawazuia watumiaji wasifikie tovuti hasidi baada ya kuona ukurasa wenye onyo.
Ikiwa mipangilio hii itazimwa au haitawekwa basi watumiaji wataweza kuchagua kuenda kwenye tovuti iliyoripotiwa baada ya kuonyeshwa onyo.
Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari Salama.
If enabled, screenshots cannot be taken using keyboard shortcuts or extension APIs.
If disabled or not specified, taking screenshots is allowed.
This policy is deprecated. Please use the DefaultPluginsSetting to control the avalability of the Flash plugin and AlwaysOpenPdfExternally to control whether the integrated PDF viewer should be used for opening PDF files.
Specifies a list of plugins that are disabled in Google Chrome and prevents users from changing this setting.
The wildcard characters '*' and '?' can be used to match sequences of arbitrary characters. '*' matches an arbitrary number of characters while '?' specifies an optional single character, i.e. matches zero or one characters. The escape character is '\', so to match actual '*', '?', or '\' characters, you can put a '\' in front of them.
If you enable this setting, the specified list of plugins is never used in Google Chrome. The plugins are marked as disabled in 'about:plugins' and users cannot enable them.
Note that this policy can be overridden by EnabledPlugins and DisabledPluginsExceptions.
If this policy is left not set the user can use any plugin installed on the system except for hard-coded incompatible, outdated or dangerous plugins.
This policy is deprecated. Please use the DefaultPluginsSetting to control the avalability of the Flash plugin and AlwaysOpenPdfExternally to control whether the integrated PDF viewer should be used for opening PDF files.
Specifies a list of plugins that user can enable or disable in Google Chrome.
The wildcard characters '*' and '?' can be used to match sequences of arbitrary characters. '*' matches an arbitrary number of characters while '?' specifies an optional single character, i.e. matches zero or one characters. The escape character is '\', so to match actual '*', '?', or '\' characters, you can put a '\' in front of them.
If you enable this setting, the specified list of plugins can be used in Google Chrome. Users can enable or disable them in 'about:plugins', even if the plugin also matches a pattern in DisabledPlugins. Users can also enable and disable plugins that don't match any patterns in DisabledPlugins, DisabledPluginsExceptions and EnabledPlugins.
This policy is meant to allow for strict plugin blacklisting where the 'DisabledPlugins' list contains wildcarded entries like disable all plugins '*' or disable all Java plugins '*Java*' but the administrator wishes to enable some particular version like 'IcedTea Java 2.3'. This particular versions can be specified in this policy.
Note that both the plugin name and the plugin's group name have to be exempted. Each plugin group is shown in a separate section in about:plugins; each section may have one or more plugins. For example, the "Shockwave Flash" plugin belongs to the "Adobe Flash Player" group, and both names have to have a match in the exceptions list if that plugin is to be exempted from the blacklist.
If this policy is left not set any plugin that matches the patterns in the 'DisabledPlugins' will be locked disabled and the user won't be able to enable them.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, tafadhali tumia URL Zilizoondolewa Idhini badala yake. Huzima itifaki za miradi iliyoorodheshwa katika Google Chrome . URL zinazotumia miradi kutoka orodha hii hazitapakia na haziwezi kutembelewa. Iwapo sera hii haitawekwa au orodha ni tupu miradi yote itapatikana katika Google Chrome .
Huweka mipangilio ya saraka ambayo Google Chrome itatumia kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha ripoti ya '--disk-cache-dir' au la. Ili kuepuka kupoteza data au hitilafu zisizotarajiwa, sera hii haipaswi kuwekwa kuwa thamani ya kipeo cha saraka au kwenye saraka iliyotumiwa kwa madhumuni mengine, kwa sababu Google Chrome hudhibiti maudhui yake.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables upate orodha ya aina zinazoweza kutumiwa.
Sera hii isipowekwa saraka ya akiba chaguomsingi itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibatilisha kwa amri ya ripoti ya mstari ya '--disk-cache-dir'.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- ukubwa wa-diski ya-kuakibisha' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguomsingi wa akiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguomsingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya - ukubwa wa-diski ya-akiba.
Sera hii ikiwekwa, kila onyesho litazungushwa hadi mkao uliobainishwa kila inapowashwa tena, na mara ya kwanza inapounganishwa baada ya thamani ya sera kubadilika. Watumiaji wanaweza kubadilisha mzunguko wa onyesho kupitia ukurasa wa mipangilio baada ya kuingia katika akaunti, lakini mipangilio yake itabatilishwa na thamani za sera itakapowashwa tena.
Sera hii inatumika kwenye maonyesho ya msingi na ya pili yote.
Sera hii isipowekwa, thamani chaguomsingi ni digrii 0 na mtumiaji yuko huru kuibadilisha. Kwa hivyo, thamani chaguomsingi haitumiwi tena wakati wa kuzima na kuwasha.
Hupangilia saraka ambayo Google Chrome itatumia kwa kupakua faili.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali iwapo mtumiaji amebainisha moja au amewasha alamisho ya kuchochewa kwa eneo la upakuaji kila wakati.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables kwa orodha ya vigezo ambavyo vinaweza kutumiwa.
Ikiwa sera hii itasalia bila kuwekwa saraka chaguomsingi ya upakuaji itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Sera hii haiathiri programu za Android. Programu za Android hutumia saraka chaguomsingi ya vipakuliwa wakati wote na haziwezi kufikia faili zozote zilizopakuliwa na Google Chrome OS katika saraka ya vipakuliwa ambayo si chaguomsingi.
Huweka mipangilio ya aina ya vipakuliwa ambavyo Google Chrome itazuia kabisa, bila kuwaruhusu watumiajai kubatilisha uamuzi huo wa usalama.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itazuia aina fulani ya vipakuliwa na haitamruhusu mtumiaji kukwepa onyo za usalama.
Chaguo la 'Zuia vipakuliwa hatari' linapoteuliwa, vipakuliwa vyote vinakubaliwa isipokuwa vile vilivyo na onyo la Kuvinjari Salama.
Chaguo la 'Zuia vipakuliwa ambavyo huenda ni hatari' linapoteuliwa, vipakuliwa vyote vinakubaliwa isipokuwa vile vilivyo na onyo la Kuvinjari Salama kwa vipakuliwa ambavyo huenda si Salama.
Chaguo la 'Zuia vipakuliwa vyote' linapoteuliwa, vipakuliwa vyote vitazuiwa.
Sera hii isipowekwa, (au chaguo la 'Hakuna vizuizi maalum' linapoteuliwa), vipakuliwa vitapitia vizuizi vya kawaida vya usalama kulingana na matokeo ya uchanganuzi wa Kuvinjari Salama.
Kumbuka kuwa vizuizi hivi hutumika kwa vipakuliwa vinavyosababishwa na maudhui kwenye ukurasa wa tovuti pamoja na chaguo la menyu ya 'pakua kiungo...'. Vizuizi hivi havitumiki kwenye vipengele vya kuhifadhi au kupakua vya ukurasa unaoonekana sasa, wala havitumiki kwa kuhifadhi faili katika muundo wa PDF kwenye chaguo za kuchapisha. Angalia https://developers.google.com/safe-browsing ili upate maelezo zaidi kuhusu Kuvinjari salama.
If you enable this setting, users will be allowed to use Smart Lock if the requirements for the feature are satisfied.
If you disable this setting, users will not be allowed to use Smart Lock.
If this policy is left not set, the default is not allowed for enterprise-managed users and allowed for non-managed users.
Specifies the action that should be taken when the user's home directory was created with ecryptfs encryption and needs to transition to ext4 encryption.
If you set this policy to 'DisallowArc', Android apps will be disabled for the user and no migration from ecryptfs to ext4 encryption will be performed. Android apps will not be prevented from running when the home directory is already ext4-encrypted.
If you set this policy to 'Migrate', ecryptfs-encrypted home directories will be automatically migrated to ext4 encryption on sign-in without asking for user consent.
If you set this policy to 'Wipe', ecryptfs-encrypted home directories will be deleted on sign-in and new ext4-encrypted home directories will be created instead. Warning: This removes the user's local data.
If you set this policy to 'AskUser', users with ecryptfs-encrypted home directories will be offered to migrate.
This policy does not apply to kiosk users. If this policy is left not set, the device will behave as if 'DisallowArc' was chosen.
If you enable this setting, bookmarks can be added, removed or modified. This is the default also when this policy is not set.
If you disable this setting, bookmarks can not be added, removed or modified. Existing bookmarks are still available.
Bainisha orodha ya vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti ili kuwasha tena kwa muda.
Sera hii inawapa wasimamizi uwezo wa kuwasha tena vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti kwa muda mfupi. Vipengele vinatambuliwa kwa lebo ya mfuatano na vipengele vinavyolingana na lebo vilivyojumuishwa katika orodha iliyobainishwa na sera hii vitawashwa tena.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, au orodha ikiwa tupu au hailingani na mojawapo ya lebo za mifuatano, vipengele vyote vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti vitasalia vikiwa vimezimwa.
Ingawa sera yenyewe inaweza kutumiwa kwenye mbinu zilizo hapo juu, kipengele inachokiwasha kinaweza kupatikana kwenye mbinu chache. Si vipengele vyote vilivyoacha kuendesha huduma vya Mbinu ya Wavuti vinaweza kuwashwa tena. Vilivyoorodheshwa hapa chini pekee ndivyo vinavyoweza kuwashwa tena kwa muda mfupi, muda huo ni tofauti kwa kila kipengele. Muundo wa jumla wa lebo ya mfuatano utakuwa [DeprecatedFeatureName]_EffectiveUntil[yyyymmdd]. Kama rejeleo, unaweza kupata lengo la yaliyochangia mabadiliko ya kipengele cha Mbinu ya Wavuti https://bit.ly/blinkintents.
Kutokana na sababu kwamba ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni unaoshindwa chinichini hautoi usalama bora unaofanya kazi, unazimwa kwa chaguomsingi katika toleo la 19 la Google Chrome na matoleo mapya zaidi. Kwa kuweka sera hii kuwa ndivyo, tabia ya awali inarejeshwa na ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL utatekelezwa.
Ikiwa sera hii haitawekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome haitatekeleza ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni katika Google Chrome 19 na matoleo mapya zaidi.
Mipangilio hii ikiwashwa, Google Chrome huruhusu vyeti vya sahihi ya SHA-1 muradi tu vinathibitisha kikamilifu na kuunganisha kwenye vyeti vya CA vilivyosakinishwa ndani.
Kumbuka kwamba sera hii inategemea bunda la kuthibitisha cheti cha mfumo wa uendeshaji kuruhusu sahihi za SHA-1. Ikiwa sasisho la Mfumo wa Uendeshaji litabadilisha Mfumo wa Uendeshaji unaoshughulikia vyeti vya SHA-1, sera hii haitakuwa na athari tena. Aidha, sera hii inanuiwa kutumiwa kama njia ya muda ya kuzipa biashara muda zaidi wa kuhama SHA-1. Sera hii itaondolewa mnamo au kufikia tarehe 1 Januari 2019.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome itafuata ratiba iliyotangazwa hadharani ya SHA-1 kuacha kuendesha huduma.
Wakati mipangilio hii imewashwa, Google Chrome inaruhusu vyeti vilivyotolewa na huduma ya PKI ya Zamani ya Shirika la Symantec viaminike, ikiwa vitathibitisha na kuunganisha kwenye cheti cha CA kinachotambulika.
Kumbuka kuwa sera hii inategemea mfumo wa uendeshaji ambao bado unatambua vyeti kutoka mfumo wa zamani wa Symantec. Ikiwa sasisho la Mfumo wa Uendeshaji linabadilisha utunzaji wa Mfumo wa Uendeshaji wa vyeti kama hivyo, Sera hii haitatumika. Pia, sera hii inakusudiwa kuwa njia ya muda ya kuipa biashara wakati wa kutosha kuondoka kwenye vyeti vya mfumo wa zamani wa Symantec. Sera hii itaondolewa mnamo au karibu na tarehe 1 Januari 2019.
Ikiwa sera hii haijawekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, inamaanisha kuwa Google Chrome itafuata ratiba ya umma ya kuacha kuendesha huduma iliyotangazwa.
Angalia https://g.co/chrome/symantecpkicerts ili upate maelezo kuhusu kuacha kuendesha huduma.
Sera hii inadhibiti ikiwa Idhini ya Kusawazisha inaweza kuonyeshwa kwa mtumiaji anapoingia katika akaunti kwa mara ya kwanza. Inapaswa kuwekwa kuwa sivyo ikiwa Idhini ya Kusawazisha haitahitajika kwa mtumiaji. Ikiwa imewekwa kuwa sivyo, Idhini ya Kusawazisha haitaonekana. Ikiwa imewekwa kuwa ndivyo au haijawekwa, Idhini ya Kusawazisha inaweza kuonyeshwa.
This policy is deprecated. Please use the DefaultPluginsSetting to control the avalability of the Flash plugin and AlwaysOpenPdfExternally to control whether the integrated PDF viewer should be used for opening PDF files.
Specifies a list of plugins that are enabled in Google Chrome and prevents users from changing this setting.
The wildcard characters '*' and '?' can be used to match sequences of arbitrary characters. '*' matches an arbitrary number of characters while '?' specifies an optional single character, i.e. matches zero or one characters. The escape character is '\', so to match actual '*', '?', or '\' characters, you can put a '\' in front of them.
The specified list of plugins is always used in Google Chrome if they are installed. The plugins are marked as enabled in 'about:plugins' and users cannot disable them.
Note that this policy overrides both DisabledPlugins and DisabledPluginsExceptions.
If this policy is left not set the user can disable any plugin installed on the system.
Sera hii ikiruhusiwa, viendelezi vilivyosakinishwa kupitia sera ya biashara huruhusiwa kutumia Enterprise Hardware Platform API.
Sera hii ikizimwa au mipangilio yake isipowekwa, hakuna viendelezi vinavyoruhusiwa kutumia Enterprise Hardware Platform API. Sera hii inatumika pia kwa viendelezi vya sehemu kama vile kiendelezi cha Huduma za Hangout.
Programu na Viendelezi vya akiba za Google Chrome OS za kusakinishwa na watumiaji wengi kwenye kifaa kimoja ili kuepuka kuzipakua upya kwa kila mtumiaji. Ikiwa sera hii haijasanidiwa au thamani ni chini ya MB 1, Google Chrome OS itatumia ukubwa wa akiba chaguomsingi.
Akiba hii haitumiwi na programu za Android. Ikiwa watumiaji wengi watasakinisha programu sawa ya Android, itapakuliwa upya kwa kila mtumiaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, hifadhi ya nje haitapatikana katika kivinjari cha faili.
Sera hii inaathiri aina zote za maudhui ya hifadhi. Kwa mfano: hifadhi za USB ya mwako, diski kuu za nje, kadi ya SD na kadi nyingine za hifadhi, hifadhi ya optiki n.k. Hifadhi ya ndani haiathiriwi, kwa hvyo faili zilizohifadhiwa kwenye folda ya Vipakuliwa bado zinaweza kufikiwa. Hifadhi ya Google pia haiathiriwi na sera hii.
Mipangilio hii ikizimwa au ikiachwa bila kuwekwa, basi watumiaji wanaweza kutumia aina zote za hifadhi ya nje zinazotumika kwenye vifaa vyao.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, watumiaji hawawezi kuandika chochote kwenye vifaa vya hifadhi ya nje.
Mipangilio hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, basi watumiaji wanaweza kuunda na kurekebisha faili za vifaa vya hifadhi ya nje ambavyo vinaweza kuandikwa.
Sera ya ExternalStorageDisabled huchukua nafasi ya sera hii - ikiwa ExternalStorageDisabled imewekwa kuwa ndivyo, basi idhini zote za kufikia hifadhi ya nje huzimwa na sera hii kupuuzwa.
Kipengele cha kuonyesha upya sera hii kinatumika katika M56 na matoleo ya baadaye.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, badala yake jaribu kutumia kipengele cha BrowserSignin.
Kama sera hii imewekwa kuwa ndivyo, mtumiaji anahitaji kuingia katika akaunti ya Google Chrome kwa kutumia wasifu wake kabla ya kutumia kivinjari. Na thamani chaguomsingi ya BrowserGuestModeEnabled itawekwa kuwa sivyo. Kumbuka kuwa wasifu uliopo ambao haujatumiwa kuingia katika akaunti utafungwa na hautaweza kufikiwa baada ya kuwasha sera hii. Kwa maelezo zaidi, angalia makala ya kituo cha usaidizi.
Kama sera hii itawekwa kuwa sivyo au mipangilio haijawekwa, mtumiaji anaweza kutumia kivinjari bila kuingia katika akaunti ya Google Chrome.
Sera hii ikiwekwa kuwa imewashwa hulazimisha wasifu ubadilishwe kuwa kipindi cha matumizi ya muda. Sera hii ikibainishwa kuwa sera ya Mfumo wa Uendeshaji (k.m. GPO kwenye Windows) itatumika katika kila wasifu kwenye mfumo; sera hii ikiwekwa kuwa sera ya Wingu, itatumika kwenye wasifu ulioingia ukitumia akaunti inayosimamiwa pekee.
Katika hali hii, data ya wasifu huchanganuliwa kwenye diski kwa muda wote wa kipindi cha mtumiaji. Vipengele kama vile historia ya kivinjari, viendelezi na data yake, data ya wavuti kama vile vidakuzi na hifadhidata za wavuti hazihifadhiwi baada ya kufunga kivinjari. Hata hivyo, jambo hili halimzuii mtumiaji kupakua data yoyote kwenye diski, kuhifadhi au kuchapisha kurasa.
Ikiwa mtumiaji amewasha kipengele cha kusawazisha, data hii yote itahifadhiwa katika wasifu wake wa kusawazisha kama wasifu wa kawaida. Pia hali fiche inapatikana isipozimwa kabisa na sera.
Sera ikiwekwa kuwa imezimwa au isipowekwa, kuingia katika akaunti husababisha kuwepo kwa wasifu wa kawaida.
Hulazimisha maswali katika Utafutaji wa Wavuti wa Google kufanywa na SafeSearch ikiwa imewashwa na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, SafeSearch katika Utafutaji wa Google huwa imewashwa wakati wote.
Ukifunga mpangilio huu au usipoweka thamani, SafeSearch katika Utafutaji wa Google haitekelezwi.
If this policy is set to true, Google Chrome will unconditionally maximize the first window shown on first run. If this policy is set to false or not configured, the decision whether to maximize the first window shown will be based on the screen size.
This policy is deprecated, please use ForceGoogleSafeSearch and ForceYouTubeRestrict instead. This policy is ignored if either the ForceGoogleSafeSearch, the ForceYouTubeRestrict or the (deprecated) ForceYouTubeSafetyMode policies are set.
Forces queries in Google Web Search to be done with SafeSearch set to active and prevents users from changing this setting. This setting also forces Moderate Restricted Mode on YouTube.
If you enable this setting, SafeSearch in Google Search and Moderate Restricted Mode YouTube is always active.
If you disable this setting or do not set a value, SafeSearch in Google Search and Restricted Mode in YouTube is not enforced.
Hutekeleza kiwango cha chini cha Hali yenye Mipaka kwenye YouTube na huwazuia watumiaji kuchagua hali ambayo haijawekewa mipaka mingi.
Mipangilio hii ikiwekwa kuwa ya Lazima, Hali yenye Mipaka ya Lazima kwenye YouTube inafanya kazi kila wakati.
Mipangilio hii ikiwekwa kuwa ya Wastani, mtumiaji anaweza kuchagua Hali yenye Mipaka ya Wastani pekee na Hali yenye Mipaka ya Lazima kwenye YouTube, lakini hawezi kuzima Hali yenye Mipaka.
Mipangilio hii ikiwekwa kuwa Imezimwa au hakuna thamani iliyowekwa, Hali yenye Mipaka kwenye YouTube haitatekelezwa na Google Chrome. Sera za nje kama vile sera za YouTube bado zinaweza kutekeleza Hali yenye Mipaka.
Sera hii haiathiri progamu ya Android YouTube. Ikiwa Hali ya Usalama kwenye YouTube inapaswa kutekelezwa, kusakinishwa kwa programu ya Android YouTube haipaswi kuruhusiwa.
This policy is deprecated. Consider using ForceYouTubeRestrict, which overrides this policy and allows more fine-grained tuning.
Forces YouTube Moderate Restricted Mode and prevents users from changing this setting.
If this setting is enabled, Restricted Mode on YouTube is always enforced to be at least Moderate.
If this setting is disabled or no value is set, Restricted Mode on YouTube is not enforced by Google Chrome. External policies such as YouTube policies might still enforce Restricted Mode, though.
Sera hii haiathiri progamu ya Android YouTube. Ikiwa Hali ya Usalama kwenye YouTube inapaswa kutekelezwa, kusakinishwa kwa programu ya Android YouTube haipaswi kuruhusiwa.
This policy controls the availability of fullscreen mode in which all Google Chrome UI is hidden and only web content is visible.
If this policy is set to true or not not configured, the user, apps and extensions with appropriate permissions can enter fullscreen mode.
If this policy is set to false, neither the user nor any apps or extensions can enter fullscreen mode.
On all platforms except Google Chrome OS, kiosk mode is unavailable when fullscreen mode is disabled.
Sera hii haiathiri programu za Android kwa njia yoyote. Zitaweza kuwekwa katika hali ya skrini nzima hata kama sera hii imewekwa kuwa False.
If this policy is set to true or left unset, hardware acceleration will be enabled unless a certain GPU feature is blacklisted.
If this policy is set to false, hardware acceleration will be disabled.
Tuma vifurushi vya mtandao kwenye seva ya udhibiti ili kufuatilia hali ya mtandaoni, ili kuruhusu seva igundue kama kifaa kiko nje ya mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, ufuatiliaji wa vifurushi vya mtandao (maarufu kama heartbeats) utatumwa. Ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, hakuna vifurushi vitakavyotumwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Mara ambazo vifurushi vya mtandao vya ufuatiliaji hutumwa, katika milisekunde.
Sera hii isipowekwa, muda chaguomsingi ni dakika 3. Muda wa chini ni sekunde 30 na muda wa juu ni saa 24 - thamani nje ya masafa haya itaunganishwa kwenye masafa haya.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ficha programu ya Duka la Chrome kwenye Wavuti na kiungo cha kijachini kutoka kwenye Ukurasa wa Kichupo Kipya na kifungua programu cha Google Chrome OS.
Sera hii inapowekwa kuwa ndivyo, aikoni hufichwa.
Sera hii inapowekwa kuwa sivyo au isiposanidiwa, aikoni huonekana.
Sera hii huwasha HTTP/0.9 kwenye milango mbali na 80 ya HTTP na 443 ya HTTPS.
Sera huzimwa kwa chaguomsingi, na ikiwashwa, huwaacha watumiaji katika hali ambayo wanaweza kupata matatizo ya usalama https://crbug.com/600352.
Sera hii inadhamiria kuwapa wafanyabiashara nafasi ya kuhamisha seva za sasa kutoka HTTP/0.9, na itaondolewa siku zijazo.
Sera hii isipowekwa, HTTP/0.9 itazimwa kwenye milango ambayo si chaguomsingi.
Sera hii inalazimisha data ya fomu ya kujaza otomatiki kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi cha awali ikiwa itawashwa. Ikiwashwa, sera hii pia inaathiri kidirisha cha kuleta
Ikizimwa, data ya fomu ya kujaza otomatiki haitaletwa.
Ikiwa haitawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukafanyika kiotomatiki.
Sera hii ikitekelezwa, hulazimisha alamisho kuingizwa kutoka kivinjari chaguomsingi cha sasa. Ikitekelezwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Isipotekelezwa, hakuna alamishi zitakazoingizwa.
Ikiwa hii haitawekwa, huenda mtumiaji akaulizwa aingize alamisho, au huenda zikaingizwa kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha historia ya kuvinjari kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi cha sasa ikiwa imewezeshwa. Ikiwa imewezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikiwa imelemazwa, hakuna historia ya kuvinjari inayoletwa.
Ikiwa haijawekwa, mtumiaji anaweza kuombwa iwapo anataka kuleta, au uletaji unaweza kufanyika kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha ukurasa wa kwanza kuingizwa kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi cha sasa, kikiwashwa.
Ikilemazwa, ukurasa wa mwanzo hautaletwa.
Ikiwa hautawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha manaenosiri yaliyohifadhiwa kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguomsingi cha awali ikiwezeshwa. Ikiwezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikilemazwa, manenosiri yaliyohifadhiwa hayataletwa.
Ikiwa haitawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inailazimisha mitambo ya kutafuta kuingizwa kutoka kivinjari chaguomsingi cha sasa iwapo itawashwa. Ikiwashwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Ikizimwa, mtambo chaguomsingi wa kutafuta hauingizwi.
Ikiwa haitawekwa, mtumiaji anaweza kuomba aingize, au huenda ungizaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii imepitwa na wakati. Tafadhali, tumia IncognitoModeAvailability badala yake. Huwasha hali fiche katika Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu umewashwa au haujasanidiwa, watumiaji wanaweza kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa mpangilio huu umezimwa, watumiaji hawawezi kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa sera hii itawachwa ikiwa haijawekwa, hii itawashwa na mtumiaji ataweza kutumia hali fiche.
Hubainisha iwapo mtumiaji anaweza kufungua kurasa katika hali Fiche kwenye Google Chrome.
Ikiwa hiari ya 'Imewashwa' imechaguliwa au sera haijawekwa, huenda kurasa zikafunguliwa katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imezimwa' imechaguliwa, huenda kurasa zisifunguliwe katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imelazimishwa' imechaguliwa, huenda kurasa zikafunguliwa TU katika hali Fiche.
If this setting is enabled, users will be allowed to use Instant Tethering, which allows their Google phone to share its mobile data with their device.
If this setting is disabled, users will not be allowed to use Instant Tethering.
If this policy is left not set, the default is not allowed for enterprise-managed users and allowed for non-managed users.
Ikiwa sera imewashwa, kila mojawapo ya chanzo kilichotajwa katika orodha inayotenganishwa kwa koma kitatumia mchakato wake. Hatua hii pia itatenga vyanzo vilivyotajwa kulingana na vikoa vidogo; k.m. kubainisha https://example.com/ pia kutasababisha https://foo.example.com/ itengwe ili isiwe sehemu ya tovuti ya https://example.com/. Ikiwa sera imezimwa, hamna dhana ya Utengaji wa Tovuti itakayotumika kwa njia dhahiri na majaribio ya sehemu za IsolateOrigins na SitePerProcess yatazimwa. Bado watumiaji wataweza kuwasha IsolateOrigins wenyewe. Ikiwa sera haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii. Kwenye Google Chrome OS, tunapendekeza pia uweke sera ya kifaa ya DeviceLoginScreenIsolateOrigins kuwa thamani sawa. Ikiwa thamani zilizobainishwa na sera hizo mbili hazilingani, huenda ucheleweshaji ukatokea wakati wa kuweka kipindi cha mtumiaji huku thamani iliyobainishwa na sera ya mtumiaji ikitumika.
KUMBUKA: Sera hii haitumiki kwenye Android. Ili uwashe IsolateOrigins kwenye Android, tumia mipangilio ya sera ya IsolateOriginsAndroid.
Ikiwa mipangilio ya sera imewashwa, kila asili yenye jina kwenye orodha iliyotenganishwa kwa koma itajisimamia yenyewe. Hii pia itatenga asili zilizopewa jina kulingana na vijikoa; kwa mfano kubainisha https://example.com/ pia kutasababisha kutenganishwa kwa https://foo.example.com/ kama sehemu ya https://example.com/ site. Ikiwa mipangilio ya sera imezimwa, hakuna Utengaji Wazi wa Tovuti utakaofanyika na majaribio ya IsolateOriginsAndroid na SitePerProcessAndroid yatazimwa. Watumiaji bado wataweza kuwasha IsolateOrigins wenyewe. Ikiwa mipangilio ya sera haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mpangilio huu.
KUMBUKA: Kwenye Android, Utengaji wa Tovuti unajaribiwa. Usaidizi utaendelea kuboreshwa lakini kwa sasa huenda ukasababisha matatizo ya utendaji.
KUMBUKA: Sera hii inatumika tu katika Chrome kwenye vifaa vya Android vyenye zaidi ya GB1 ya RAM. Ili kutumia sera kwenye mifumo isiyo ya Android, tumia IsolateOrigins.
Sera hii imepingwa, tafadhali tumia DefaultJavaScriptSetting badala yake.
Inaweza kutumiwa kulemaza JavaScript kwenye Google Chrome.
Iwapo mpangilio huu umelemazwa, kurasa za wavuti haziwezi kutumia JavaScript na mtumiaji hawezi kubadilisha mpangilio huo.
Iwapo mpangilio huu umezimwa au la, kurasa za wavuti zinaweza kutumia JavaScript lakini mtumiaji anaweza kubadilisha mpangilio huo.
Hutoa idhini ya kufikia vitufe vya shirika vya viendelezi.
Vitufe vinateuliwa kwa matumizi ya shirka ikiwa vitazalishwa kwa kutumia API ya chrome.platformKeys kwenye akaunti inayodhibitiwa. Vitufe vinavyoletwa au kuzalishwa kwa njia nyingine haviteuliwi kwa ajili ya matumizi ya shirika.
Uwezo wa kufikia vitufe vilivyoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika unadhibitiwa mahususi na sera hii. Mtumiaji hawezi kutoa idhini wala kuondoa uwezo wa kufikia vitufe vya shirika kuenda au kutoka kwenye viendelezi.
Kwa chaguomsingi kiendelezi hakiwezi kutumia kitufe kilichoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika, ambayo ni sawa na kuweka allowCorporateKeyUsage kwenye sivyo kwa kiendelezi hicho.
Ikiwa tu allowCorporateKeyUsage itawekwa kuwa ndivyo kwa kiendelezi, inaweza kutumia mfumo wa kitufe chochote kilichowekewa alama kwa ajili ya matumizi ya shirika kutia sahihi data isiyo na mpangilio. Ruhusa hii inapaswa tu kutolewa kama kiendelezi kinaaminiwa kuweka ufikiaji salama wa kitufe dhidi ya wavamizi.
Programu za Android haziwezi kufikia vitufe vya shirika. Sera hii haiviathiri.
Tuma kumbukumbu za mfumo kwenye seva ya udhibiti, ili uruhusu wasimamizi kufuatilia kumbukumbu za mfumo.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kumbukumbu za mfumo zitatumwa. Ikiwekwa kuwa sivyo au kutowekwa, basi hakuna kumbukumbu za mfumo ambazo zitatumwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Sera hii ikiwekwa, mtiririko wa uthibitishaji wa kuingia katika akaunti utakuwa katika mojawapo ya njia zifuatazo kulingana na thamani ya mipangilio:
Ikiwekwa kuwa GAIA, kuingia katika akaunti kutafanyika kupitia mtiririko wa kawaida wa uthibitishaji wa GAIA.
Ikiwekwa kuwa SAML_INTERSTITIAL, kuingia katika akaunti kutaonyesha skrini ya ukurasa wenye maelezo yanayomwelekeza mtumiaji kuendelea na uthibitishaji kupitia SAML IdP ya kikoa cha usajili wa kifaa, au kurudi kwenye mtiririko wa kawaida wa kuingia katika akaunti wa GAIA.
Michoro katika orodha hii italinganishwa na asili ya usalama wa ombi la URL. Zikilingana, idhini ya kufikia vifaa vya kurekodi video itatolewa kwenye kurasa za kuingia katika SAML. Ikiwa hazilingani, idhini ya kufikia itakataliwa kiotomatiki. Michoro ya herufi wakilishi hairuhusiwi.
Kama sera hii imewekwa, Google Chrome itajaribu kujisajili na kutumia sera husika ya wingu katika wasifu zote.
Thamani ya sera hii ni tokeni ya Uandikishaji ambayo inaweza kutolewa kwenye dashibodi ya Msimamizi wa Google.
Configures a list of managed bookmarks.
The policy consists of a list of bookmarks whereas each bookmark is a dictionary containing the keys "name" and "url" which hold the bookmark's name and its target. A subfolder may be configured by defining a bookmark without an "url" key but with an additional "children" key which itself contains a list of bookmarks as defined above (some of which may be folders again). Google Chrome amends incomplete URLs as if they were submitted via the Omnibox, for example "google.com" becomes "https://google.com/".
These bookmarks are placed in a folder that can't be modified by the user (but the user can choose to hide it from the bookmark bar). By default the folder name is "Managed bookmarks" but it can be customized by adding to the list of bookmarks a dictionary containing the key "toplevel_name" with the desired folder name as the value.
Managed bookmarks are not synced to the user account and can't be modified by extensions.
Inabainisha idadi ya juu ya miunganisho sawia katika seva ya proksi.
Seva nyingine za proksi haziwezi kushughulikia idadi kubwa ya miunganisho inayoendana kwa kila mteja na hii inaweza kutatuliwa kwa kuweka sera hii hadi katika thamani ya chini.
Thamani ya sera hii inapaswa kuwa chini ya 100 na kubwa kwa 6 na thamani chaguomsingi ni 32.
Programu nyingine za wavuti zinajulikana kutumia miunganisho mingi kwa GET zinazoning'inia, kwa hivyo kupunguza chini ya 32 kunaweza kusababisha kuning'inia kwa mytando wa kuvinjari ikiwa programu nyingi kama hizo zimefungka. Punguza hadi chini ya chaguomsingi kwa tahadhari yako.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguomsingi itatumika ambayo ni 32.
Hubainisha upeo wa ucheleweshaji katika milisekunde kati ya wakati wa kupokea uthibitishaji wa sera na uletaji wa sera mpya kutoka kwenye huduma ya usimamizi wa kifaa.
Kuweka sera hii kunapuuzia thamani chaguomsingi ya milisekunde 5000. Thamani halali za sera hii ziko kati ya 1000 (sekunde 1) na 300000 (dakika 5 min). Thamani zozote zisizo katika mfululizo huu zitaunganishwa kwenye mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome itumie thamani chaguomsingi ya milisekunde 5000.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- disk-cache-size' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa Kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguomsingi wa akaiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguomsingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya- ukubwa wa-diski ya-akiba.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Cast itaunganishwa na Vifaa vinavyotuma maudhui kwenye anwani zote za IP, si anwani za faragha za RFC1918/RFC4193 pekee.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Cast itaunganishwa na Vifaa vinavyotuma maudhui kwenye anwani za faragha za RFC1918/RFC4193 pekee.
Sera hii isipowekwa, Google Cast itaunganishwa na Vifaa vinavyotuma maudhui kwenye anwani za faragha za RFC1918/RFC4193 pekee, isipokuwa kipengele cha CastAllowAllIPs kiwashwe.
Sera ya "EnableMediaRouter" ikiwekwa kuwa sivyo, inamaanisha kuwa thamani ya sera hii haitakuwa na athari yoyote.
Enables anonymous reporting of usage and crash-related data about Google Chrome to Google and prevents users from changing this setting.
If this setting is enabled, anonymous reporting of usage and crash-related data is sent to Google. If it is disabled, this information is not sent to Google. In both cases, users cannot change or override the setting. If this policy is left not set, the setting will be what the user chose upon installation / first run.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain. (For Chrome OS, see DeviceMetricsReportingEnabled.)
Huweka mipangilio ya mahitaji ya msingi yanayoruhusiwa ya toleo la Google Chrome. Matoleo yaliyo hapa chini yatachukuliwa kuwa hayafai na kifaa hakitaruhusu mtumiaji kuingia katika akaunti kabla ya kusasisha Mfumo wa Uendeshaji. Ikiwa toleo la sasa halitafaa wakati wa kipindi cha mtumiaji, akaunti ya mtumiaji itafungwa kwa lazima.
Ikiwa sera hii haijawekwa, hakuna vizuizi vitakavyotumika na watumiaji wanaweza kuingia katika akaunti bila kujali matoleo ya Google Chrome.
Katika hali hii "Toleo" linaweza kuwa toleo halisi kama vile toleo la '61.0.3163.120' au kiambishi cha toleo, kama vile '61.0'
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isipowekwa, ukurasa wa Kichupo Kipya utaonyesha mapendekezo ya maudhui kulingana na historia ya kuvinjari, mambo yanayovutia, au mahali alipo mtumiaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, mapendekezo ya maudhui yanayozalishwa kiotomatiki hayataonyeshwa katika ukurasa wa Kichupo Kipya.
Huweka mipangilio ya orodha ya printa.
Sera hii huruhusu wasimamizi kutoa mipangilio ya printa kwa ajili ya watumiaji wake.
display_name na description ziko katika mifuatano huru ambayo inaweza kubadilishwa ikufae ili kurahisisha kuchagua printa. manufacturer na model hutumika kurahisisha utambulisho wa printa kwa watumiaji wake wa hatima. Huwakilisha mtengenezaji na muundo wa printa. uri inapaswa kuwa eneo ambalo linafikiwa kutoka kwenye kompyuta ya seva teja ikiwa ni pamoja na scheme, port na queue. Si lazima uuid iwekwe. Ikiwekwa, itatumika kusaidia kuondoa nakala za printa za zeroconf.
Ni lazima effective_model ilingane na mojawapo ya mfuatano inayowakilisha printa inayotumika ya Google Chrome OS. Mfuatano huo utatumiwa kutambua na kusakinisha PPD inayofaa kwenye printa. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika https://support.google.com/chrome?p=noncloudprint.
Shughuli ya kuweka mipangilio ya printa hukamilika baada ya kutumia printa mara ya kwanza. PPD hazipakuliwi mpaka printa itumike. Baada ya hapo, PPD zinazotumiwa sana huwekwa katika akiba.
Sera hii haiathiri iwapo watumiaji wanaweza kuweka mipangilio kwenye vifaa vya kibinafsi. Imewekwa iwe mbinu ya ziada ya kuweka mipangilio ya printa inayotumiwa na watumiaji mahususi.
Kwa vifaa vinavyodhibitiwa na Saraka Inayotumika, sera hii inatumia upanuzi wa ${MACHINE_NAME[,pos[,count]]} kwenye jina la mashine ya Saraka Inayotumika au kiambishi husika cha msimbo. Kwa mfano, ikiwa jina la mashine ni CHROMEBOOK, inamaanisha kuwa nafasi ya ${MACHINE_NAME,6,4} itawekwa herufi 4 kuanzia nafasi ya 6, yaani BOOK. Kumbuka kwamba nafasi hii inatumia sufuri. ${machine_name} (herufi ndogo) haifanyi kazi katika M71 na itaondolewa katika M72.
Hudhibiti aina za printa kutoka NativePrintersBulkConfiguration zinazopatikana kwa watumiaji.
Hubainisha sera ya ufikiaji inayotumiwa katika mipangilio ya kina ya printa. Ikiwa AllowAll imechaguliwa, printa zote zitaonyeshwa. Ikiwa BlacklistRestriction imechaguliwa, NativePrintersBulkBlacklist itatumika kudhibiti uwezo wa kufikia printa zilizobainishwa. Ikiwa WhitelistPrintersOnly imechaguliwa, NativePrintersBulkWhitelist itabainisha printa ambazo zitachaguliwa pekee.
Ikiwa sera haijawekwa, AllowAll itaendelea kufuatwa.
Hubainisha printa ambazo mtumiaji hawezi kutumia.
Sera hii hutumika tu ikiwa mipangilio ya BlacklistRestriction imechaguliwa katika NativePrintersBulkAccessMode.
Ikiwa sera hii inatumiwa, printa zote hutolewa kwa mtumiaji isipokuwa vitambulisho vilivyoorodheshwa katika sera hii. Ni lazima vitambulisho vilingane na sehemu za "kitambulisho" au "mwongozo" kwenye faili iliyobainishwa katika NativePrintersBulkConfiguration.
Hutoa mipangilio ya printa za biashara.
Sera hii hukuruhusu kuweka mipangilio ya printa kwenye vifaa vya Google Chrome OS. Muundo huu ni sawa na kamusi ya NativePrinters, unaohitaji sehemu ya ziada ya "kitambulisho" au "mwongozo" kwa kila printa kwa ajili ya kutoa idhini au kunyima idhini.
Ukubwa wa faili haupaswi kuzidi MB 5 na ni lazima iwe imesimbwa katika JSON. Inakadiriwa kuwa faili iliyo na takribani printa 21,000 itasimbwa kuwa faili ya MB 5. Hashi ya kriptografia itatumika kuthibitisha hadhi ya upakuaji.
Faili hupakuliwa na kuwekwa katika akiba. Itapakuliwa tena wakati hashi au URL itabadilishwa.
Ikiwa sera hii imewekwa, Google Chrome OS itapakua faili kwa ajili ya mipangilio ya printa na kufanya printa zipatikane kulingana na sera za NativePrintersBulkAccessMode, NativePrintersBulkWhitelist na NativePrintersBulkBlacklist.
Kama utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Sera hii haina athari yoyote iwapo watumiaji wanaweka mipangilio ya printa kwenye vifaa mahususi. Imewekwa iwe mbinu ya ziada ya kuweka mipangilio ya printa inayotumiwa na watumiaji mahususi.
Hubainisha printa ambazo mtumiaji anaweza kutumia.
Sera hii hutumika tu ikiwa mipangilio ya WhitelistPrintersOnly imechaguliwa katika NativePrintersBulkAccessMode.
Ikiwa sera hii inatumiwa, printa zenye vitambulisho vinavyolingana na thamani iliyo katika sera ndizo pekee zitakazopatikana kwa watumiaji. Ni lazima vitambulisho vilingane na sehemu za "kitambulisho" au "mwongozo" kwenye faili iliyobainishwa katika NativePrintersBulkConfiguration.
Inawasha kipengele cha ubashiri wa mtandao katika Google Chrome na kuzuia watumiaji wasiweze kubadilisha mipangilio hii.
Hatua hii hudhibiti hali ya kuleta DNS mapema, uunganishaji na utekelezaji awali wa kurasa za wavuti za TCP na SSL.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kubadilisha wala kubatilisha mipangilio hii katika Google Chrome.
Usipoweka sera hii, kipengele cha ubashiri wa mtandao kitawashwa lakini watumiaji wataweza kukibadilisha.
Huruhusu kuwashwa na kuzimwa kwa kipengele cha kudhibiti mtandao. Hii inatumika kwa watumiaji wote, na violesura vyote kwenye kifaa. Baada ya kuwekwa, udhibiti utaendelea mpaka sera ibadilike ili kuizima.
Ikiwekwa kuwa sivyo, hakuna udhibiti. Ikiwekwa kuwa ndivyo, mfumo hudhibitiwa ili kufanikisha viwango vya upakiaji na kupakua vilivyowekwa (katika kbits/s).
Huzibainisha programu zinazoweza kuwashwa kuwa programu za kuandika madokezo kwenye skrini iliyofungwa ya Google Chrome OS.
Unapoitumia programu ya kuandika vidokezo unayoipendelea kwenye skrini iliyofungwa, kiolesura cha kufungua programu hiyo kitaonekana kwenye skrini iliyofungwa. Unapoifungua programu hiyo, programu itaunda dirisha la programu sehemu ya juu ya skrini iliyofungwa na vipengee vya data (vidokezo) vitaundwa katika skrini iliyofungwa. Programu italeta vidokezo vilivyoundwa kwenye kipindi msingi cha mtumiaji, unapokifungua kipindi. Kwa sasa, unaweza tu kuzitumia programu za Chrome za kuandika vidokezo kwenye skrini iliyofungwa.
Ukiiweka sera, mtumiaji ataruhusiwa kuwasha programu kwenye skrini iliyofungwa iwapo tu Kitambulisho cha kiendelezi kiko kwenye orodha ya thamani ya sera. Ukiiweka sera hii kwenye orodha tupu, kipengele cha kuandika vidokezo kwenye skrini iliyofungwa kitazimwa kabisa. Kumbuka kuwa sera iliyo na Kitambulisho cha programu haimaanishi kuwa mtumiaji anaweza kuwasha programu kuandika vidokezo kwenye skrini iliyofungwa - kwa mfano, kwenye Chrome 61, programu ambazo unaweza kuzitumia zimewekewa vikwazo na mfumo.
Usipoiweka sera, hamna vikwazo vitakavyowekwa kwenye seti ya programu ambazo mtumiaji anaweza kuwasha kwenye skrini iliyofungwa vilivyowekwa na sera.
Inaruhusu kusukuma kwa usanidi wa mtandao kutekelezwa kwa kila mtumiaji katika kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo ulioumbizwa wa JSON kama ilivyofasiliwa kwa umbizo la Fungua Usanidi wa Mtandao ilivyofafanuliwa katika https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Programu za Android zinaweza kutumia usanidi wa mtandao na vyeti vya CA vilivyowekwa kupitia sera hii, lakini hazina idhini ya kufikia chaguo za kuweka mipangilio.
Sera hii inabainisha orodha ya vyanzo (URL) au mitindo ya majina ya seva pangishi (kama vile "*.example.com") ambako vizuizi vya usalama kwenye vyanzo visivyo salama havitatumika.
Nia yake ni kuruhusu mashirika yaweke vyanzo vya kutoa idhini kwenye programu za zamani ambazo haziwezi kutumia TLS au kuweka seva ya majaribio kwa ajili ya usanidi wa tovuti za ndani, ili wasanidi programu waweze kujaribu vipengele vinavyohitaji muktadha salama bila kutumia TLS kwenye seva ya majaribio. Sera hii pia itazuia chanzo kisiwekewa lebo ya "Si Salama" katika sanduku kuu.
Hatua ya kuweka orodha za URL katika sera hii ina athari sawa na kuweka mipanglio ya ripoti ya mstari wa amri '--unsafely-treat-insecure-origin-as-secure' kwenye orodha iliyotenganishwa kwa koma ya URL sawa. Iwapo sera hii imewekwa, itabatilisha ripoti ya mstari wa amri.
Sera hii itabatilisha UnsafelyTreatInsecureOriginAsSecure, ikiwa imewekwa.
Kwa maelezo zaidi kuhusu miktadha salama, angalia https://www.w3.org/TR/secure-contexts/.
Huondoa faragha na sehemu nyeti za usalama za URL za https:// kabla ya kuzipeleka kwenye hati za PAC (Proxy Auto Config) zinazotumika na Google Chrome wakati wa kuweka seva mbadala.
Ikiwekwa kuwa Ndivyo, kipengele cha usalama huwashwa na URL za https:// huondolewa kabla ya kuziwasilisha kwenye hati ya PAC. Kwa namna hii, hati ya PAC haiwezi kuona data ambayo kwa kawaida inalindwa na kituo kilichosimbwa kwa njia fiche (kama vile njia na hoja ya URL).
Ikiwekwa kuwa Sivyo, kipengele cha usalama huzimwa na hati za PAC hupata uwezo bayana wa kuona sehemu zote za URL ya https://. Hii inatumika kwa hati zote za PAC bila kuzingatia asili (ikiwa ni pamoja na zilizotokana na usafirishaji usio salama au zilizogunduliwa kwa njia isiyo salama kupitia WPAD).
Hii huweka mipangilio chaguomsingi kuwa Ndivyo (kipengele cha usalama kimewashwa).
Inapendekezwa kuwa mipangilio hii iwekwe kuwa Ndivyo. Sababu moja tu ya kuiwekea mipangilio ya Sivyo ni kama inasababisha matatizo ya kutumika na hati zilizopo za PAC.
Sera itaondolewa kwenye M75.
Inaorodhesha vitambuaji vya programu Google Chrome OS huonyesha kama programu zilizobanwa katika upau wa kizinduzi.
Ikiwa sera hii itasanidiwa, uwekaji wa programu ni wa kudumu na hauwezi kubadilishwa na mtumiaji..
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, huenda mtumiaji akabadilisha orodha ya programu zilizobanwa katika kizinduzi.
Sera hii inaweza kutumika kubandika programu za Android.
Hubainisha kipindi kwa kipimo cha milisekunde ambapo huduma ya kudhibiti kifaa huulizwa maelezo ya sera ya mtumiaji
Kuweka sera hii hubatilisha thamani chaguomsingi ya saa 3. Thamani sahihi za sera hii ziko kuanzia 1800000 (dakika 30) hadi 86400000 (siku 1). Thamani zozote ambazo hazipo katika masafa haya zitawekwa katika mpaka husika. Ikiwa mfumo unatumia arifa za sera, ucheleweshwaji wa kuonyesha upya utawekwa kuwa saa 24 kwa sababu unatarajiwa kwamba arifa za sera zitalazimisha kuonyesha upya kiotomatiki wakati wowote ambao sera itabadilika.
Kuacha sera hii bila kuwekwa kutafanya Google Chrome itumie thamani chaguomsingi ya saa 3.
Kumbuka kwamba ikiwa mfumo huu unatumia arifa za sera, ucheleweshwaji wa kuonyesha upya utawekwa kuwa saa 24 (ukipuuza chaguomsingi zote na thamani ya sera hii) kwa sababu inatarajiwa kwamba arifa za sera zitalazimisha kuonyesha upya kiotomatiki wakati wowote ambao sera itabadilika, hivyo kuondoa haja ya kuonyesha upya mara kwa mara.
Lazimisha 'vichwa na vijachini' viwashwe au vizimwe kwenye kidirisha cha kuchapisha.
Ikiwa sera haijawekwa, mtumiaji anaweza kuamua iwapo atachapisha vichwa na vijachini.
Ikiwa mipangilio ya sera imwekwa kuwa ya sivyo, 'Vichwa na vijachini' havitachaguliwa kwenye kidirisha cha onyesho la kukagua uchapishaji, na mtumiaji hawezi kuibadilisha.
Ikiwa mipangilio ya sera imewekwa kuwa ya ndivyo, 'Vichwa na vijachini' vitachaguliwa kwenye kidirisha cha onyesho la kukagua uchapishaji, na mtumiaji hawezi kuibadilisha.
Mipangilio hii husababisha Google Chrome kutumia printa chaguomsingi ya mfumo kama uteuzi chaguomsingi katika Onyesho la Kuchungulia la Printa badala ya printa iliyotumika hivi majuzi.
Ukiizima mipangilio hii au usipoweka thamani, Onyesho la Kuchungulia la Printa litatumia printa iliyotumika hivi majuzi zaidi kama uteuzi chaguomsingi.
Ukiiwasha mipangilio hii, Onyesho la Kuchungulia la Printa litatumia printa chaguomsingi ya mfumo wa uendeshaji kama uteuzi chaguomsingi.
Inaweka uchapishaji wa rangi pekee, rangi moja nyeupe na nyeusi pekee au kudhibiti hali isiyo na rangi. Sera ambayo haijawekewa mipangilio inachukuliwa kuwa hamna kudhibiti.
Inazuia uchapishaji kwenye pande mbili za kurasa. Sera isipowekwa na kusiwe na mipangilio, hali hizo zitachukuliwa kwamba hakuna kizuizi.
Huwasha kuchapisha katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha.
Iwapo mpangilio huu utazimewa, watumiaji hawawezi kuchapisha kutoka kwenye Google Chrome. Uchapishaji utafungwa katika menyu spana, viendelezi, programu za, n.k. Bado kuna uwezekano wa kuchapisha kutoka kwenye programu jalizi zinazopuuza Google Chrome wakati wa kuchapisha. Kwa mfano, programu fulani za Flash zina chaguo la kuchapisha katika menyu zao za muktadha, ambazo hazisimamiwi na sera hii.
Sera hii haiathiri programu za Android.
Hukuruhusu udhibiti uwasilishaji wa matangazo katika kichupo chote na/au maudhui ya elimu katika Google Chrome.
Iwapo hujaweka mipangilio ya sera hii au umeiwasha (iwe ndivyo), Google Chrome inaweza kuonyesha maudhui ya kichupo chote kwa watumiaji ili kutoa maelezo ya bidhaa.
Iwapo umezimwa (imewekwa kuwa sivyo), Google Chrome haitaonyesha maudhui ya kichupo chote kwa watumiaji ili kutoa maelezo ya bidhaa.
Mipangilio hii hudhibiti uwasilishaji wa kurasa za utangulizi ambazo husaidia watumiaji kuingia katika akaunti ya Google Chrome, kuichagua iwe kivinjari chaguomsingi au kuwafahamisha kuhusu vipengele vya bidhaa.
Kama sera hii imewashwa, mtumiaji ataulizwa mahali atakapohifadhi kila faili kabla ya kuipakua. Kama sera imezimwa, upakuaji utaanza moja kwa moja na mtumiaji hataulizwa mahali atakapohifadhi faili. Kama sera haijasanidiwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au kutowekwa, matumizi ya itifaki ya QUIC katika Google Chrome yanaruhusiwa. Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo matumizi ya itifaki ya QUIC hayaruhusiwi.
Ratibisha kuwasha tena kiotomatiki baada ya sasisho la Google Chrome OS limetumika.
Sera hii inapowekwa kuwa kweli, kuwasha tena kiotomatiki kunaratibiwa wakati sasisho la Google Chrome OS limetumika na kuwasha tena kunahitajika ili kumaliza mchakato wa sasisho. Kuwasha tena kunaratibiwa mara moja lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadii saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Sera hii inapowekwa kuwa haitumiki, hakuna kuwasha tena kunakoratibiwa baada ya kutumia sasisho la Google Chrome OS. Mchakato wa sasisho hukamilika mtumiaji anapowasha tena kifaa.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki huwashwa tu wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika katika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali kama kipindi cha aina yoyote kinaendelea au la.
Iwaarifu watumiaji kwamba ni sharti Google Chrome ifunguliwe upya au ni sharti wazime kisha wawashe Google Chrome OS ili wakamilishe kuweka sasisho.
Mipanglilio hii ya sera huwasha arifa ili kumwarifu mtumiaji kwamba anashauriwa au anatakiwa afungue upya kivinjari au azime kisha awashe kifaa. Kama sera hii haijawekwa, Google Chrome itamwashiria mtumiai kwamba anahitaji kufungua kivinjari upya kupitia mabadiliko machache kwenye menyu yake ilhali Google Chrome OS itaashiria hali hii kupitia arifa kwenye ubao wa aikoni. Kama imewekwa kuwa 'Inapendekezwa', onyo linalojirudia litaonyeshwa kwa mtumiaji kwamba anashauriwa afungue upya. Mtumiaji anaweza kuondoa onyo hili kwa kuahirisha mchakato wa kufungua upya. Kama imewekwa kuwa 'Inahitajika' onyo linalojirudia litaonyeshwa kwa mtumiaji kuashiria kwamba kivinjari kitafunguliwa upya kwa lazima baada ya kipindi cha onyo kuisha. Kipindi chaguomsingi ni siku saba kwa Google Chrome na siku nne kwa Google Chrome OS, na inaweza kuwekewa mipangilio kupitia ya sera ya RelaunchNotificationPeriod.
Kipindi cha mtumiaji kitarejeshwa baada ya kufunguliwa au kuanzishwa upya.
Hukuruhusu uweke kipindi katika milisekunde, ambapo watumiaji wanaarifiwa kwamba Google Chrome lazima ifunguliwe upya au kifaa cha Google Chrome OS lazima kizimwe kisha kiwashwe ili kukamilisha kuweka sasisho.
Katika kipindi hiki, mtumiaji ataarifiwa mara kwa mara kuhusu haja ya kusasisha. Kwa vifaa vya Google Chrome OS, arifa ya itakayokutaka uzime kisha uwashe kifaa itaonekana katika ubao wa aikoni wakati sasisho litatambuliwa. Kwa vivinjari vya Google Chrome, mabadiliko ya menyu ya programu ya kuashiria kuwa unahitaji kufungua programu upya yanahitajika baada ya thuluthi ya kipindi cha arifa kuisha. Rangi ya arifa hizi itabadilika baada ya thuluthi mbili za kipindi cha kutoa arifa kuisha na itabadilika tena kipindi kamili cha arifa kitakapokwisha. Arifa za ziada zitakazowashwa na sera ya RelaunchNotification zitafuata ratiba ii hii.
Kama hujaweka kipindi, kipindi chaguomsingi cha milisekunde 345600000 (siku nne) itatumika kwa vifaa vya Google Chrome OS na milisekunde 604800000 (wiki moja) itatumika kwa Google Chrome.
Maelezo kuhusu hali ya Android yatatumwa kwenye seva.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, maelezo ya hali hayataripotiwa. Ikiwekwa kuwa ndivyo, maelezo ya hali yataripotiwa.
Sera hii inatumika tu iwapo programu za Android zimewashwa.
Maelezo kuhusu matumizi ya programu za Linux yanatumwa kwenye seva.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, hakuna maelezo ya matumizi yanayotumwa. Ikiwekwa kuwa ndivyo, maelezo ya matumizi hutumwa.
Sera hii inatumika tu iwapo programu ya Linux imewashwa.
Ripoti muda wa shughuli za kifaa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti vipindi vya muda mtumiaji anapotumia kifaa. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, muda wa shughuli za kifaa hautarekodiwa wala kuripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti hali ya ubadilishaji wa kifaa cha dev wakati wa kuwasha.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, hali ya ubadilishaji wa dev haitaripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti takwimu za maunzi kama vile matumizi ya CPU/RAM.
Sera ikiwekwa kuwa sivyo, takwimu hazitaripotiwa. Ikiwekwa kuwa sivyo au iachwe bila kuwekwa, takwimu zitaripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti orodha ya violesura vya mtandao vilivyo na aina zao na anwani za maunzi kwenye seva.
Ikiwa sera itawekwa kuwa Uongo, orodha ya violesura haitaripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti maelezo kuhusu kipindi cha skrini nzima kinachoendelea, kama vile Kitambulisho na toleo la programu.
Sera ikiwekwa kuwa sivyo, maelezo ya kipindi cha skrini nzima hayataripotiwa. Ikiwekwa kuwa ndivyo au ikiachwa bila kuwekwa, maelezo ya kipindi cha skrini nzima yataripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti orodha ya watumiaji wa kifaa ambao waliingia katika akaunti hivi karibuni.
Ikiwa sera imewekwa kuwa uongo, watumiaji hawataripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ripoti toleo la OS na programu dhibiti ya vifaa vilivyosajiliwa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti toleo la OS na programu dhibiti kila mara. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, maelezo ya toleo hayataripotiwa.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Ni mara ngapi vipakiwa vya hali ya kifaa hutumwa, katika milisekunde.
Sera hii isipowekwa, idadi chaguomsingi ni saa 3. Idadi ya chini inayoruhusiwa ni sekunde 60.
Sera hii haiathiri uwekaji kumbukumbu wa Android.
Mipangilio hii inapowashwa, Google Chrome itakagua ubatilishaji wa vyeti vya seva ambavyo vinathibitisha na vimetiwa sahihi na vyeti vya CA vilivyosakinishwa kwa karibu wakati wote.
Ikiwa Google Chrome haiwezi kupata maelezo ya hali ya ubatilishaji, vyeti kama hivyo vitachukuliwa kuwa vimebatilishwa ('hard-fail').
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome itatumia mipangilio iliyopo ya kukagua ubatilishaji wa mtandaoni.
Inajumuisha orodha ya ruwaza ambazo zinatumika kudhibiti kuonekana kwa akaunti katika Google Chrome.
Kila akaunti ya Google kwenye kifaa italinganishwa na ruwaza iliyohifadhiwa katika sera hii ili kubaini kuonekana kwa akaunti katika Google Chrome. Akaunti itaonekana ikiwa jina lake linalingana na ruwaza yoyote kwenye orodha. Vinginevyo, akaunti itafichwa.
Tumia herufi wakilishi ya '*' ili ulinganishe sufuri na vibadala vingine vya herufi. Herufi hiyo maalum ni '\', hivyo basi, ili ulinganishe herufi halisi za '*' au '\', weka '\' mbele yazo.
Kama sera hii haijawekwa, akaunti zote za Google kwenye kifaa zitaonekana katika Google Chrome.
Inajumuisha kilinganishi ambacho kinatumiwa kubainisha aina za akaunti za Google ambazo zinaweza kuwekwa kuwa kivinjari cha akaunti ya msingi katika Google Chrome (yaani akaunti ambayo inachaguliwa wakati wa mchakato wa kuchagua kutekeleza Usawazishaji).
Hitilafu inayofaa itaonyeshwa iwapo mtumiaji atajaribu kuweka akaunti ya msingi ya kivinjari pamoja na jina la mtumiaji ambalo halilingani na mchoro huu.
Iwapo sera hii haijawekwa au haina kitu, inaamanisha kuwa mtumiaji anaweza kuweka akaunti yoyote ya Google iwe akaunti ya msingi ya kivinjari katika Google Chrome.
Configures the directory that Google Chrome will use for storing the roaming copy of the profiles.
If you set this policy, Google Chrome will use the provided directory to store the roaming copy of the profiles if the Google Chrome policy has been enabled. If the Google Chrome policy is disabled or left unset the value stored in this policy is not used.
See https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables for a list of variables that can be used.
If this policy is left not set the default roaming profile path will be used.
Ukiiwasha mipangilio hii, mipangilio iliyohifadhiwa kwenye wasifu wa Google Chrome kama vile alamisho, data ya kujaza kiotomatiki, manenosiri, n.k. pia vitaandikwa kwenye faili iliyohifadhiwa kwenye folda ya wasifu wa mtumiaji mwingine au kwenye eneo lililobainishwa na Msimamizi kupitia sera ya Google Chrome. Ukiiwasha sera hii, usawazishaji kwenye wingu utazimwa.
Ukiizima sera hii au usipoweka mipangilio, wasifu wa kawaida kwenye kifaa chako ndio utakaotumika pekee.
Sera ya SyncDisabled huzima usawazishaji wote wa data, hivyo kubatilisha RoamingProfileSupportEnabled.
Ikiwa utaweka mipangilio hii, maudhui yote yaliyopachikwa katika Flash kwenye tovuti ambazo zimewekwa kuruhusu Flash katika mipangilio ya maudhui -- na mtumiaji au sera ya biashara -- itatekelezwa, ikijumuisha maudhui kutoka vyanzo vingine au maudhui machache.
Ili kudhibiti aina ya tovuti ambazo zinakubaliwa kutumia Flash, angalia sera za "DefaultPluginsSetting", "PluginsAllowedForUrls", na "PluginsBlockedForUrls".
Ikiwa mipangilio hii imezimwa au haijawekwa, maudhui ya Flash kutoka vyanzo vingine au maudhui machache yanaweza kuzuiwa.
During login, Google Chrome OS can authenticate against a server (online) or using a cached password (offline).
When this policy is set to a value of -1, the user can authenticate offline indefinitely. When this policy is set to any other value, it specifies the length of time since the last online authentication after which the user must use online authentication again.
Leaving this policy not set will make Google Chrome OS use a default time limit of 14 days after which the user must use online authentication again.
This policy affects only users who authenticated using SAML.
The policy value should be specified in seconds.
Chrome huonyesha ukurasa wa onyo watumiaji wanapoenda kwenye tovuti ambazo zina hitilafu za SSL. Kwa chaguomsingi au sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, watumiaji wanaruhusiwa kubofya kwenye kurasa hizi za onyo. Kuweka sera kuwa sivyo hakuwaruhusu watumiaji kubofya ukurasa wowote wa onyo.
Onyo: Sera ya kiwango cha juu cha toleo la TLS itaondolewa kabisa kwenye Google Chrome tukikaribia toleo la 75 (kuelekea Juni 2019).
Ikiwa mipangilio ya sera hii haijawekwa, inamaanisha kuwa Google Chrome inatumia toleo chaguomsingi la kiwango cha juu.
Vinginevyo, huenda ikawekwa katika mojawapo ya thamani zifuatazo: "tls1.2" au "tls1.3". Ikiwekwa, Google Chrome haitatumia matoleo ya SSL/TLS ambayo yamepita toleo linalobainishwa. Thamani isiyotambuliwa haitazingatiwa.
Ikiwa hujaweka mipangilio ya sera hii inamaanisha kuwa Google Chrome itatumia toleo la chini zaidi katika mipangilio chaguomsingi ambalo ni TLS 1.0.
Vinginevyo, inaweza kuwekwa kuwa mojawapo ya thamani zifuatazo: "tls1", "tls1.1" au "tls1.2". Ikiwekwa, Google Chrome itatumia matoleo ya SSL/TLS yaliyo chini ya toleo lililobainishwa. Haitazingatia thamani ambayo haitambuliki.
Identify if Google Chrome can allow download without Safe Browsing checks when it's from a trusted source.
When False, downloaded files will not be sent to be analyzed by Safe Browsing when it's from a trusted source.
When not set (or set to True), downloaded files are sent to be analyzed by Safe Browsing, even when it's from a trusted source.
Note that these restrictions apply to downloads triggered from web page content, as well as the 'download link...' context menu option. These restrictions do not apply to the save / download of the currently displayed page, nor does it apply to saving as PDF from the printing options.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to a Microsoft® Active Directory® domain.
Sera hii hudhibiti utekelezaji wa kichujio cha URL ya SafeSites. Kichujio hiki hutumia API ya Utafutaji Salama wa Google ili kuainisha URL kuwa na maudhui ya ponografia au kukosa maudhui hayo.
Iwapo mipangilio ya sera hii haijawekwa au umeweka "Isichuje tovuti zilizo na maudhui ya watu wazima", tovuti hazitafutwa.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa "Ichuje tovuti maarufu zinazoonyesha maudhui ya watu wazima", tovuti zinazoainishwa kuwa za ponografia zitachujwa.
Huzima kipengee cha kuhifadhi historia ya kivinjari katika Google Chrome na kuwazuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Mipangilio hii ikiwashwa, historia ya kuvinjari haihifadhiwi. Mipangilio hii pia huzima kipengee cha kusawazisha kichupo.
Sera hii ikizimwa au isipowekwa, historia ya kuvinjari huhifadhiwa.
Inawezesha mapendekezo ya utafutaji katika sanduKuu ya Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji yanatumiwa.
Ukifunga mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji hayatumiwi kamwe.
Ukiwasha au kufunga mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Mipangilio hii huruhusu watumiaji kubadili kati ya akaunti za Google katika eneo la maudhui ya dirisha la kivinjari baada ya kuingia katika akaunti wakitumia kifaa chao cha Google Chrome OS.
Kama sera imewekwa kuwa sivyo, watumiaji hawataruhusiwa kuingia katika akaunti tofauti kwenye eneo la maudhui ya kivinjari kisicho na hali fiche.
Kama sera hii haijawekwa au imewekwa kuwa ndivyo, hali chaguomsingi itatumika: utaruhusiwa kuingia katika akaunti tofauti kwenye eneo la maudhui ya kivinjari, isipokuwa katika akaunti za mtoto ambapo itazuiwa katika eneo la maudhui ya kivinjari kisicho na hali fiche.
Katika hali ambapo kuingia katika akaunti tofauti hakuruhusiwa kupitia Hali Fiche, zingatia kuzuia hali hiyo ukitumia sera ya IncognitoModeAvailability.
Kumbuka kwamba watumiaji wataweza kufikia huduma za Google katika hali isiyothibitishwa kwa kuzuia vidakuzi vyao.
Hubainisha URL na vikoa ambavyo hakuna kidokezo kitakachoonyeshwa wakati vyeti vya ufikiaji uliothibitishwa vinaombwa kutoka Funguo za Usalama. Vile vile, ishara itatumwa kwa Funguo za Usalama inayoonyesha ufikiaji uliothibitishwa wa kibinafsi ambao unaweza kutumiwa. Bila hii, watumiaji watadokezewa katika Chrome 65+ wakati tovuti zinaomba ufikiaji uliothibitishwa wa Funguo za Usalama.
URL (kama vile https://example.com/some/path) zitalingana kama U2F appIDs pekee. Vikoa (kama vile example.com) vinalingana kama Vitambulisho vya webauthn RP pekee. Ili kushughulikia API zote mbili za U2F na webauthn za tovuti fulani iliyotolewa, ni sharti URL zote mbili za appID na kikoa ziorodheshwe.
When this policy is set, it specifies the length of time after which a user is automatically logged out, terminating the session. The user is informed about the remaining time by a countdown timer shown in the system tray.
When this policy is not set, the session length is not limited.
If you set this policy, users cannot change or override it.
The policy value should be specified in milliseconds. Values are clamped to a range of 30 seconds to 24 hours.
Huweka lugha moja au zaidi zilizopendekezwa kwa kipindi kinachodhibitiwa, hivyo kuwaruhusu watumiaji kuchagua kwa urahisi mojawapo ya lugha hizi.
Mtumiaji anaweza kuchagua lugha na mpangilio wa kibodi kabla ya kuanza kipindi kinachodhibitiwa. Kwa chaguomsingi, lugha zote zinazotumika kwenye Google Chrome OS zimeorodheshwa kwa mpangilio wa alfabeti. Unaweza kutumia sera hii kuhamishia seti ya lugha zilizopendekezwa upande wa juu wa orodha.
Sera hii isipowekwa, kiolesura cha lugha ya sasa kitachaguliwa awali.
Sera hii ikiwekwa, lugha zilizopendekezwa zitahamishiwa upande wa juu wa orodha na zitatenganishwa na lugha nyingine zote. Lugha zinazopendekezwa zitaorodheshwa katika mpangilio ambao zinaonekana katika sera. Lugha ya kwanza iliyopendekezwa itachaguliwa awali.
Ikiwa kuna lugha zaidi ya moja iliyopendekezwa, inachukuliwa kwamba watumiaji wangependa kuchagua kati ya lugha hizi. Uteuzi wa lugha na mpangilio wa kibodi utatolewa kwa kuangaziwa wakati wa kuanza kipindi kinachodhibitiwa. Vinginevyo, inachukuliwa kwamba watumiaji wengi wangependa kutumia lugha hizi zilizochaguliwa awali. Uteuzi wa lugha na mpangilio wa kibodi hautatolewa kwa kuangaziwa wakati wa kuanza kipindi kinachodhibitiwa.
Sera hii inapowekwa na kipengee cha kuingia katika akaunti kiotomatiki kuwashwa (angalia sera za |DeviceLocalAccountAutoLoginId| na |DeviceLocalAccountAutoLoginDelay|), kipindi kinachodhibitiwa kilichoanzishwa kiotomatiki kitatumia lugha ya kwanza iliyopendekezwa na mpangilio wa kibodi maarufu sana unaolingana na lugha hii.
Kila wakati, mpangilio wa kibodi uliochaguliwa awali utakuwa mpangilio maarufu unaolingana na lugha iliyochaguliwa awali.
Sera hii inaweza tu kuwekwa kama ilivyopendekezwa. Unaweza kutumia sera hii kuhamishia seti ya lugha zilizopendekezwa upande wa juu lakini watumiaji wanaruhusiwa kuchagua lugha inayotumika kwenye Google Chrome OS kwa kipindi chao wakati wowote.
Dhibiti kujificha kiotomatiki kwa rafu ya Google Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IjificheYenyeweKilaWakati', rafu itajificha kiotomatiki kila wakati.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IsiwahiKujifichaYenyewe', rafu haitawahi kujificha kiotomatiki.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, watumiaji wanaweza kuamua iwapo rafu itajificha kiotomatiki.
Huwasha au kuzima njia ya mkato ya programu katika sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii haitawekwa basi mtumiaji anaweza kuamua kuonyesha au kuficha njia ya mkato ya programu kutoka kwenye menyu ya muktadha ya sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii itasanidiwa basi mtumiaji hawezi kuibadilisha, na njia ya mkato ya programu kuonyeshwa au kutoonyeshwa kila mara.
Inaonyesha kitufe cha Mwanzo kwenye upauzana wa Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, kila mara kitufe cha Mwanzo kinaonyeshwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kitufe cha Mwanzo hakionyeshwi tena.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Kuacha sera hii kama haijawekwa kutaruhusu mtumiaji kuchagua iwapo ataonyesha kitufe cha mwanzo.
If enabled, a big, red logout button is shown in the system tray while a session is active and the screen is not locked.
If disabled or not specified, no big, red logout button is shown in the system tray.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, badala yake jaribu kutumia kipengele cha BrowserSignin.
Humruhusu mtumiaji kuingia katika Google Chrome.
Ukiweka sera hii, unaweza kuweka mipangilio iwapo mtumiaji anaruhusiwa kuingia katika Google Chrome. Kuweka sera hii kuwa 'Sivyo' kutazuia programu na viendelezi ambavyo hutumia API ya chrome.identity visifanye kazi, kwa hivyo unaweza kutumia kipengele cha SyncDisabled badala yake.
Tunapendekeza uangalie mipangilio ya sera ya IsolateOrigins ili upate hali iliyo bora kati ya mbili zilizopo, utengaji na athari ndogo kwa watumiaji kwa kutumia IsolateOrigins kwenye orodha ya tovuti ambazo ungependa kutenga. Mipangilio hii, SitePerProcess, hutenga tovuti zote. Ikiwa sera imewashwa, kila tovuti itatumia mchakato wake. Ikiwa sera imezimwa, hamna dhana ya Utengaji wa Tovuti itakayotumika kwa njia dhahiri na majaribio ya sehemu za IsolateOrigins na SitePerProcess yatazimwa. Bado watumiaji wataweza kuwasha SitePerProcess wenyewe. Ikiwa sera haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii. Kwenye Google Chrome OS, tunapendekeza pia uweke sera ya kifaa ya DeviceLoginScreenSitePerProcess kuwa thamani sawa. Ikiwa thamani zilizobainishwa na sera hizo mbili hazilingani, huenda ucheleweshaji ukatokea wakati wa kuweka kipindi cha mtumiaji huku thamani iliyobainishwa na sera ya mtumiaji ikitumika. KUMBUKA: Sera hii haitumiki kwenye Android. Ili uwashe SitePerProcess kwenye Android, tumia mipangilio ya sera ya SitePerProcessAndroid.
Tunapendekeza uangalie mipangilio ya sera ya IsolateOriginsAndroid ili upate hali iliyo bora kati ya mbili zilizopo, utengaji na athari ndogo kwa watumiaji kwa kutumia IsolateOrigins kwenye orodha ya tovuti ambazo ungependa kutenga. Mipangilio hii, SitePerProcess, hutenga tovuti zote. Ikiwa sera imewashwa, kila tovuti itatumia mchakato wake. Ikiwa sera imezimwa, hamna dhana ya Utengaji wa Tovuti itakayotumika kwa njia dhahiri na majaribio ya sehemu za IsolateOrigins na SitePerProcess yatazimwa. Bado watumiaji wataweza kuwasha SitePerProcess wenyewe. Ikiwa sera haijawekwa, mtumiaji ataweza kubadilisha mipangilio hii.
KUMBUKA: Kwenye Android, Utengaji wa Tovuti bado unafanyiwa majaribio. Matumizi yataboreshwa baada ya muda lakini kwa sasa yanaweza kusababisha matatizo ya utendaji.
KUMBUKA: Sera hii inatumika tu katika Chrome kwenye vifaa vya Android vyenye zaidi ya GB 1 ya RAM. Ili kutumia sera kwenye mifumo isiyo ya Android, tumia SitePerProcess.
Iwapo mipangilio hii imewashwa, watumiaji wataruhusiwa kuingia katika akaunti zao wakitumia Smart Lock. Hali hii inaruhusu vitendo zaidi kuliko utendaji wa kawaida wa Smart Lock ambao unaruhusu tu watumiaji kufungua skrini zao.
Iwapo mipangilio hii imezimwa, watumiaji hawataruhusiwa kutumia njia ya kuingia katika akaunti kupitia Smart Lock.
Iwapo sera hii haijawekwa, mipangilio chaguomsingi haitaruhusiwa kwa watumiaji wanaodhibitiwa na biashara na itaruhusiwa kwa watumiaji wasiodhibitiwa.
Kama mipangilio hii imewashwa, watumiaji wataruhusiwa kuweka mipangilio kwenye vifaa vyao ili wasawazishe ujumbe wa SMS kati ya simu na Chromebook zao. Kumbuka kwamba ikiwa sera hii itaruhusiwa, ni sharti watumiaji wajijumuishe waziwazi kwenye kipengele hiki kwa kukamilisha utaratibu wa kuweka mipangilio. Pindi utaratibu wa kuweka mipangilio utakamilika, watumiaji wataweza kutuma na kupokea SMS kwenye Chromebook zao.
Ikiwa mipangilio hii imezimwa, watumiaji hawataruhusiwa kuweka mipangilio ya kusawazisha SMS.
Ikiwa sera hii haitawekwa, hali chaguomsingi haitaruhusiwa kwa watumiaji wanaosimamiwa lakini itaruhusiwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Google Chrome inaweza kutumia huduma ya wavuti ya Google ili kusaidia kutatua hitilafu za tahajia. Ikiwa mpangilio huu umewezeshwa, basi huduma hii inatumika kila mara. Ikiwa mpangilio huu unalemazwa, basi huduma hii haitumiki kamwe.
Ukaguzi tahajia bado unaweza kutekelezwa kwa kutumia kamusi iliyopakuliwa; sera hii inadhibiti tu matumizi ya huduma ya mtandaoni.
Ikiwa mpangilio huu haujasanidiwa basi watumiaji wanaweza kuchagua iwapo huduma ya ukaguzi tahajia unapaswa kutumika au la.
Kama sera hii haijawekwa au haijawashwa, mtumiaji anaruhsuiwa kutumia kikagua tahajia.
Kama sera hii imezimwa, mtumiaji haruhusiwi kutumia kikagua tahajia. Sera ya SpellcheckLanguage pia haitatumiwa wakati sera hii imezimwa.
Lazimisha kuwasha kikagua tahajia cha lugha. Lugha ambazo hazitambuliki katika orodha hii hazitakaguliwa.
Kama utawasha sera hii, kikagua tahajia kitawashwa kwa lugha zilizobainishwa, mbali na lugha ambazo mtumiaji amewasha ukaguaji tahajia.
Usipoweka sera hii au ukiizima, hakutakuwa na mabadiliko kwenye mapendeleo ya mtumiaji ya ukaguaji tahajia.
Kama sera ya SpellcheckEnabled imezimwa, sera hii haitakuwa na athari.
Lugha ambazo zinatumika kwa sasa: Kiafrikana, Kibulgaria, Kikatalani, Kicheki, Kiholanzi, Kigiriki, Kiingereza-Astralia, Kiingereza-Kanada, Kiingereza-Uingereza, Kiingereza-Marekani, Kihispanai, Kihispania-Marekani Kusini, Kihispania-Argentina, Kihispania-Uhispania, Kihispani-Meksiko, Kihispania-Marekani, Kiestonia, Kiajemi, Kifarosi, Kifaransa, Kiyahudi, Kihindi, Kikoreshia, Kihungari, Kiindonesia, Kiitaliano, Kikorea, Kiluksembagi, Kiflemil, Kibokmali cha Norwe, Kiholanzi, Kipolandi, Kireno cha Brazil, Kireno cha Ulaya, Kiromania, Kirusi, Kislovakia, Kislovenia, Kialbania, Kiserbia, Kiswidi, Kitamili, Kitajiki, Kiturukiri, Kiukreni, Kivietinamu.
Hukandamiza onyo linaloonekana Google Chrome inapofanya kazi kwenye kompyuta au mfumo wa uendeshaji ambao hautumiki tena.
Huzima usawazishaji data kwenye Google Chrome kwa kutumia huduma za usawazishaji zilizopangishwa kwenye Google na kuzuia watumiaji kuibadilisha mipangilio hii.
Ukiiwasha mipangilio hii, watumiaji hawataweza kubadilisha wala kubatilisha mipangilio hii kwenye Google Chrome.
Usipoiweka sera hii, mtumiaji atachagua kutumia au kutotumia kipengele cha Usawazishaji wa Google.
Ili kuzima kabisa kipengele cha Usawazishaji wa Google, inapendekezwa uzime huduma ya Usawazishaji wa Google kwenye Google Admin console.
Hupaswi kuiwasha sera hii wakati ambapo sera ya RoamingProfileSupportEnabled imewashwa kwa sababu kipengele hicho kinashiriki utendaji wa huduma sawa. Katika hali kama hii, usawazishaji wa Google utazimwa kabisa.
Kuzima kipengele cha Usawazishaji wa Google kutasababisha kipengele cha Hifadhi Rudufu ya Android na Kurejesha kisifanye kazi vizuri.
Hubainisha saa za eneo zitakazotumiwa kwa kifaa. Watumiaji wanaweza kufuta saa za eneo kwa kipindi cha sasa. Hata hivyo, baada ya kuondoka kwenye akaunti, itarudishwa kwenye saa za eneo lililobainishwa. Ikiwa thamani isiyo sahihi itatolewa, bado sera itawezeshwa kwa kutumia "GMT". Ikiwa mfuatano mtupu utatolewa, sera hii itapuuzwa.
Sera hii isipotumiwa, saa za sasa za eneo zinazotumika zitaendelea kutumiwa ingawa watumiaji wanaweza kubadilisha saa za eneo na mabadiliko haya yatadumu. Kwa hivyo, mabadiliko yanayofanywa na mtumiaji mmoja yataathiri skrini ya kuingia katika akaunti na watumiaji wengine wote.
Vifaa vipya huanza huku saa za eneo zikiwa katika hali ya "US/Pacific".
Muundo wa thamani hufuata majina ya saa za eneo katika "Hifadhidata ya Saa za Eneo za IANA" (tembelea "https://en.wikipedia.org/wiki/Tz_database"). Hususan, saa nyingi za eneo zinaweza kurejelewa kulingana na "bara/jiji_kuu" au "bahari/jiji_kuu".
Kuweka mipangilio hii kutazima kabisa kipengee cha kutatua saa za eneo kiotomatiki kulingana na eneo la kifaa. Pia kutabatilisha sera ya SystemTimezoneAutomaticDetection.
Sera hii ikiwekwa, mtiririko wa kugundua saa za eneo kiotomatiki utakuwa katika mojawapo wa njia zifuatazo kulingana na thamani ya mipangilio:
Ikiwekwa kuwa TimezoneAutomaticDetectionUsersDecide, watumiaji wataweza kudhibiti kipengee cha kugundua saa za eneo kiotomatiki kwa kutumia vidhibiti vya kawaida katika chrome://settings.
Ikiwekwa kuwa TimezoneAutomaticDetectionDisabled, vidhibiti vya kugundua saa za eneo kiotomatiki katika chrome://settings vitazimwa. Kipengele cha kugundua saa za eneo kiotomatiki kitakuwa kimezimwa wakati wote.
Ikiwekwa kuwa TimezoneAutomaticDetectionIPOnly, vidhibiti vya saa za eneo katika chrome://settings vitazimwa. Kipengele cha kugundua saa za eneo kiotomatiki kitakuwa kimewashwa wakati wote. Kipengele cha kugundua saa za eneo kitatumia mbinu ya IP pekee kurekebisha suala la mahali.
Ikiwekwa kuwa TimezoneAutomaticDetectionSendWiFiAccessPoints, vidhibiti vya saa za eneo katika chrome://settings vitazimwa. Kipengele cha kugundua saa za eneo kiotomatiki kitakuwa kimewashwa wakati wote. Orodha ya maeneo ya kufikia WiFi yatatumwa kwenye seva ya API ya Kutambulisha Mahali Kila wakati kwa ugunduzi sahihi wa saa za eneo.
Ikiwekwa kuwa TimezoneAutomaticDetectionSendAllLocationInfo, vidhibiti vya saa za eneo katika chrome://settings vitazimwa. Kipengele cha kugundua saa za eneo kiotomatiki kitakuwa kimewashwa wakati wote. Maelezo ya eneo (kama vile maeneo ya kufikia WiFi, Minara inayoweza Kupokea mtandao, GPS) yatatumwa kwenye seva kwa ugunduzi sahihi wa saa za eneo.
Sera hii isipowekwa, itaonekana kama kwamba TimezoneAutomaticDetectionUsersDecide imewekwa.
Sera ya SystemTimezone ikiwekwa, itabatilisha sera hii. Katika hali hii kipengele cha ungunduzi wa saa za eneo kiotomatiki kitazimwa kabisa.
Hubainisha muundo wa saa ili kutumiwa kwa kifaa.
Sera hii husanidi muundo wa saa ili kutumia kwenye skrini ya kuingia katika akaunti na kama chaguomsingi kwa vipindi vya watumiaji. Bado watumiaji wanaweza kuubatilisha muundo wa saa kwa akaunti yao.
Ikiwa sera itawekwa kuwa kweli, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 24. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 12.
Ikiwa sera hii haitawekwa, kifaa kitapuuza kuwa muundo wa saa ya saa 24.
Huweka mipangilio ya upatikanaji na utendaji wa kipengele cha kusasisha cha TPM.
Mipangilio mahususi inaweza kubainishwa katika sifa za JSON:
allow-user-initiated-powerwash: Ikiwekwa kuwa true, watumiaji wataweza kusababisha mtiririko wa powerwash kusakinisha sasisho la kipengele cha TPM.
allow-user-initiated-preserve-device-state: Ikiwekwa kuwa true, watumiaji wataweza kuanzisha mtiririko wa sasisho la programu ya TPM ambalo linahifadhi hali pana ya kifaa (ikiwa ni pamoja na ujumuishaji katika enterprise), lakini linapoteza data ya mtumaji. Mtiririko wa sasisho hili unapatikana kuanzia toleo la 68 Ikiwa sera haijawekwa, sasisho la utendaji wa kipengele cha TPM halitapatikana.
Kipengele cha muda wa matumizi ya kichupo hudhibiti CPU na baadaye hifadhi inayohusishwa na vichupo vilivyopo ambavyo havijatumika katika kipindi kirefu, kwa kuanza na kuvizuia, kisha kuvibana na baadaye kuvitupa.
Iwapo sera imewekwa kuwa sivyo, inamaanisha kuwa kipengele cha muda wa matumizi ya kichupo kitazimwa na vichupo vyote vitaendelea kutumika kama kawaida.
Iwapo sera imewekwa kuwa ndivyo au haijabainishwa, inamaanisha kuwa kipengele cha muda wa matumizi ya kichupo kitawashwa.
If set to false, the 'End process' button is disabled in the Task Manager.
If set to true or not configured, the user can end processes in the Task Manager.
Huweka Sheria na Masharti ambayo lazima mtumiaji akubali kabla ya kuanzisha kipindi cha akaunti ya kifaa cha karibu nawe.
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome OS itapakua Sheria na Masharti na kuyawasilisha kwa mtumiaji kipindi cha akaunti cha kifaa cha karibu nawe kianzapo. mtumiaji ataruhusiwa tu katika kipindi baada ya kukubali Sheria na Masharti.
Iwapo sera hii haitawekwa, sheria na masharti hayataonyeshwa.
Sera itawekwa kwenye URL ambapo Google Chrome OS inaweza kupakua Sheria na masharti. Lazima Sheria na Masharti yawe maandishi matupu, yawe kama maandishi ya kuandika/matupu ya MIME. Markup hairuhusiwi.
Kama sera imewekwa kuwa sivyo, programu ya kampuni nyingine itaruhusiwa kuingiza msimbo inayoweza kutekelezwa katika michakato ya Chrome. Kama sera haijawekwa au imewekwa kuwa ndivyo basi programu ya kampuni nyingine itazuiwa kuingiza msimbo unaoweza kutekelezwa katika michakato ya chrome.
Sera hii inasanidi kuwasha kibodi pepe kama kifaa cha kuingiza data kwenye ChromeOS. Watumiaji hawawezi kuibatilisha sera hii.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa ndivyo, kibodi pepe ya skrini itawashwa wakati wowote.
Ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi pepe ya skrini itazimwa wakati wowote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha. Hata hivyo, watumiaji bado wataweza kuwasha/kuzima kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji inayopewa kipaumbele dhidi ya kibodi pepe inayodhibitiwa na sera hii. Angalia sera ya |VirtualKeyboardEnabled| kwa kudhibiti kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, kibodi ya skrini inazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote. Kanuni za ugunduaji zinaweza pia kutumiwa kuamua wakati wa kuonyesha kibodi.
Inaruhusu huduma iliyojumuishwa ya Google Tafsiri kwenye Google Chrome.
Ukiwasha mipangilio hii, Google Chrome itamwonyesha mtumiaji utendaji wa tafsiri kwa kuonyesha upauzana uliojumuishwa wa kutafsiri (panapohitajika) na chaguo la tafsiri kwenye menyu ya kubofya kulia.
Ukizima mipangilio hii, vipengele vyote vya kutafsiri vilivyojumuishwa vitazima.
Ukizima au kuwasha mipangilio hii, watumiaji hawataweza kubadilisha au kufuta mipangilio hii katika Google Chrome.
Kama mipangilio hii haitawekwa, mtumiaji anaweza kuamua kutumia kipengele hiki au asikitumie.
This policy prevents the user from loading web pages from blacklisted URLs. The blacklist provides a list of URL patterns that specify which URLs will be blacklisted.
A URL pattern has to be formatted according to https://www.chromium.org/administrators/url-blacklist-filter-format.
Exceptions can be defined in the URL whitelist policy. These policies are limited to 1000 entries; subsequent entries will be ignored.
Note that it is not recommended to block internal 'chrome://*' URLs since this may lead to unexpected errors.
If this policy is not set no URL will be blacklisted in the browser.
Programu za Android zinaweza kuchagua kwa hiari kutii orodha hii. Huwezi kuzilazimisha kuitii.
Inaruhusu ufikivu kwenye URL zilizoorodheshwa, kama vizuizi katika orodha ya kuondoa idhini ya URL.
Angalia maelezo ya sera ya uzuiaji wa URL ya umbizo la maingizo ya orodha hii.
Sera hii inaweza kutumiwa kufungua vizuizi ili kuondoa vikwazo kwenye orodha zilizozuiwa. Kwa mfano, '*' inaweza kuondolewa idhini ili kuzuia maombi yote, na sera hii inaweza kutumiwa kuruhusu ufikiaji katika orodha chache za URL. Inaweza kutumiwa ili kufungua vizuizi katika mipango fulani, vikoa vidogo, poti, au vijia bainifu.
Kichujio muhimu zaidi kitathibitisha iwapo URL imezuiwa au kuruhusiwa. Orodha ya kuidhinisha inapewa kipau mbele kuliko orodha ya kuondoa idhini.
Sera hii imetengewa tu maingizo 1000; maingizo yanayofuata yatapuuzwa.
Iwapo sera hii haijawekwa hakutakuwa na ruhusa katika orodha ya kuondoa idhini kutoka sera ya 'URLBlacklist'.
Programu za Android zinaweza kuchagua kwa hiari kutii orodha hii. Huwezi kuzilazimisha kuitii.
Ikiwa sera imewekwa kuwa sivyo, watumiaji wasiohusishwa hawataruhusiwa kutumia ARC.
Ikiwa sera hii imebadilishwa au imewekwa kuwa ndivyo, watumiaiji wote wanaruhusiwa kutumia ARC (ila katika hali ambapo ARC inazimwa kwa kutumia mbinu nyinginezo).
Mabadiliko kwenye sera yatatumika wakati ARC haitekelezwi tu, kwa mfano, mfumo wa uendeshaji wa Chrome unapoanza.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Eneo-kazi Lililounganishwa linaruhusiwa na kuwashwa kwa chaguomsingi, ambapo inaruhusu programu kuonyeshwa katika skrini nyingi kama kwamba ni moja. Mtumiaji anaweza kuzima Eneo-kazi Lililounganishwa kwa maonyesho maalum kwa kuondoa alama katika mipangilio ya onyesho.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au kutowekwa, Eneo-kazi Lililounganishwa litazimwa. Katika hali hii, mtumiaji hawezi kukiwasha kipengele.
Iliacha kuendesha huduma katika M69. Badala yake, tumia OverrideSecurityRestrictionsOnInsecureOrigin.
Sera hii inabainisha orodha za vyanzo (URL) vitakavyochukuliwa kuwa muktadha salama (kama vile "*.example.com") ambako vizuizi vya usalama kwenye vyanzo visivyo salama havitatumika.
Nia yake ni kuruhusu mashirika yatoe idhini kwa programu za zamani ambazo haziwezi kutumia TLS au kuweka seva ya majaribio kwa ajili ya usanidi wa tovuti za ndani, ili wasanidi programu waweze kujaribu vipengele vinavyohitaji muktadha salama bila kutumia TLS kwenye seva ya majaribio. Sera hii pia inazuia chanzo kuwekewa lebo ya "Si salama" katika sanduku kuu.
Hatua ya kuweka orodha ya URL katika sera hii ina athari sawa na kuweka mipangilio ya ripoti ya mstari wa amri '--unsafely-treat-insecure-origin-as-secure' kwenye orodha iliyotenganishwa kwa koma ya URL sawa. Kama sera imewekwa, itabatilisha ripoti ya mstari wa amri.
Sera hii iliacha kuendesha huduma katika M69 katika OverrideSecurityRestrictionsOnInsecureOrigin. Ikiwa sera zote zimewekwa, OverrideSecurityRestrictionsOnInsecureOrigin itabatilisha sera hii.
Kwa maelezo zaidi kuhusu miktadha salama, angalia https://www.w3.org/TR/secure-contexts/
Pima muda wa kuwaka wa kifaa kwa kuratibu kuwasha tena kiotomatiki. Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda wa kuwaka wa kifaa baada ya upi uwashaji tena kiotomatiki utaratibiwa.
Sera hii isipowekwa, muda wa kuwaka wa kifaa hauna kipimo.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kuwasha tena kiotomatiki huratibiwa kwa wakati uliochaguliwa lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadi saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki kunawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali iwapo kipindi cha aina yoyote kinaendelea ua la. Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika sekunde. Thamani huwekwa pamoja ili iwe angalau 3600 (saa moja).
Washa ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL kwenye Google Chrome na uwazuie watumiaji wasiweze kubadilisha mipangilio hii.
Ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL hutuma URL za kurasa ambazo mtumiaji anatembelea kwenye Google ili kuboresha utafutaji na kuvinjari.
Ukiruhusu sera hii, kipengele cha ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL kitabaki kikiwa kimewashwa kila wakati.
Ukizuia sera hii, kipengele cha ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL kitabaki kikiwa kimezimwa kila wakati.
Sera hii isipowekwa, kipengele cha ukusanyaji wa faragha wa data ukitumia ufunguo wa URL kitabaki kikiwa kimewashwa lakini mtumiaji ataweza kukibadilisha.
Hukuruhusu ufunge kipindi cha mtumiaji kulingana na wakati wa mteja au mgawo wa nafasi ya siku hiyo.
|time_window_limit| inabainisha muda wa kila siku ambapo kipindi cha mtumiaji kinapaswa kufungwa. Tunatumia sheria moja tu kwa kila siku ya wiki, kwa hivyo huenda mfuatano wa |entries| ukatofautiana kuanzia 0 hadi 7 katika ukubwa. |starts_at| na |ends_at| ni mwanzo na mwisho wa muda unaoruhusiwa, wakati |ends_at| imepungua zaidi ya |starts_at| ina maana kuwa |time_limit_window| itamalizika siku itakayofuata. |last_updated_millis| ni muhuri wa muda wa UTC unaoonyesha wakati wa mwisho ambapo maelezo haya yalisasishwa, hutumwa kama mfuatano kwa sababu muhuri wa muda hauwezi kutoshea nambari kamili.
|time_usage_limit| inabainisha mgawo wa nafasi ya skrini ya kila siku, kwa hivyo wakati mtumiaji atafikia kiasi hiki, kipindi chake kitafungwa. Kuna kipengee cha kila siku ya wiki na kinapaswa kuwekwa tu iwapo kuna mgawo wa nafasi inayotumika siku hiyo. |usage_quota_mins| ni muda ambao vifaa vinavyodhibitiwa vinaweza kutumia kwa siku na |reset_at| ni wakati ambao nafasi ya matumizi husasishwa. Thamani chaguomsingi ya |reset_at| huwa ni saa sita usiku ({'hour': 0, 'minute': 0}). |last_updated_millis| ni muhuri wa muda wa UTC ambapo maelezo haya yalisasishwa mara ya mwisho, hutumwa kama mfuatano kwa sababu muhuri wa muda hauwezi kutoshea nambari kamili.
|overrides| hutolewa ili kubatilisha kwa muda masharti ya awali. * Iwapo time_window_limit au time_usage_limit haitumiki |LOCK| inaweza kufunga kifaa. * |LOCK| hufunga kipindi cha mtumiaji kwa muda hadi time_window_limit ijayo au time_usage_limit ianze. * |UNLOCK| hufungua kipindi cha mtumiaji kilichofungwa kufikia time_window_limit au time_usage_limit.
|created_time_millis| ni muhuri wa muda wa UTC kwa kazi zinazobatilishwa, hutumwa kama mfuatano kwa sababu muhuri wa muda hauwezi kutoshea katika nambari kamili. Hutumika kubaini ikiwa mabatilisho haya yanapaswa kutekelezwa. Ikiwa kipengee cha kudhibiti wakati wa sasa (kipindi cha matumizi au muda wa matumizi) kimeanza baada ya mabatilisho kufanywa, hayapaswi kutekelezwa. Pia iwapo mabatilisho yalifanywa kabla ya mabadiliko ya mwisho ya time_window_limit au time_usage_window inayotumika, hayapaswi kutekelezwa.
Huenda ikatuma mabatilisho mengi. Itatekeleza mabatilisho sahihi na ya hivi karibuni.
Hufafanua orodha ya vifaa vya USB vinavyoruhusiwa kutenganishwa kwenye kiendeshaji chake ili vitumiwe kwenye API ya chrome.usb moja kwa moja ndani ya programu ya wavuti. Maingizo ni jozi za Kitambulisho cha Muuzaji cha USB na Kitambulisho cha Bidhaa za kutambua maunzi mahususi.
Ikiwa sera hii haitawekwa, orodha ya vifaa vya USB vinavyoweza kutenganishwa itasalia tupu.
This policy allows you to configure the avatar image representing the user on the login screen. The policy is set by specifying the URL from which Google Chrome OS can download the avatar image and a cryptographic hash used to verify the integrity of the download. The image must be in JPEG format, its size must not exceed 512kB. The URL must be accessible without any authentication.
The avatar image is downloaded and cached. It will be re-downloaded whenever the URL or the hash changes.
The policy should be specified as a string that expresses the URL and hash in JSON format, conforming to the following schema: { "type": "object", "properties": { "url": { "description": "The URL from which the avatar image can be downloaded.", "type": "string" }, "hash": { "description": "The SHA-256 hash of the avatar image.", "type": "string" } } }
If this policy is set, Google Chrome OS will download and use the avatar image.
If you set this policy, users cannot change or override it.
If the policy is left not set, the user can choose the avatar image representing them on the login screen.
Huweka mipangilio ya saraka ambayo Google Chrome itatumia kuhifadhi data ya mtumiaji.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali iwapo mtumiaji amebainisha ripoti ya '--user-data-dir' au la. Ili kuepuka kupoteza data au hitilafu zisizotarajiwa sera hii haipaswi kuwekwa kuwa thamani ya kipeo cha saraka au saraka iliyotumiwa kwa madhumuni mengine, kwa sababu Google Chrome inadhibiti maudhui yake.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory upate orodha ya aina zinazoweza kutumiwa.
Sera hii isipowekwa njia ya wasifu chaguomsingi itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibatilisha kwa amri ya ripoti ya mstari ya '--disk-cache-dir'.
Hudhibiti jina la akaunti Google Chrome OS inayoonekana kwenye skrini ya kuingia kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera hii itawekwa, skrini ya kuingia itatumia uzi uliobainishwa katika kichaguaji cha kuingia kilicho na picha kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, Google Chrome OS itatumia Kitambulisho cha akaunti ya barua pepe ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe kama jina la onyesho kwenye skrini ya kuingia.
Sera hii inaapuzwa kwa akaunti za mtumiaji wa mara kwa mara.
If enabled or not configured (default), the user will be prompted for video capture access except for URLs configured in the VideoCaptureAllowedUrls list which will be granted access without prompting.
When this policy is disabled, the user will never be prompted and video capture only be available to URLs configured in VideoCaptureAllowedUrls.
This policy affects all types of video inputs and not only the built-in camera.
Kwa programu za Android, sera hii inaathiri kamera iliyojengewa ndani pekee. Sera ikiwekwa kuwa ndivyo, kamera huzimwa kwa programu zote za Android, bila kuacha programu yoyote.
Michoro katika orodha hii italinganishwa na ya asili ya usalama wa ombi la URL. Ikilingana, idhini ya kufikia vifaa vya kurekodi video itatolewa bila ombi. KUMBUKA: Kabla ya toleo la 45, sera hii ilitumika katika hali ya Skrini nzima pekee.
Hukuruhusu udhibiti ikiwa mashine pepe zinaruhusiwa kutumia Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome.
Ikiwa sera imewekwa kuwa Ndivyo, kifaa kinaruhusiwa kutumia mashine pepe. Ikiwa sera imewekwa kuwa Sivyo, kifaa hakitaruhusiwa kutumia mashine pepe. Sera zote tatu, VirtualMachinesAllowed, CrostiniAllowed na DeviceUnaffiliatedCrostiniAllowed inahitaji kuwekwa kuwa ndivyo wakati zinaomba Crostini iruhusiwe kutumika. Sera hii inapobadilishwa kuwa Sivyo, inaanza kutumika kwenye mashine pepe mpya lakini haizimi mashine pepe ambazo tayari zinatumika. Kama sera hii haijawekwa kwenye kifaa kinachodhibitiwa, kifaa hakiruhusiwi kutumia mashine pepe. Vifaa ambavyo havidhibitiwi vinaruhusiwa kutumia mashine pepe.
Ruhusu mtumiaji adhibiti miunganisho ya VPN.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, violesura vyote vya Google Chrome OS ambavyo vingeruhusu mtumiaji kutenganisha au kubadilisha miunganisho ya VPN vitazimwa.
Sera hii isipowekwa au iwekwe kuwa 'ndivyo', watumiaji wanaweza kutenganisha au kubadilisha miunganisho ya VPN kama kawaida.
Ikiwa muunganisho wa VPN unaundwa kupitia programu ya VPN, kiolesura kilicho ndani ya programu hakitaathiriwa na sera hii. Kwa hivyo, mtumiaji bado ataweza kutumia programu kubadilisha muunganisho wa VPN.
Sera hii inafaa kutumiwa pamoja na kipengele cha "VPN iliyowashwa kila wakati", ambacho huruhusu mtumiaji aamue kuweka muunganisho wa VPN wakati wa kuwasha.
Huruhusu kuzima uboreshaji wa WPAD (Ugunduaji Kiotomatiki wa Seva Mbadala kwenye Wavuti) katika Google Chrome.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, uboreshaji wa WPAD utazimwa na kusababisha Google Chrome kusubiri muda mrefu zaidi kwa seva za WPAD zinazotegemea DNS. Sera hii isipowekwa au ikiwashwa, uboreshaji wa WPAD utawashwa.
Kwa kutotogemea ikiwa au jinsi sera hii inavyowekwa, mipangilio ya uboreshaji wa WPAD haiwezi kubadilishwa na watumiaji.
This policy allows you to configure the wallpaper image that is shown on the desktop and on the login screen background for the user. The policy is set by specifying the URL from which Google Chrome OS can download the wallpaper image and a cryptographic hash used to verify the integrity of the download. The image must be in JPEG format, its file size must not exceed 16MB. The URL must be accessible without any authentication.
The wallpaper image is downloaded and cached. It will be re-downloaded whenever the URL or the hash changes.
The policy should be specified as a string that expresses the URL and hash in JSON format, conforming to the following schema: { "type": "object", "properties": { "url": { "description": "The URL from which the wallpaper image can be downloaded.", "type": "string" }, "hash": { "description": "The SHA-256 hash of the wallpaper image.", "type": "string" } } }
If this policy is set, Google Chrome OS will download and use the wallpaper image.
If you set this policy, users cannot change or override it.
If the policy is left not set, the user can choose an image to be shown on the desktop and on the login screen background.
Sera hii inaruhusu watumiaji wa kipengele cha WebDriver kufuta sera ambazo zinaweza kuathiri utendaji wake.
Kwa sasa, sera hii inazuia sera za SitePerProcess na IsolateOrigins.
Kama sera hii imeruhusiwa, WebDriver itaweza kufuta sera zote ambazo hazioani.
Ikiwa sera imezuiwa au haijawekwa, WebDriver haitaruhusiwa kufuta sera ambazo hazioani.
Kama sera imewekwa kuwa ndivyo, Google Chrome huruhusiwa kukusanya kumbukumbu za matukio ya WebRTC kutoka huduma za Google (kwa mfano, Google Meet) na kupakia kumbukumbu hizo kwenye Google.
Kama sera imewekwa kuwa sivyo au haijawekwa, huenda Google Chrome haitakusanya wala kupakia kumbukumbu hizi.
Kumbukumbu hizi hujumuisha maelezo ya utambuzi ambayo yanasaidia kutatua matatizo ya simu za sauti au video katika Chrome, kama vile wakatI na ukubwa wa vifurushi vya RTP vinavyotumwa na kupokelewa, maoni kuhusu msongamano kwenye mtandao na metadata kuhusu wakati na ubora wa fremu za sauti na video. Kumbukumbu hizi hazijumuishi maudhui ya simu ya sauti wala ya video.
Ukusanyaji wa data hii kwa kutumia Chrome unaweza kuanzishwa tu na huduma za wavuti za Google, kama vile Google Hangouts au Google Meet.
Huenda Google ikahusisha kumbukumbu hizi na kumbukumbu zingine ambazo hukusanywa na huduma ya Google yenyewe kupitia kitambulisho cha kipindi; hali hii inanuia kurahisisha shughuli ya utatuzi.
Sera hii ikiwekwa, masafa ya mlango wa UDP unaotumiwa na WebRTC utatumika kwenye mlango uliobainishwa (sehemu za mwisho zikiwa zimejumuishwa).
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kwenye mfuatano wazi au masafa ya mlango yasiyo sahihi, WebRTC itaruhusiwa kutumia mlango wowote wa ndani wa UDP.
If this policy is set to true or not configured, the browser will re-show the welcome page on the first launch following an OS upgrade.
If this policy is set to false, the browser will not re-show the welcome page on the first launch following an OS upgrade.